USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 9,896
- 22,664
Bora huyo namfahamu na kumuona wewe unaamini mtu usiyemfahamu wazazi wako wanahasara sanaKuna ukilaza wa zaidi ya kumuamini Jiwe na watu wake?
Bora huyo namfahamu na kumuona wewe unaamini mtu usiyemfahamu wazazi wako wanahasara sanaKuna ukilaza wa zaidi ya kumuamini Jiwe na watu wake?
Huyu jamaa ni kiazi sana anamwamini speculator kigogoYaan unakaa na kuamini. Documents za yule insane!.
Ndo tegemeo lao lililo baki wana ufipa! ,na anawaokota sana wapumbavu.Huyu jamaa ni kiazi sana anamwamini speculator kigogo
Nimeona Bwana yule mlipua mabomu kule twitter ame-post nyaraka za ununuzi wa zile Pangaboi jambo linalooashiria kuwa ndani ya system huenda kuna kuhujumiana na hii ikimanisha kuwa hawa watu hawako pamoja au inawezeka kuna mtu wamemchoka na sasa wanaamua kuanika kila kitu hadharani.
Kama ni kuchukua tahadhari,huenda mpaka sasa ameshachelewa na siri nyingi teyari ziko mikononi mwa watu na sitoshangaa kadri uchaguzi unavyokaribia, yakaibuliwa mengine mengi huku nyaraka husika nazo zikiwekwa wazi mitandaoni.
No wonder wanajitengeneza kinga mbele ya Mapilato ingawa inawezekana teyari wameshachelewa.
Lazima aaminiwe,kwa mfano yeye ndie aliekua wa kwanza kutoa taarifa benki ya postal na tib zinaunganishwa ili kutengeneza benki moja na itaiywa benki Fulani,baada ya wiki mbili taarifa kweli imetoka Kama alivyosema,katika Hilo kwa Nini asiaminiwe?Yaan unakaa na kuamini. Documents za yule insane!.
Maswali mazuri sana.Kwani wenye siri za Serikali ni TISS tu? Au anayetakiwa kutunza siri za Serikali ni TISS peke yake?
Daah! Watu mna maneno?🤣🤣🤣Na ukitaka kuona Nyeti za kuku subiri upepo upulize.
Umewaza kama mimiHuyu jamaa inawezekana anacheza na akili za watu tu!
Na siyo ajabu ikawa ni mbinu ya hao tiss kuwatafuta wale wanaompinga meko kwa kumtumia huyo mshikaji!
Ipo siku atawageuka wote wanaomshadadia, then ataishia kutukanwa!
Kuna wakati anageuza upepo na kuwafumua akina zitto, mbowe n.k! Hivyo inawezekana yupo kimkakati, na tunavyoaminishwa anatafutwa, ni moja wapo ya mbinu za kutekeleza mkakati mzima!
Huyo ni system kabisa huenda!
Sent from my iPhone using JamiiForums
huu uzi ukiupitia utakuta vitu interesting
by the way kama serikali(TISS) wanamtafuta kigogo basi wanafeli pakubwa. hawatakiwi kumtafuta kigogo, wanatakiwa wamsubiri kigogo.
ukitazama vizuri the strength of kigogo ni anonymity na kupata kwake habari/info/intel classified. this is his strength, but this too is a weakness!.. ningekua namtaka i would have laid a trap! naanzisha msururu wa intel nyeti, na ntafatilia ni wapi ilikua leaked, polepole nitapeleleza na kuwadaka mmoja baada ya mwingine kuanzia taarifa zinapovujia na wanaohusika mpaka unaipata chain nzima.. hii michezo haihitaji nguvu ni akili, akili , akili tu.
mwisho ni kua hayo yote ni kama kigogo is not a part of the plan ya kutafuta wanaTISS wanaouza na kuvujisha intel!. tetesi ni kua kuna chekecheo linapita huko TISS na kwa ma soja kuondoa ka uozo flani hvi perhaps inahusika. try to connect the dots!. we all know kigogo anatumika ila the question is , WHO IS BEHIND HIM!? na anataka nini!?
mniwie radhi kwenye uandishi wangu ila na mm najaribu kufikiria kama mjuvi.
Wewe unafikiri ni salama kwake?Dah... Kwahiyo pale kigogo anatoa siri ipi ambayo ni hatari kwa utawala wa JPM?
Mkuu hakamatiki hata iweje, Unaweza ukacheza na State na usikamatike ,watu wanacheza na State kubwa na hawakamatiki, ije kuwa Tanzania?Kuna watu wako humu JF special kwa ajili ya kupindisha mada..kuna watu wako special kwa ajili ya spining..kuna UVCCM humu aka MATAGA ambao wanadhan wao ni TISS kumbe hawajui lolote zaid ya ilani ya CCM yaan they are too far nje ya loop...kuna watu wa idara ya TISS kweli kweli humu JF na most of the time hawacomment bali husoma tu replies na kuzifanyia kazi...saying so, niwape Fact isiyo na chenga, ukweli ni kwamba Kigogo2014 wa twitter anawasumbua sana serikali nikiimaisha TISS ya awamu hii na wameweka kilakitu pamoja na resources zote walizonazo in place ili wamnase..its a matter of time watamdaka na kumnyamazisha. You cant play with any STATE and get along with it..you simply CANT