Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hali ilivyo kwa masmokerView attachment 938966
Naomba kuuliza, hivi kwa mtu anaevuta sigara akiwa karibu na wewe ule moshi wa sigara unaweza kukuathiri wewe mtu wa pembeni yake?
Kwani hawa wavutaji wa sigara huwa hawana staha hata mbele za aatu wanavuta masigara yao.
Wavuta sigara huwa na vijitabia vya ajabu ajabu sana...
Rafiki eti kaacha pombe lkn sigara kashindwa kuacha, anavuta hadi pakiti 6 kwa siku
Unaweza kukuta mtu anamshauri au anamsikitikia mvuta sigara huku yeye mwenyewe anabanjuka na kila aina ya wanawake/wanaume tena bila kutumia kinga!!
Kuna watu wanaona wanayoyafanya yao ni ya kawaida na matakatifu...ila mvuta sigara na mlevi wa pombe wanamuona anapoteaUnaweza kukuta mtu anamshauri au anamsikitikia mvuta sigara huku yeye mwenyewe anabanjuka na kila aina ya wanawake/wanaume tena bila kutumia kinga!!
Hamna kiumbe wa hivi labda umemaanisha sigara 6Wavuta sigara huwa na vijitabia vya ajabu ajabu sana...
Rafiki eti kaacha pombe lkn sigara kashindwa kuacha, anavuta hadi pakiti 6 kwa siku
Sigara za Malawi zinapatikana wapi?? Ili nihakakishe Kama Zina sifa unazozisemaMi nakereka sana na hivi vimoshi vya sigara ndogo ndogo,mwanaume unatakiwa kuvuta Sigara kubwa ile Kali kutoka Malawi au Colombia
Haaahaaa......ulivyonibwatukia ....mbavu bado zinaniuma!Heri yake kaacha pombe wewe umeacha nini? na kama ameweza kuacha pombe basi akiamua na sigara ataacha tu maana vyote (pombe , sigara ) ni vichocheo vya ushetani tu.
AseeeeUmeongea ukweli mchungu bravo bro..
Pakti 6Hamna kiumbe wa hivi labda umemaanisha sigara 6
Pakti 6
Hali ilivyo kwa masmokerView attachment 938966