Uwanja wa Entebe kuchukuliwa na China kwa ajili ya Mkopo, Mashabiki wa Bagamoyo kaeni mkao wa kula

Tutamuamini vipi JPM ambaye mara nyingi tu alikuwa a lair.

Mfano kuna kipengele alisema kuwa tumewapa Wachina ardhi kwa miaka 99 kwenye huo mkataba wakati sheria za uwekezaji ndo zinasema hivyo hapa Tz..lakini yeue fastafasta tu kwa akatuambia tumepigwa..huyo ndo JPM.
Hivi sisi wenyewe hatuna uwezo wa kuijenga hiyo banadari ya bagamoyo kama kweli tuna uhitaji nayo?
Na kwa nini tujenge bandari mpya ilihali tulizonazo(Dar,Tanga na Mtwara) hatujaziutilize ipasavyo?
 
Hivi sisi wenyewe hatuna uwezo wa kuijenga hiyo banadari ya bagamoyo kama kweli tuna uhitaji nayo?
Na kwa nini tujenge bandari mpya ilihali tulizonazo(Dar,Tanga na Mtwara) hatujaziutilize ipasavyo?
Hapo panamwagwa pesa nyingi sana i think..tungekuwa na uwezo tungejikongoja kama kwenye sgr na mwawa la umeme.
 
Unawezaje kusema watu wanaropoka..! Au una lako jambo

Watanzani wa kawaida tunakumbuka maneno ya hayati raisi wa awamu ya 5 mh Magufuri

Kwamba vigezo na masharti vya mkataba wa ujenzi wa bandari hiyo ni vya kihuni, na aliongea peupe na kujaribu kudodosa baadhi ya vifungu..(ningeambatanisha hiyo video hapa ila device ninayotumia hairuhusu)

Na ni Kweli ni vya kihuni ikiwa alichokisema kilikuwa ni sahihi

Halafu kwanini tuhangaike kote huko kuchukua neno la huyu mala yule.! Kwani chombo kama bunge kazi yake nini.?

Lijadiliwe kweupe tu watanzani hatuna shida sisi tutaridhika tu hata kama tunapelekwa chaka

wakati Ghana wakipigania mikataba iwekwe wazi, sisi tupo comfortable kumegewa vidokezo vya mikataba tena hata kwa politicians ambao dhamira zao huwa na interest zisizoaminika
 
Nalijua hilo na ndio maaana nimesisitiza kwamba hakuna sababu ya kutupa imani yako kwa mtu yeyote

Chombo kama bunge ndio wajibu wake

Wapeleke bungeni lijadiliwe likipita sawa likishindikana sawa

Ila sisi watanzani tutabaki na ushahidi kwamba serikali ikiongozwa na wabunge wa chama fulani walipitisha hili na lile ndio tunachokitaka

Ili siku ikifika ya kunyooshana ushahidi uwepo
Wabunge wote kuanzia Ndugai wamehongwa
 
KWA TUNAVYOJIJUA WATANZANIA HILI NALO LITAPITA NA BANDARI ITAJENGWA NA HAKUNA TUTAKACHOKIFANYA.....

CCM WAMEIFANYA HII NCHI NI KAMA SHAMBA LAO NA WATOTO WAO......

INGAWA WATANZANIA WAMESHINDWA KUJISIMAMIA LAKINI IPO SIKU MUNGU ATASIMAMA NA WATANZANIA KWANI KAMWE HAWEZI KUACHA DHURUMA NA UONEVU VIENDELEE MACHONI MWAKE.........
 
Unawezaje kusema watu wanaropoka..! Au una lako jambo

Watanzani wa kawaida tunakumbuka maneno ya hayati raisi wa awamu ya 5 mh Magufuri

Kwamba vigezo na masharti vya mkataba wa ujenzi wa bandari hiyo ni vya kihuni, na aliongea peupe na kujaribu kudodosa baadhi ya vifungu..(ningeambatanisha hiyo video hapa ila device ninayotumia hairuhusu)

Na ni Kweli ni vya kihuni ikiwa alichokisema kilikuwa ni sahihi

Halafu kwanini tuhangaike kote huko kuchukua neno la huyu mala yule.! Kwani chombo kama bunge kazi yake nini.?

Lijadiliwe kweupe tu watanzani hatuna shida sisi tutaridhika tu hata kama tunapelekwa chaka
Bungeni atajadili nani?

Babu Tale!!!!
 
Unawezaje kusema watu wanaropoka..! Au una lako jambo

Watanzani wa kawaida tunakumbuka maneno ya hayati raisi wa awamu ya 5 mh Magufuri

Kwamba vigezo na masharti vya mkataba wa ujenzi wa bandari hiyo ni vya kihuni, na aliongea peupe na kujaribu kudodosa baadhi ya vifungu..(ningeambatanisha hiyo video hapa ila device ninayotumia hairuhusu)

Na ni Kweli ni vya kihuni ikiwa alichokisema kilikuwa ni sahihi

Halafu kwanini tuhangaike kote huko kuchukua neno la huyu mala yule.! Kwani chombo kama bunge kazi yake nini.?

Lijadiliwe kweupe tu watanzani hatuna shida sisi tutaridhika tu hata kama tunapelekwa chaka
Magufuli alikupa huo mkataba ukausoma?
Alikuwa mkweli kiasi gani?
Maneno na mawazo yake ni msaafu?
 
China inaimaliza Afrika kwa tamaa za viongozi, mradi wa Bagamoyo hata waipambe vipi mwisho wake ni kilio tu!

Wachina wanajua udhaifu wa mtu mweusi, ndio maana ni rahisi mno kuweka ndoano na mwafrika kuimeza!

Hatuna uwezo wa kufikiria nchi kuliko familia na matumbo yetu.

Siku kizazi cha viongozi wenye ugonjwa wa ubinafsi kitaisha ndio Afrika itapata maendeleo ya kweli.

Ni mradi gani huu wenye konakona, mara mikataba ni ya hovyo, kiongozi mwingine anauzindua, mwingine anasema hakukuwepo na mkataba wowote uliokwisha sainiwa!

Hii ni dharau kubwa kwa wananchi, mtu akichaguliwa kushika nafasi anaona waliomchagua hawana akili na uwezo wa kufikiri.

Tamaa ikizidi hupofusha macho.
 
Unaonekana haujui kitu, Bandari ya Bagamoyo ni mradi ambao sio wa mkopo na unajengwa kwa kutumia joint venture (JV) kati ya kampuni ya Bandari ya China (China Harbors) na Kampuni itakayoundwa na Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA).

Mkopo anachukua China Harbors kutoka Saudi Arabia nasi tutatoa pesa kuchangia kwenye project kama sehemu ya share so hapo hakuna mkopo kutoka China pekee Bali nasi tutahitajika kukopa pesa ya kutumbukiza kama mchango wa capital ya project.

So muwe Makini kupitia hii miradi sio kuja kuropoka mitandaoni bila kujua ukweli ulivyo, hakuna mkopo hata shilingi moja kutoka China zaidi ya kwamba tunaweka shares zetu kwenye huo mradi. Huu sio mradi wa serikali ya TZ pekee, ni JV kila upande unatakiwa kutoa a certain amount ili kuwekeza kwa pamoja.

Just get your facts right.
Mchina anakopa, kwa umaskini upi alionao?
 
Lijadiliwe kweupe tu watanzani hatuna shida sisi tutaridhika tu hata kama tunapelekwa chaka
Kama huna shida subiri tu ijengwe, mjadala wa nini na huna shida hata kama unapelekwa chaka? Ukipelekwa chaka kwako ni sawa, usipopelekwa kwako ni sawa sasa unataka mjadala wa kazi gani?

Halafu usipende kusema sisi sema mimi mtanzania sina shida.
 
Nafikiri kiingereza hakijamnyookea sana mleta mada
Ni wapi waliposema uwanja huo unachukuliwa?
Kwa maelezo bado Uganda hawajashindwa kulipa deni, wanacholakamika ni kubanwa kwenye mapato na matumiz (budget) jambo ambalo nafikiri liliwekwa kusaidia urejeshaji salama wa mkopo ukizingatia akili ya waafrika.

Hoja kwamba wakishindwa uwanja utawekwa chini ya Uchina mpaka deni liishe, sioni mantiki ya kulalamika, hata Wewe ukiweka bond nyumba ukishindwa kulipa inauzwa. Ukikopa lipa
 
Meko alishamaliza hii kitu.....maana naona wazee wa legacy mnahangaika sana.
 

Attachments

  • VID-20211126-WA0012.mp4
    6.8 MB
Unaonekana haujui kitu, Bandari ya Bagamoyo ni mradi ambao sio wa mkopo na unajengwa kwa kutumia joint venture (JV) kati ya kampuni ya Bandari ya China (China Harbors) na Kampuni itakayoundwa na Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA).

Mkopo anachukua China Harbors kutoka Saudi Arabia nasi tutatoa pesa kuchangia kwenye project kama sehemu ya share so hapo hakuna mkopo kutoka China pekee Bali nasi tutahitajika kukopa pesa ya kutumbukiza kama mchango wa capital ya project.

So muwe Makini kupitia hii miradi sio kuja kuropoka mitandaoni bila kujua ukweli ulivyo, hakuna mkopo hata shilingi moja kutoka China zaidi ya kwamba tunaweka shares zetu kwenye huo mradi. Huu sio mradi wa serikali ya TZ pekee, ni JV kila upande unatakiwa kutoa a certain amount ili kuwekeza kwa pamoja.

Just get your facts right.



ila hawa Exim bank ya china mbona kwenye masoo ya namna hii kama vile hawakosi.. hivi ile ya zambia kuchukiwa na china pia hawakuwepo? .. na kuna issue ya ufisadi humu tz kama niliwasikiaga ?
 
Unaonekana haujui kitu, Bandari ya Bagamoyo ni mradi ambao sio wa mkopo na unajengwa kwa kutumia joint venture (JV) kati ya kampuni ya Bandari ya China (China Harbors) na Kampuni itakayoundwa na Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA).

Mkopo anachukua China Harbors kutoka Saudi Arabia nasi tutatoa pesa kuchangia kwenye project kama sehemu ya share so hapo hakuna mkopo kutoka China pekee Bali nasi tutahitajika kukopa pesa ya kutumbukiza kama mchango wa capital ya project.

So muwe Makini kupitia hii miradi sio kuja kuropoka mitandaoni bila kujua ukweli ulivyo, hakuna mkopo hata shilingi moja kutoka China zaidi ya kwamba tunaweka shares zetu kwenye huo mradi. Huu sio mradi wa serikali ya TZ pekee, ni JV kila upande unatakiwa kutoa a certain amount ili kuwekeza kwa pamoja.

Just get your facts right.
Mnatufanya wote hatujui uchumi eeh! Yaani mtu aje kwako, akushauri mjenge nyumba kiwanjani kwako, we ukope na ye akope halafu useme Hakuna hata mia ya mkopo wa aliyekuja kuungana nawe?? Yaani China anakupenda kuliko unavyojipenda?

Hii miladi huja kwa sura nzuri nzuri ila ni wizi wa kalamu tu na mzigo wa kulipa uyawaumiza wananchi wa chini.

Matokeo Yake mafuta juu, Vifaa vya ujenzi juu, tozo za wizi wizi nk Vyote hivyo ni mzigo kwa mwananchi!
 
Kama huna shida subiri tu ijengwe, mjadala wa nini na huna shida hata kama unapelekwa chaka? Ukipelekwa chaka kwako ni sawa, usipopelekwa kwako ni sawa sasa unataka mjadala wa kazi gani?

Halafu usipende kusema sisi sema mimi mtanzania sina shida.
Hata ningesema 'mimi sina shida', kwa hulka yako hii ungesema sipaswi kuchangia chochote nikae kimya

Nimezunguza hivyo kwa maana

kwakuwa najua kinga zipatikanazo kwa watu hao na kipi ambacho siwezi kufanya wala kukibadili kwa wakati huu wala wewe na yeyote yule

Ila nafahamu kuwa mabiliko yapo karibu,na ni wakati kidogo mambo yatakua mambo kwakuwa mbegu ilipandwa
 
Back
Top Bottom