Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,797
- 71,217
Tulisikia maonyo Makali makali toka kwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi NEC na mkuu wa Polisi IGP kuhusu vurugu na kuchafua amani ndani ya vyama wakati huu wa uchaguzi kunako weza kuharibu amani lakini pamoja na kuona ofisi za vyama vya upinzani zikichomwa moto, msafara wa mgombea urais ukipigwa mawe kwa ushahidi wa wazi wa muandaaji ni nani na kubwa kuliko yote ni la fujo zinazoleta ugomvi hadi kupirushiana matofali ndani ya CCM na sio hao walio toa kauli kuonekana Kukemea.
Je, fujo na kuharibu amani kukifanywa na CCM maonyo yale hayawahusu? Au CCM wao ni ruksa kufanya lolote ndani ya nchi hii na sio NEC au IGP mwenye uwezo wa kuwakemea? Ndivyo alivyo agiza "mzalendo #1" na Amiri jeshi wetu?
Je, fujo na kuharibu amani kukifanywa na CCM maonyo yale hayawahusu? Au CCM wao ni ruksa kufanya lolote ndani ya nchi hii na sio NEC au IGP mwenye uwezo wa kuwakemea? Ndivyo alivyo agiza "mzalendo #1" na Amiri jeshi wetu?