Uvumi wa kuachana na Tanasha; Diamond Platnumz kuongea na waandishi wa habari kesho Serena Hotel

Diamond hata ajitetee vipi. ukweli nikwamba ni Muharibifu kama walivyo wengine tu ,..yaan wanawake wote hao alikua nao..alowazalisha, hajapatikana hata wife material mmoja??
Tangu lini Diamond amemuona anafanya press conference anazungumzia mahusiano yake?
 
Hivi iliishiiaga wapi ile TUA???
Kabisaa anataka capitalise hali ya mambo ilivyo ili kupush biashara, kama ambavyo Ali Kiba alivyoweka watu na hamu kusikia na kuona press conference ya kile alichokiita,"TAMKO RASMI" baada ya trending story ya kumjibu Diamond, watu wakadhani ni tamko dhidi ya Diamond kumbe ni music tour yake, "ALI KIBA UNFORGETTABLE TOUR".

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pic%20Merger_159.jpeg
 
  • Kicheko
Reactions: rr3
Diamond amepost kwenye page yake ya Instagram kuwa ataongea na waandishi wa habari kesho huku kukiwa na uvumi wa utata kwenye mahusiano yake.

Inasemeka kuwa Diomond na Tanasha wapo kwenye mgogoro mzito na ikidaiwa kuwa penzi lao limefika mwisho. Je, ndicho kitu ambacho Diamond anataka kukizungumzia kesho kwa waandishi wa habari?

Jambo hilo bado limewaacha watu wengi na maswali kama ni kweli wameachana au ni uvumi wa watu, naamini kesho watapata majibu juu ya utata uliopo kwenye mahusiano ya wazazi wenza hawa.



Wameachanaa..???? Kwani walikuwa wameowana???
Kila mtu apambane na hali yake..wakati wanatongiozana hawakutuambia na kuachana waachane kimya kimya hivyo hivyo
 
Pongezi kwa Diamond kwani kuna vijana wenzetu wanaenda kupata mkate wao kesho kupitia media zao kama vile YouTube channel, n.k
Think Big and outside the box. Proud to be diamond platnumz
 
Kabisaa anataka capitalise hali ya mambo ilivyo ili kupush biashara, kama ambavyo Ali Kiba alivyoweka watu na hamu kusikia na kuona press conference ya kile alichokiita,"TAMKO RASMI" baada ya trending story ya kumjibu Diamond, watu wakadhani ni tamko dhidi ya Diamond kumbe ni music tour yake, "ALI KIBA UNFORGETTABLE TOUR".
Hivi "ALI KIBA UNFORGETTABLE TOUR" iliishia wapi?!
 
Back
Top Bottom