Uvujaji wa taarifa nyeti: Je, TISS kuna tatizo?

Tafiti hazionyeshi kama vitu kama hivyo vimewahi kuchangia chama tawala barani Afrika kutopigiwa kura na kushinda. Si jambo jema ila ndiyo ukweli.
 
Nimeona Bwana yule mlipua mabomu kule twitter ame-post nyaraka za ununuzi wa zile Pangaboi jambo linalooashiria kuwa ndani ya system huenda kuna kuhujumiana na hii ikimanisha kuwa hawa watu hawako pamoja au inawezeka kuna mtu wamemchoka na sasa wanaamua kuanika kila kitu hadharani.

Kama ni kuchukua tahadhari,huenda mpaka sasa ameshachelewa na siri nyingi teyari ziko mikononi mwa watu na sitoshangaa kadri uchaguzi unavyokaribia, yakaibuliwa mengine mengi huku nyaraka husika nazo zikiwekwa wazi mitandaoni.

No wonder wanajitengeneza kinga mbele ya Mapilato ingawa inawezekana teyari wameshachelewa.

Kwa hiyo umeamua kutuletea hayo majungu na propaganda?
 
Huyu jamaa inawezekana anacheza na akili za watu tu!
Na siyo ajabu ikawa ni mbinu ya hao tiss kuwatafuta wale wanaompinga meko kwa kumtumia huyo mshikaji!
Ipo siku atawageuka wote wanaomshadadia, then ataishia kutukanwa!
Kuna wakati anageuza upepo na kuwafumua akina zitto, mbowe n.k! Hivyo inawezekana yupo kimkakati, na tunavyoaminishwa anatafutwa, ni moja wapo ya mbinu za kutekeleza mkakati mzima!
Huyo ni system kabisa huenda!


Sent from my iPhone using JamiiForums
Umewaza kama mimi
 
huu uzi ukiupitia utakuta vitu interesting

by the way kama serikali(TISS) wanamtafuta kigogo basi wanafeli pakubwa. hawatakiwi kumtafuta kigogo, wanatakiwa wamsubiri kigogo.

ukitazama vizuri the strength of kigogo ni anonymity na kupata kwake habari/info/intel classified. this is his strength, but this too is a weakness!.. ningekua namtaka i would have laid a trap! naanzisha msururu wa intel nyeti, na ntafatilia ni wapi ilikua leaked, polepole nitapeleleza na kuwadaka mmoja baada ya mwingine kuanzia taarifa zinapovujia na wanaohusika mpaka unaipata chain nzima.. hii michezo haihitaji nguvu ni akili, akili , akili tu.

mwisho ni kua hayo yote ni kama kigogo is not a part of the plan ya kutafuta wanaTISS wanaouza na kuvujisha intel!. tetesi ni kua kuna chekecheo linapita huko TISS na kwa ma soja kuondoa ka uozo flani hvi perhaps inahusika. try to connect the dots!. we all know kigogo anatumika ila the question is , WHO IS BEHIND HIM!? na anataka nini!?


mniwie radhi kwenye uandishi wangu ila na mm najaribu kufikiria kama mjuvi.
 
huu uzi ukiupitia utakuta vitu interesting

by the way kama serikali(TISS) wanamtafuta kigogo basi wanafeli pakubwa. hawatakiwi kumtafuta kigogo, wanatakiwa wamsubiri kigogo.

ukitazama vizuri the strength of kigogo ni anonymity na kupata kwake habari/info/intel classified. this is his strength, but this too is a weakness!.. ningekua namtaka i would have laid a trap! naanzisha msururu wa intel nyeti, na ntafatilia ni wapi ilikua leaked, polepole nitapeleleza na kuwadaka mmoja baada ya mwingine kuanzia taarifa zinapovujia na wanaohusika mpaka unaipata chain nzima.. hii michezo haihitaji nguvu ni akili, akili , akili tu.

mwisho ni kua hayo yote ni kama kigogo is not a part of the plan ya kutafuta wanaTISS wanaouza na kuvujisha intel!. tetesi ni kua kuna chekecheo linapita huko TISS na kwa ma soja kuondoa ka uozo flani hvi perhaps inahusika. try to connect the dots!. we all know kigogo anatumika ila the question is , WHO IS BEHIND HIM!? na anataka nini!?


mniwie radhi kwenye uandishi wangu ila na mm najaribu kufikiria kama mjuvi.

Wacheni kuzunguka mbuyu Huyo ni Zito Kabwe na genge lake kina maria Sarungi et al wote wanaingia kwa jina moja.
 
Unazosema siri zivujishwa na huyo nabii, ni pamoja aliposema JPM amekufa amefia South Africa au zingine?
 
Matumizi ya simu na internet yameongezeka kwa kasi kuanzia miaka ya 2013..ndio maana kila jambo tunalisikia tofauti na miaka ya nyuma ilikuwa habari unapata kijiweni au kwenye magazeti..hii ndo inasababisha kuonekana kwa taarifa nyingi kuvuja..kipindi cha BM internet na smart phone zilikuwa anasa, hadi kipindi cha JK muhula wa kwanza
 
Kuna watu wako humu JF special kwa ajili ya kupindisha mada..kuna watu wako special kwa ajili ya spining..kuna UVCCM humu aka MATAGA ambao wanadhan wao ni TISS kumbe hawajui lolote zaid ya ilani ya CCM yaan they are too far nje ya loop...kuna watu wa idara ya TISS kweli kweli humu JF na most of the time hawacomment bali husoma tu replies na kuzifanyia kazi...saying so, niwape Fact isiyo na chenga, ukweli ni kwamba Kigogo2014 wa twitter anawasumbua sana serikali nikiimaisha TISS ya awamu hii na wameweka kilakitu pamoja na resources zote walizonazo in place ili wamnase..its a matter of time watamdaka na kumnyamazisha. You cant play with any STATE and get along with it..you simply CANT
Mkuu hakamatiki hata iweje, Unaweza ukacheza na State na usikamatike ,watu wanacheza na State kubwa na hawakamatiki, ije kuwa Tanzania?
Refer Edward Snowden alikuwa visible Whistle-blower, Marekani ilishindwa kumkamata na hata kabla hajatoroka US alikuwa katoa siri nyingi sana za US kwa Russia
 
Back
Top Bottom