Uviko-19: Vifo mfululizo vya wazee wetu siku za karibuni, chanjo haisaidii?

inchaji

JF-Expert Member
Jul 5, 2019
2,420
4,922
Tangu kuletwa kwa chanjo kipaumbele ilikuwa ni kuwapa chanjo umri 50+

Ila sasa tangu wameanza kupatiwa hiyo chanjo hao 50+ kumekuwa na ongezeko la vifo vya 50+

Je, hii chanjo haisaidii?
 
Wazee wenu wangapi wamechanhwa? Hao wazee wenu waliofariki kuna ambaye alikuwa amepatiwa chanjo?
 
tangu kuletwa kwa chanjo kipaumbele ilikuwa ni kuwapa chanjo umri 50+

ila sasa tangu wameanza kupatiwa hiyo chanjo hao 50+ kumekuwa na ongezeko la vifo vya 50+

je, hii chanjo haisaidii?
Walijitokeza kwenye chanjo hiyo,kwani wengi kwa kulishwa maneno,waliyameza Bila kujali hata kama yalikuwa sumu,kisa tu, yalikuwa maneno ya fulani, na mzimu huo ndio unaowatesa bado kwenye suala la chanjo.
 
Kwani alichanjwa? Kama amechanjwa isisikike, hii ni operesheni ya kitaifa.
Vituko vya nchi zetu za bara la giza. Wanakimbilia kuficha ukweli ambao unaweza hata kuwa ni somo kwa wengine. Inajulikana chanjo zina side effects halafu kuna mtu analopoka eti iwe siri mtu akipata side effects.
Hawajui hizo side effects zinaweza ua?
Ikiwa mtu mzima na kijana anaweza lala hata siku mbili kitandani kwaajili ya side effects,,, iweje mzee mgonjwa? ,kwanini tufiche inapotokea mtu wa mfano?


Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
tangu kuletwa kwa chanjo kipaumbele ilikuwa ni kuwapa chanjo umri 50+

ila sasa tangu wameanza kupatiwa hiyo chanjo hao 50+ kumekuwa na ongezeko la vifo vya 50+

je, hii chanjo haisaidii?
Tatizo wengi hawakuchanja baada ya kumsikiliza kwa makini gwajima.
 
Back
Top Bottom