Wewe siku siku zote huwa una Ushabiki Maandazi na Kamwe siku zote HUTOKUJA KUWA SHABIKI WA SOKA maaana Mpira huuujui. Wakati mwingine ficha upumb-avu wako chura weeee.Mtibwa hawawezi pata goli maana wachezaji wa ndani wa mikia nao wanaruhusiwa kudaka
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata kwenyee mechi yenu hawakufunga kwa sababu hiiMtibwa hawawezi pata goli maana wachezaji wa ndani wa mikia nao wanaruhusiwa kudaka
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbaazi zikikosa maua, husingizia jua.Mikia mmebadili mbinu kwa marefa?
Sasa mnazuia magoli. Hakuna penati dhidi yenu. Billion za Mo zinafanya kazi.
Hassan Dilunga HD msumari wa tatu.
Nakumbuka vizuri sana hili tukio, mtibwa alinyimwa goli la kusawazisha kwa uzembe wa line men.Hata kwenyee mechi yenu hawakufunga kwa sababu hiiView attachment 1354578
Sent using Jamii Forums mobile app