mujunwa
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 425
- 554
Mkuu umeandika mambo mengi mazuri lakini hujajibu hoja ya jamaa kwamba kimsingi je hiyo 2b ambayo si haba anaitoa kama mwanachama au shabiki wa kawaida au kama mwekezaji ? Nafikiri hoja iko hapo . Kwamba , kama anatoa 2b kuonesha mfano kwa wanachama , wapenzi , mashabiki na wadau wa soka kuchangia basi ni jambo jema sana ; lakini kama hiyo 2B itahesabiwa ktk zile 20B basi itakuwa si sawa . Atapaswa kuchangia kutokana na 49% ya hisa zake maana atakuwa mmiliki kwa 49% kwa hiyo lazima afanye kitu zaidi ya 2B .