Walikuwa na mgomo baridi, kuna terms haziko sawa, mojawapo leo imefanyiwa kazi ie Manula kukaa langoni, nyinginezo bado zinachakatwa.Hii kikosi cha kishingo kweli mbona anatuprove wrong au kapangiwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Walikuwa na mgomo baridi, kuna terms haziko sawa, mojawapo leo imefanyiwa kazi ie Manula kukaa langoni, nyinginezo bado zinachakatwa.Hii kikosi cha kishingo kweli mbona anatuprove wrong au kapangiwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu kocha wa Simba mzungu Sven ni bonge la kocha aisee, atawapa Simba ubingwa wa Afrika, apewe mkataba hata wa miaka 10.
Pilipili usiyo ila inakuwashia nini? Subiri saa moja jioni amri said awapakate.Huyu kocha wa Simba mzungu Sven ni bonge la kocha aisee, atawapa Simba ubingwa wa Afrika, apewe mkataba hata wa miaka 10.
karibu tule miwa mkuu
Mkuu game imeisha hii, nasubiria kwa hamu game ya saa moja, hope amri said atatupa raha.Luis anakwenda kwake dilungaaa anapigaa, anababatiza na kuwa kona
Inapigwaaaaaa Kona inaokolewa kwao Mtibwa sasa Mbondeee Fauloo
Amri Said hajawahi kukubali Chura apite kirahisi, lazima leo kiwake.Mkuu game imeisha hii, nasubiria kwa hamu game ya saa moja, hope amri said atatupa raha.
Simba ana hamu na juisi ya Miwa leoJamaa wa Manungu watakoma leo.