Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Corona ina stigma kama HIV Aids?Ni semantics tuu hizo. Watu wanakufa kutokana na complications zinazotokana na wao kuwa wameathirika. Chances are wasingekuwa na Ukimwi hayo magonjwa mengine yasingewapata. Ndio maana Mandela alitangaza wazi kuwa mwanae alikuwa muathirika na kifo chake kimesababishwa na status yake kama muathirika. Sisi hatusemi hilo kwa sababu bado huo ugonjwa umekuwa stigmatized. Na ndivyo ilivyo kwa Corona.
Amandla...
Naomba link kama kuna sehemu waonyesha live,please.Anasema bunge la Ndugai halijamlipa hata shilingi
Kuna jamaa anasema sio mbaya Ndio maana huyo Ndugai Hana vidole
Lala mbele.
🤣Anasema bunge la Ndugai halijamlipa hata shilingi
Kuna jamaa anasema sio mbaya Ndio maana huyo Ndugai Hana vidole
Ng'awethuHata mimi nina ukoo mkubwa lakini tofauti na wewe misiba imetuandama. Lakini hamna anaefariki kwa Corona.
Amandla...
Rais wa nchi gani wewe ?CHADEMA toeni muda Rais wetu anaenda taifa saa ngapi
HahahaAnasema bunge la Ndugai halijamlipa hata shilingi
Kuna jamaa anasema sio mbaya Ndio maana huyo Ndugai Hana vidole
Sijajua kaka ila huenda akawa hana
Hivi kweli Ndugai hana vidole?
Mmmh ngoja tumpigie simu kumuuliza Lijualikali🤣
Hivi kweli Ndugai hana vidole?
Hebu tutoleen upuuzi wenu hiyo issue kazungumzieni huko mataga pambavCorona ina stigma kama HIV Aids?
Hiyo ni mpya kwangu!
Watu wengi wanaoipata hiyo corona, wanapona.
Odds za mtu kupona ni kubwa sana kuliko za mtu kufa.
Hata mimi nahisi mnamo mwezi February niliipata. Lakini nikapona bila hata dawa na wala sikuumwa kivile.
Kuilinganisha corona na HIV Aids, sidhani kama ni sawa aisee.
Na hizo habari za stigma ndo kwanza nazisikia leo. Nilikuwa sijui kabisa.
Duh,noma sanaKaka kesho tutamiminika malofa Taifa tukiwa na kamanda wetu Lissu.
Himahima tusisahau mavuvuzela kesho.
Sent from my SM-G930F using JamiiForums mobile app
Usi-quote comment zangu tenaRais wa nchi gani wewe ?
Kama ungekuwa airport ningekuja