ndayilagije
JF-Expert Member
- Nov 7, 2016
- 7,492
- 8,295
Wakuu nimetafakari sana hizi habari za ushirikina nchini kwetu zikidhihirishwa na mauaji ya ajabu ajabu,,mfano mauaji ya Njombe,MKIRU,Shinyanga na mengine kama haya.
Ingawa yamehusishwa na nadharia tofauti tofauti ikiwemo siasa,kutafuta utajiri,kutokumjua Mungu nk,(waweza tia humo hata shambulio la kikatili dhidi ya Lisu sina shaka nia ilikuwa ni kuua) ndiyo nikaona yamezaliwa na mama mmoja anayeitwa Uvivu!sijajua tu kama ni nani aliyempa hii mimba ya uharifu.
Watu wavivu wana muda mkubwa wa kutafakari mambo ya watu wengine,kuwaona kuwa wanajivuna na hivyo kutamani kuwashusha au kuwakomesha kabisa.
Sent from my TECNO 7C using JamiiForums mobile app
Ingawa yamehusishwa na nadharia tofauti tofauti ikiwemo siasa,kutafuta utajiri,kutokumjua Mungu nk,(waweza tia humo hata shambulio la kikatili dhidi ya Lisu sina shaka nia ilikuwa ni kuua) ndiyo nikaona yamezaliwa na mama mmoja anayeitwa Uvivu!sijajua tu kama ni nani aliyempa hii mimba ya uharifu.
Watu wavivu wana muda mkubwa wa kutafakari mambo ya watu wengine,kuwaona kuwa wanajivuna na hivyo kutamani kuwashusha au kuwakomesha kabisa.
Sent from my TECNO 7C using JamiiForums mobile app