Plato
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 420
- 94
Najua baadhi ya wanachadema na mashabiki wao wataangalia hoja hii kwa ushabiki. Lakini naweka mizania kuwa chadema hapa tulipo imekuwa ya hovyo kama ccm ilivyo ya hovyo.
Moja,alipopigwa mawe JK kule mbeya, CCM walikanusha na kujenga uwongo wa kitoto kuwa hakupigwa. Juzi Slaa naye kapigwa mawe kigoma, na CHADEMA wametunga uwongo uleule na kukanusha. Mkutano uliokuwa na watu kama 20 ukaitwa umati wa watu.
Haya, ufisadi wa kashfa za ngono kwa viongozi wakuu wa vyama hivi naona wanachuana. chadema wanajitapa kuchukua maamuzi magumu? Hebu wawavue uanachama na kwa hiyo ubunge akina Zitto, Arfi na Shibuda. Waambieni wathubutu! Hawawezi.
Haya, juu ya watendaji wa hovyo kwenye chama - ni wazi sekretariati ya CHADEMA imejaa watendaji wasio na sifa yoyote lakini hawana jinsi ila kuenda nao hivyohivyo tu.
CHADEMA wizi na forgery zimejaa kibao, na kwa kweli mimi nadhani wakishika nchi watakuwa wa hovyo kuliko hata CCM. Si mmeona sakata la posho za safari juzi? Si mnaona wabunge wa CHADEMA wasivyohudhuria bungeni siku hizi? Si mmeona hoja ya posho za wabunge kumbe ilikuwa inawakera?
Jamani miye
Moja,alipopigwa mawe JK kule mbeya, CCM walikanusha na kujenga uwongo wa kitoto kuwa hakupigwa. Juzi Slaa naye kapigwa mawe kigoma, na CHADEMA wametunga uwongo uleule na kukanusha. Mkutano uliokuwa na watu kama 20 ukaitwa umati wa watu.
Haya, ufisadi wa kashfa za ngono kwa viongozi wakuu wa vyama hivi naona wanachuana. chadema wanajitapa kuchukua maamuzi magumu? Hebu wawavue uanachama na kwa hiyo ubunge akina Zitto, Arfi na Shibuda. Waambieni wathubutu! Hawawezi.
Haya, juu ya watendaji wa hovyo kwenye chama - ni wazi sekretariati ya CHADEMA imejaa watendaji wasio na sifa yoyote lakini hawana jinsi ila kuenda nao hivyohivyo tu.
CHADEMA wizi na forgery zimejaa kibao, na kwa kweli mimi nadhani wakishika nchi watakuwa wa hovyo kuliko hata CCM. Si mmeona sakata la posho za safari juzi? Si mnaona wabunge wa CHADEMA wasivyohudhuria bungeni siku hizi? Si mmeona hoja ya posho za wabunge kumbe ilikuwa inawakera?
Jamani miye