functional
JF-Expert Member
- Sep 13, 2018
- 732
- 772
Deluxe?Haaahaaa......ulivyonibwatukia ....mbavu bado zinaniuma!
Btw mi kuna kilevi kimoja nimepambana kukiacha na nahisi nafanikiwa ni kile cha Deluxe....hope umeelewa!
Deluxe?Haaahaaa......ulivyonibwatukia ....mbavu bado zinaniuma!
Btw mi kuna kilevi kimoja nimepambana kukiacha na nahisi nafanikiwa ni kile cha Deluxe....hope umeelewa!
Maurizio Sarri kocha wa Chelsea napiga zaidi ya hizo kwa siku mkuu. Kuna mzee mmoja jirani yangu (r.i.p) alikua anavuta hata packs kumi kwa siku. Yeye mda wote kawasha fegiPaketi 1 ina sigara 20 So, anavuta sigara 120 kwa muda wa 12hrs (day time)?
Be serious..
Unaishi wapi mkuu? Watu wanachoma fegi weweHamna kiumbe wa hivi labda umemaanisha sigara 6
Mtu mwingine aseme walau pakti 3 tu kwa siku.Pakti 6
Haaahaaa......ulivyonibwatukia ....mbavu bado zinaniuma!
Btw mi kuna kilevi kimoja nimepambana kukiacha na nahisi nafanikiwa ni kile cha Deluxe....hope umeelewa!
Haha ha utetezi huu burdaaanHuyo ni mvutaji mwenye miaka 80, na kuifikia hiyo miaka ni majaaliwa tu.
Haha ha utetezi huu burdaaan
Wapo wanao jitahidi kabisa kuta au kulewa inakua ngumu.Nilitamani nijue stimu za drugs kma sigara na vyengine ile sikufanikiwa.
Kabsa na hata majumbani tunao vikongwe kwakweliHaha!, asa mkuu unafikiri hilo pafu mchezo watu tunatishiana nyau tu. Si umemuona Fidel Castro kaishi adi kawa kikongwe
Kibaha kwa mfipa 120 zinavutwaje anapumuaje huyo mtu?Unaishi wapi mkuu? Watu wanachoma fegi wewe
Kwa pale uwanjani hata 6 hamalizi 120 anavutia wapi?Maurizio Sarri kocha wa Chelsea napiga zaidi ya hizo kwa siku mkuu. Kuna mzee mmoja jirani yangu (r.i.p) alikua anavuta hata packs kumi kwa siku. Yeye mda wote kawasha fegi
kwa mfipa maji ya ugoko, chang'ombe, simbani, kitende, viziwaziwa au galagaza?Kibaha kwa mfipa 120 zinavutwaje anapumuaje huyo mtu?
Sawa ila mvutaji huyu upumuaji wake ni shidakwa mfipa maji ya ugoko, chang'ombe, simbani, kitende, viziwaziwa au galagaza?
Watu wanavuta kama kawaida mkuu hizo 120 chache sana.
Hizi ni hisia "dhana" tu mkuu,si rahisi kua na accurate figure,labda athibitishe mvutaji mwenyewe,nimeishi na ma heavy smoker,maximum ni paketi 3 to 4Maurizio Sarri kocha wa Chelsea napiga zaidi ya hizo kwa siku mkuu. Kuna mzee mmoja jirani yangu (r.i.p) alikua anavuta hata packs kumi kwa siku. Yeye mda wote kawasha fegi
Sasa kama umeishi na anaevuta pakiti 4 inawezekana vipi kunikatalia kuwa mimi sijaishi na anaevuta pakiti kumi?Hizi ni hisia "dhana" tu mkuu,si rahisi kua na accurate figure,labda athibitishe mvutaji mwenyewe,nimeishi na ma heavy smoker,maximum ni paketi 3 to 4
Castro alikuwa anapiga cigars sio sigara,Tena za Bei ya juu,halafu cigars hauvuti moshi ndani unaishia mdomono,sema haya mambo hayana formula Bibi kidude alikuwa anapiga Sana fegi na ganja ila kafariki akiwa kikongweHaha!, asa mkuu unafikiri hilo pafu mchezo watu tunatishiana nyau tu. Si umemuona Fidel Castro kaishi adi kawa kikongwe
Castro alikuwa anapiga cigars sio sigara,Tena za Bei ya juu,halafu cigars hauvuti moshi ndani unaishia mdomono,sema haya mambo hayana formula Bibi kidude alikuwa anapiga Sana fegi na ganja ila kafariki akiwa kikongwe