KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,189
- 17,157
Punguza kujikomba mkuu.Rais wetu Mhe John Pombe Magufuli amejitahidi kuhakikisha rasirimali za Watanzania zinalindwa kwa ulinzi mkali madini, misitu, wanyama, Uvuvi, Hifadhi n.k
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani unajionyesha uduni sana.
Najua maneno haya hutayapenda, lakini ukweli ni kwamba umejionyesha kuwa kuna kitu unakipigania kwa hao unaowalilia.
Yaani hata huna 'sophistication' ya jinsi ya kueleza kitu bila ya kujionyesha unataka utazamwe?
Imenibidi niwe muwazi kwako, kwa sababu nilikuona toka huko mwanzo wa mada yako.