Game Theory
JF-Expert Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 833
Wana JF naweza kuconfirm kuwa Maalim Seif Hajafariki kama uvumi ulivyoonea wakti wa Magharibi bali alianguka tuuu na akapelekwa hospitali ya Hindu Mandal...so far habari ni kuwa hajafa na yu mzima.
Sie wengine twambombea uzima na afya tena katika kipindi hiki kigumu cha siasa za bara na Muungao, CCM na CUF maana the last thing tusichokitaka ni balaa kutokea na watu kuanza kunyoosheana vidole
Alamsiki/1
Sie wengine twambombea uzima na afya tena katika kipindi hiki kigumu cha siasa za bara na Muungao, CCM na CUF maana the last thing tusichokitaka ni balaa kutokea na watu kuanza kunyoosheana vidole
Alamsiki/1