Uwakilishi wa wanawake bungeni Tanzania 35% USA 16.6% what is your take from this

Tatizao letu tunapenda kubebana sana, kuanzia serikali hadi wananchi wake
 
Sababu kubwa Marekani kutokuwa na Wawakilishi wengi wakike bungeni ni ubaguzi uliopo Marekani. Marekani especially Right Wing Conservative hawaamini kwamba mwanamke apewe haki kama mwanamme. Civil Right movement ilikuwa inataka maslahi ya Wanawake, na haki za minority kupewa kipaumbele. Sheria maalum ilipitishwa Affirmative action kutetea maslahi ya minority nchini US, wanawake wakiwemo.

Kiujumla, Marekani bado ipo nyuma sana ktk kutetea haki za Wanawake, minority, nk. Ndiyo maana mpaka leo US haijwahi kuwa na Rais mwanamke.
 
Sababu kubwa Marekani kutokuwa na Wawakilishi wengi wakike bungeni ni ubaguzi uliopo Marekani. Marekani especially Right Wing Conservative hawaamini kwamba mwanamke apewe haki kama mwanamme. Civil Right movement ilikuwa inataka maslahi ya Wanawake, na haki za minority kupewa kipaumbele. Sheria maalum ilipitishwa Affirmative action kutetea maslahi ya minority nchini US, wanawake wakiwemo.

Kiujumla, Marekani bado ipo nyuma sana ktk kutetea haki za Wanawake, minority, nk. Ndiyo maana mpaka leo US haijwahi kuwa na Rais mwanamke.

Refer GDP ya US, nadhani utakuwa umepata jibu.
 
Sijui hiri rinchi rimerogwa.....

Mazee, all in all, iwe US au TZ, the wabunges ARE USELESS. Yes nasema kwa kinywa kipana na kurudiarudia, hawa watu ni useless. Kinachoisadia nchi kama Merekani ni uharamia wao wa kuchukua resources za nchi nyingine kwa hila, kulinda masoko yao na mbinu nyingine chafu za kibiashara plus vile walivowekeza heavily kwene sayansi na teknolojia. Maendeleo yao katu sio kazi za mikono ya wanasiasa.
 
Mazee, all in all, iwe US au TZ, the wabunges ARE USELESS. Yes nasema kwa kinywa kipana na kurudiarudia, hawa watu ni useless. Kinachoisadia nchi kama Merekani ni uharamia wao wa kuchukua resources za nchi nyingine kwa hila, kulinda masoko yao na mbinu nyingine chafu za kibiashara plus vile walivowekeza heavily kwene sayansi na teknolojia. Maendeleo yao katu sio kazi za mikono ya wanasiasa.

Partly i will agree with u kwani kweli hiyo ni moja ya njia ambazo wanatumia hawa wa US lakini ukweli upo pale pale kuwa hawa jamaa wamepiga hatua sana kimaendeleo na maendeleo yao si ya mtu mmoja mmoja ingawa the gap btn the haves and the have not ni kubwa ila standard ya maisha ya mtu mmoja mmoja ni kubwa Na anayejali standard of life ya mtu mmoja mmoja ni serikali Na serikali inayojali ni uongozi bora Hivyo haya mengine ya uporaji mali kutoka nchi zingine yawezekana kabisa ndiko utajiri wao unakotoka lakini jamaa wamepiga hatua sanahuwezi kufananisha na nchi nyingi ambazo zina rasilimali nyingi lakini wanaofaidika ni wachache tu na wengina wananyimwa kabisa the good thing about the Americans matajiri wanajilimbikizia mali lakini wanawapooza hiyo tu ndiyo pona yao ya muda lakini nao wasipokuwa makini na kujisahau siku yao pia inakuja pale wananchi watakapo amua kugoma..
 
Kuwa na uwakilishi sawa wa kijinsia ktk vyombo vya maamuzi ni kitu kizuri. Muhimu ni kwamba tunafikaje hapo? Kuchagua viongozi kwa kuangalia jinsi hakutasaidia kutuondolea shida nyingi zinazotukabili. Hoja hii inatuondoa ktk kujadili matatizo yetu ya msingi. Tunahitaji viongozi waadilifu, wabunifu na wachapakazi. It doesn't matter whether ni mwanaume au mwanamke. Cha msingi ni competency and integrity.

Sasa una mtu kama Mhe.Dr. Mchungaji, Rwakatare, huyu anamiliki na kuendesha biashara ambazo wanaume wachache sana wanaweza kumudu, lakini bado na yeye yuko kwenye viti maalum. Anna Abdallah nae pamoja na miaka mingi kwenye siasa bado anagombea viti maalum. Hii inaondoa dhana ya kutaka kuwawezesha wanawake kupitia viti maalum. Ni kama hatuna malengo mahsusi na vipaji vyao, tunataka na wao wafaidi(ni zamu yao kula). Lazima tuelewe kwamba siasa na uongozi ni vitu vinavyohitaji kuwekeza kwavyo, kwa hiyo mtu lazima ujitoe kama kweli unataka kuvifanya sehemu ya maisha yao. Then hao wanamwakilisha nani-wananchi au rais?

Mwandishi mmoja wa Thisday aliwahi kuandika "The only person who starts at the top is a gravedigger". Wanawake wanatakiwa waanzie chini, huko watapata nafasi ya kujifunza na kujijengea uwezo kama viongozi wazuri wa baadae. Huna roots ktk shughuli fulani halafu unataka uanzie juu? It just doesn't add up.

Kuna less-privileged groups nyingi sana(walemavu, wakulima n.k), kila group ikitaka empowerment kwenye siasa na kwingineko hakutakuwa na haja tena ya professionalism. Haohao wanaotuletea sera hizi ndio ambao hawataki mwombaji wa kazi aonyeshe kwenye CV yake vitu kama Marital status, gender, age, religious orientation,ethnicity nk. Yaani hawataki mtu apate au akose kwa sababu ya vigezo hvyo.
 
hii inatokana na interpretation potofu za siaza za magaharibi.
wao ndio wanaoshabikia the so called "women impowerment" na equality.sisi tunachofanya badala ya kufanya impowerment tunafanya "fevour".
Eti spika wa bunge awe mwanamke just kwasab ni mwanamke na si kwasb ni competitive.
Eti kuna viti maalum bungeni( wakati majimbo hayo yanawabunge wakuchaguliwa)
 
Back
Top Bottom