taarifa inasema mzigo uko sealed wamejuaje kuwa ni karatasi za kupiga kura na zina tiki ya kumchagua kikwete? mmmmh
i had the same feeling...
......i made a call from a friend of mine residing in tunduma....he has confirmed the incidence!
Taarifa kutoka Tunduma, mpakani mwa Tanzania na Zambia mkoani Mbeya zinasema kuwa lori la kampuni ya Azam linalomilikiwa na mfanyabiasha maarufu Bakhresa leo hii tarehe 18 Oktoba, 2010, limekamatwa likiwa na shehena kubwa la karatasi za kupigia kura zitakazotumika uchaguzi mkuu Oktoba 31.
Maafisa wa TRA tunduma walishtuka baada ya kukuta karatasi hizo za kupigia kura zimefichwa kwenye shehena ya vipodozi. Inasemekana kuwa mzigo huo wa karatasi za kupiga kura ulitokea Afrika Kusini na ulipakiwa kwenye gari la Azam kutoka kwenye gari lililotoka na mzigo kutoka Afrika Kusini.
Taarifa zinasema kuwa lori hilo la Azam linashikiliwa na TRA na mzigo huo umekuwa sealed. Kuna hofu kuwa vigogo wenye njama za kuiba kura wanaweza kujaribu kufuta ushahidi kuhusu kukamatwa kwa karatasi hizi za kupiga kura.
Kwa mujibu wa taarifa hizo, karatasi hizo za kupiga kura tayari zimewekewa tiki kumchagua Jakaya Kikwete wa CCM na lengo ni kuwa zisambazwe kwenye vituo mbalimbali vya kupigia kura nchini na zihesabiwe kama kura halali.
Tafadhali mwenye taarifa zaidi kutoka mpakani Tunduma atupatie ukweli wa jambo hili.
MUNGU IBARIKI TANZANIA!
Kama ni kweli, basi ni hatari zaidi... ila itakua hatari zaidi kama serikali itakuja kuzichukua hapo na kujidai wanaenda kufanya uchunguzi, WATACHAKACHUA TU!!
Ningekua naishi tunduma, ningepiga kiberiti hilo gari na ushahidi ufie mbali... basi wakachapishe nyingine kama wanaweza
UTATA WA TAARIFA YAKO!!!
CONCLUSION:
- Kwa issue nyeti kama hiyo, CCM sio wajinga hata wafikie kutumia gari la mtu binafsi wakati zigo kama hilo lingeweza kupitishwa kwa namna nyingine!!!
- Na kama wangetumia gari hilo, basi wangehakikisha mtandao wa hujuma unaenea kuanzia hapo mpakani
- Kwenye hivyo vituo zingehasabiwa wakati mawakala wa upinzani wapo wapi? Au ndo kama mnavyosema kwamba CCM wanapanga njama za kuwanunua? Kama kweli watanunuliwa basi kumbe wana-chadema nao wananunulika
- KAMA karatasi hizo zilifichwa kwenye makasha ya vipodozi basi natarajia yangekuwa mbali na mlango ambako zisingeonekana kirahisi. Kama TRA walipekuwa kote huko hadi wakazifuma basi bila shaka walikuwa na taarifa hivyo hawakuwa na sababu ya kushituka kama unavyodai!
Mauzushi kama haya ndo mabaya kuliko yote na bila shaka mnajiandaa kukataa matokeo ya uchaguzi hata kama uchaguzi huo utakuwa huru na haki!!! Hapa ndipo ninapoona busara ya kauli ya Abdul Shimbo!!
......i made a call from a friend of mine residing in tunduma....he has confirmed the incidence!
UTATA WA TAARIFA YAKO!!!
- Kwa issue nyeti kama hiyo, CCM sio wajinga hata wafikie kutumia gari la mtu binafsi wakati zigo kama hilo lingeweza kupitishwa kwa namna nyingine!!!
UTATA WA TAARIFA YAKO!!!
CONCLUSION:
- Kwa issue nyeti kama hiyo, CCM sio wajinga hata wafikie kutumia gari la mtu binafsi wakati zigo kama hilo lingeweza kupitishwa kwa namna nyingine!!!
- Na kama wangetumia gari hilo, basi wangehakikisha mtandao wa hujuma unaenea kuanzia hapo mpakani
- Kwenye hivyo vituo zingehasabiwa wakati mawakala wa upinzani wapo wapi? Au ndo kama mnavyosema kwamba CCM wanapanga njama za kuwanunua? Kama kweli watanunuliwa basi kumbe wana-chadema nao wananunulika
- KAMA karatasi hizo zilifichwa kwenye makasha ya vipodozi basi natarajia yangekuwa mbali na mlango ambako zisingeonekana kirahisi. Kama TRA walipekuwa kote huko hadi wakazifuma basi bila shaka walikuwa na taarifa hivyo hawakuwa na sababu ya kushituka kama unavyodai!
Mauzushi kama haya ndo mabaya kuliko yote na bila shaka mnajiandaa kukataa matokeo ya uchaguzi hata kama uchaguzi huo utakuwa huru na haki!!! Hapa ndipo ninapoona busara ya kauli ya Abdul Shimbo!!
mimi jamani ninashangaa mbona kwenye media sijasikia au ndo wanataka kuyeyusha juu kwa juu jamaani vyanzo vya habari naomba muweke wazi habari hii watanzania tumechoshwa kuongozwa na wezi na hizi ni nyakati za mwisho tunaomba muwaweke watanzania wenye uchungu na nchi yao wazi kwa habari hii ili ikifika 31oct 2010 wajue wanatakiwa kufanya nini. Tumpe huyu doctor aliyekaa darasani siyo huyu alopewa bila darasa.
DR SLAA FOR PRESIDENT NO COMMENT.CCM:A S 103:BYE BYE
tumekwisha!wadau huu ni ukweli mtupu magari mawili ya a.a.bahresa(named azam on board)t 501aem na t 263 ajn yako hapa kituo kikuu cha polisi mkoa mbeya,binafsi nimeona hizo karatasi za kura ambazo jk kapigiwa kura ya ndio na ziko kama karatasi milioni tano kwa haraka haraka hope police watatoa taarifa kamili,wametutoa nje sijui wanazichakachua au?
Taarifa kutoka Tunduma, mpakani mwa Tanzania na Zambia mkoani Mbeya zinasema kuwa lori la kampuni ya Azam linalomilikiwa na mfanyabiasha maarufu Bakhresa leo hii tarehe 18 Oktoba, 2010, limekamatwa likiwa na shehena kubwa la karatasi za kupigia kura zitakazotumika uchaguzi mkuu Oktoba 31.
Maafisa wa TRA tunduma walishtuka baada ya kukuta karatasi hizo za kupigia kura zimefichwa kwenye shehena ya vipodozi. Inasemekana kuwa mzigo huo wa karatasi za kupiga kura ulitokea Afrika Kusini na ulipakiwa kwenye gari la Azam kutoka kwenye gari lililotoka na mzigo kutoka Afrika Kusini.
Taarifa zinasema kuwa lori hilo la Azam linashikiliwa na TRA na mzigo huo umekuwa sealed. Kuna hofu kuwa vigogo wenye njama za kuiba kura wanaweza kujaribu kufuta ushahidi kuhusu kukamatwa kwa karatasi hizi za kupiga kura.
Kwa mujibu wa taarifa hizo, karatasi hizo za kupiga kura tayari zimewekewa tiki kumchagua Jakaya Kikwete wa CCM na lengo ni kuwa zisambazwe kwenye vituo mbalimbali vya kupigia kura nchini na zihesabiwe kama kura halali.
Tafadhali mwenye taarifa zaidi kutoka mpakani Tunduma atupatie ukweli wa jambo hili.
MUNGU IBARIKI TANZANIA!
TRA siyo CCM we mtu wewe.:-x Nina wasi wasi na hii habari, TRA wenyewe ni CCM .
upo eneo la tukio?umetunga? vithibitisho walau picha na majina ya wahusika waliokamata gari umewahoji?au ndo wale wa mnaoeneza damu itamwagika mwaka huu.