Kiganyi
JF-Expert Member
- Apr 30, 2012
- 1,242
- 765
Mzuka wa Chadema na Mbunge wao ukiwa umepanda kwani Mbeya, Mh Sugu hufaha mika kama Raisi wa Mbeya . |
Mbunge wa Mbeya Mjini akiwapa ripoti ya kazi Wanambeya juu ya ninikina endelea katika maendeleo ya jiji lao |
Takataka haikuwa tatizo kwani watu wanahamu ya kumsikiliza Mbunge wao kiasi cha kukaa ndani na juu ya Ghuba la taka |
Wazee nao hawako nyuma kwenye mabadiliko ya nchi haswa kwenye mambo muhimu ya jiji la Mbeya kwani wamekuwa bega kwa bega na Mbuge wao |
Katibu wa Chadema Mbeya Mjini Bwana Criss Mwamsiku kushoto na Mh Sugu baada ya kusaini kitabu cha wageni katika ofisi ya kata ya Chadema Itende |