Uvutaji wa sigara.

Maurizio Sarri kocha wa Chelsea napiga zaidi ya hizo kwa siku mkuu. Kuna mzee mmoja jirani yangu (r.i.p) alikua anavuta hata packs kumi kwa siku. Yeye mda wote kawasha fegi
Hizi ni hisia "dhana" tu mkuu,si rahisi kua na accurate figure,labda athibitishe mvutaji mwenyewe,nimeishi na ma heavy smoker,maximum ni paketi 3 to 4
 
Hizi ni hisia "dhana" tu mkuu,si rahisi kua na accurate figure,labda athibitishe mvutaji mwenyewe,nimeishi na ma heavy smoker,maximum ni paketi 3 to 4
Sasa kama umeishi na anaevuta pakiti 4 inawezekana vipi kunikatalia kuwa mimi sijaishi na anaevuta pakiti kumi?

Mbona wabongo wabishi sana? Nikikwambia kuna mtu anakunywa bia crate mbili utanibishia kwasababu mlevi unaemjua wewe akinywa bia 5 basi kalewa chakari?
 
Haha!, asa mkuu unafikiri hilo pafu mchezo watu tunatishiana nyau tu. Si umemuona Fidel Castro kaishi adi kawa kikongwe
Castro alikuwa anapiga cigars sio sigara,Tena za Bei ya juu,halafu cigars hauvuti moshi ndani unaishia mdomono,sema haya mambo hayana formula Bibi kidude alikuwa anapiga Sana fegi na ganja ila kafariki akiwa kikongwe
 
Castro alikuwa anapiga cigars sio sigara,Tena za Bei ya juu,halafu cigars hauvuti moshi ndani unaishia mdomono,sema haya mambo hayana formula Bibi kidude alikuwa anapiga Sana fegi na ganja ila kafariki akiwa kikongwe

Kwahiyo unataka kuniambia Cigar haileti saratani ya mapafu mkuu??
 
Back
Top Bottom