Uwakala wa crdb( Fahari Huduma)

wisdom empire

JF-Expert Member
May 5, 2017
337
288
Habari zenu ndugu zangu, Nimefikilia kujiajili kwa kufanya uwakala wa crdb lakini bado natafuta information muhimu zitakazo nisaidia ktk biashara yangu mpya maana bado sijawa na uzoefu.Naomba kwa yeyote aliye na idea juu ya biashara hii kama vile vigezo vinavyoitajika na bank, kiasi cha mtaji kinachohitajika, makadilio ya faida kwa mwezi ,changamoto au kitu kingine chochote kinachohusiana na biashara hii naomba mchango wake.
 
Hongera kwa wazo la kujiajiri,Mungu akutangulie. Kuhusu vigezo ni kwamba unatakiwa kuwa na tin,leseni ya biashara mbili that means uwe kwenye biashara kwa miaka miwil,wadhamin wawil, mtaji kiwango cha chin milion moja,gharama ya mashine skumbuki vizur.
Ila kwa ufanisi zaid nafikir weka na mpesa ,tgo pesa na nmb wakal. Kila lilojema liwekwako
 
Nzuri ukitembelea tovuti na tawi la Crdb kwa taarifa zaidi..ila kwa hatua za awali hakikisha unavyo alivyoainisha ommy15 hapo juu.
Kila la kheri mkuu..
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom