Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 58,997
- 103,379
Kwann hawaivi ?
Wote ni mafahali.
Kwann hawaivi ?
Baada ya Bashite kuondoka hutakaa uone uonevu kwa wapinzani, its obvious JIWE hakuwahi kumtuma alokuwa anafanya.Polisi ndio uwafanyia vurugu wapinzani kwa kutii maagizo ya wanasiasa makanjanja kina bashite
Unaongea na sisi au na mkeo chumbani
MATAGA jana wamelala na viatu , na shombo za samaki, imewau kweli kweli, hawana utu na ubinadamu, wanatama Lissu afe hata sasa hivi; ila Mungu amejitukuza.PICHA KUTOKA JNIA
======
UPDATES;
1105HRS: Hapa uwanjani pametulia, hakuna fujo wala dalili za fujo, Wanachama wachache wa CHADEMA wanaonekana wakipita pita huku na kule. Bado sijabahatika kuona gari la Polisi Wala Gari la CHADEMA.
View attachment 1518414
View attachment 1518413
Ratiba inaonesha muda wa ndege kufika ni saa saba na dakika Ishirini. Angalia kwenye chati
View attachment 1518416
1121hrs: Saa moja iliyoisha Tundu Lissu ndo amepanda ndege ya Ethiopian Airlines ET 805 kutoka Uwanja wa Ndege wa kimataifa wa Bole Addis Ababa kuja hapa Dar Julius Kambarage Nyerere International Airport.
Safari inatazamiwa kuchukua masaa yasiyozidi Matatu kufika hapa tulipo.
View attachment 1518415
1140hrs: Mwenyekiti Mkoa wa Iringa CHADEMA William Mungai, aliyekuwa Mbunge wa Tarime Vijijini John Heche na aliyekuwa Mbunge wa Mbeya Joseph Mbilinyi(Sugu) Wakiwa Wamefika hapa Uwanja wa ndege kumpokea Lissu
View attachment 1518417
1156HRS: Kutoka kushoto: Hekima Mwasipu, Wakili wa Chadema, Sugu, Catherine Ruge(Simba Jike) Viti Maalum Mara na Mgombea wa Jimbo la Segerea CHADEMA
View attachment 1518418
1230hrs: Polisi Magari Mawili ya Polisi wameshusha Wanausalama wa kulinda amani wapatao kama 30 nje ya Viunga vya Uwanja wa ndege. Wamekaa mstari kama Gwaride na wanapewa Maelekezo. Wameshusha njia Panda ya kuelekea Uwanja wandege. Kuna askari wanne walikuwepo tangu asubuhi Wakihoji kila anaye ingia.
Bodaboda kama 50 wapo hapo Askari Polisi Walipo, nadhani Wamekataliwa kuingia. Vilevile Magari ya CHADEMA maarufu kama Magari ya M4C, Yapo sehemu hiyo ya njiapanda yakizunguka huku na kule. Magari ya CHADEMA yapo Matano yamejaa watu waliovalia nguo za CHADEMA.
Polisi ukijielezea unapoelekea ndo Wanaruhusu. Lalikini kuna baadhi ya Wafanyakazi(Walinzi wa Uwanja, sio Polisi) ndo wanakataza watu kuingia.
View attachment 1518419View attachment 1518420
1240: Baadhi ya Wanachama wa CHADEMA wameweza kupenya na kuongia ndani sehemu ya kusubiria Wageni
View attachment 1518423View attachment 1518422View attachment 1518421
View attachment 1518424
View attachment 1518425
1300hrs: Baadhi ya Wanachama wa CHADEMA wameruhusiwa kuingia. Wengine wapo nje ya Uwanja wanaimba nyimbo.
View attachment 1518426
Polisi Tanzania Wamewaruhusu Wanachama wote wa CHADEMA na Wafuasi wa Tundu Lissu. Muda wowote ndege itawasili
View attachment 1518431
View attachment 1518432
unajibizana na huyo MATAGA mjingamimi ?Unaongea na sisi au na mkeo chumbani
Yah ..huyu ndo mlamba makalio yake kwa sasaMmmh ngoja tumpigie simu kumuuliza Lijualikali
Bwana Assad hili si swali
Huyo nilishawaambia.aende akagombee ubunge.
Aache hizo ndoto za urais. Atapoteza muda.
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Magufuli na membe watagawana kura huku LISSU akipata kura nyingi zaidi na kua rais wa JMT1 JPM
2 LISU...
Sio mojawapo mkuu.....hawa ccm ndio mashetani waharibifu wa nchi hii....Itoshe kusema kua MATAGA ni kikwazo mojawapo cha maendeleo nchini. over!
Wewe ni nani zaidi ya kuwa ni sukununu wa lumumba?
Ina maana huo umati uilikuwa na nguvu kuliko maandamano yeyote ya Chadema yalowahi kutokea nchi hii au kuliko mambo yeyote ambayo polisi washawahi kuyaingilia au ni kujifanya tu kuwa huwajui wa Tanzania?An alternative apology. Hakuna kitu kama hicho. Ujasiri wa Lissu hata wao wameshikwa na butwaa
Tuliowapa mamlaka nao hatuoni kuvaa hata barakoa na huwa wapo kwenye mikusanyiko, mpaka juzi Dodoma akawa anasema kwani wao hawaogopi kufa. Ndiyo maana nikauliza aliyemtelekeza mwenzie nani?Mkuu uzi wa reference niliokupa una maelezo ya nani kamtekeleza mwenzake.
Sasa unaponiuliza maswali ambayo yako wazi kwenye sehemu niliyokupa tunakuwa hatupigi hatua mbele.
Tafadhali rejea kwenye reference ile wametajwa.
Maendeleo ni matusi? Vijana wengi wa chadema ni washirikina na watovu wa NidhamuItoshe kusema kua MATAGA ni kikwazo mojawapo cha maendeleo nchini. over!
Mkuu 'Chesty', sema CHADEMA walitumia akili kubwa kuepuka vishawishi vya kufanya mambo ambayo yangewasababishia kufutwa kabisa.Ushauri mzuri ila CHADEMA ni wastaarabu sana, mambo waliyofanyiwa na viongozi wa CCM kama wangekuwa na traces za ukorofi lazima wangefanya vurugu kama za wapigania uhuru wa Afrika ya kusini.