Wala hawajifunzi kutoka Egypt.
Hivi CCM wanajua kama Egypt uchaguzi uliopita Chama tawala walishinda kwa 95%, hiyo haikuwa na na maana ya kukubalika, umma ulipoamua kuingia barabarani wote tumeona.
Hebu fikiria kwa mfano uchaguzi uliopita bongo turnout ilikuwa 40%? na hao 60% waliobaki haina maana kwamba wanawa-support walioshinda sana sana ni mgomo baridi dhidi ya mfumo ambao hautarajiwi kubadali chochote katika hali tuliyonayo, ... vipi wakaamua kuingia barabarani kudai demokrasia watawala watakimbilia wapi?