UVCCM wameandaa Mkutano wa kuvunja amani Mwembe Yanga leo Oktoba 10, 2015

Kwani ni uongo? Mbona alijinyea mavi chato. Nyie wajinga kweli kweli. Fisadi lenu ni gonjwa linasemekana linakiharusi ndiyo maana mikono inatetemeka na hawezi kushika mike mkono wa kulia.
 
Kwani ni uongo? Mbona alijinyea mavi chato. Nyie wajinga kweli kweli. Fisadi lenu ni gonjwa linasemekana linakiharusi ndiyo maana mikono inatetemeka na hawezi kushika mike mkono wa kulia.

Omba msamaha, la sivyo MUNGU ATAKUADHIBU. OMBA MSAMAHA KWA MUNGU JUU YA MATUSI YAKO...LA SIVYO MUNGU ATAKUONYA BAADA YA USIKU WA LEO. Amen
 
CCM wanatukana kama mashoga wa mjini..
sijui hawakusoma ?
ninavyoelewa mimi msomi ni hoja na mjinga yake matusi.
 
Hakuna Mwenye ubavu wa kulikata kijinga Jina la Lowassa kwny Vikao vya Uteuz Ccm- Sadifa. Huyu ni miongon mwa vijana walioutumwa kumpumbaza Lowassa akaamini ni kundi litalozunguka nchi nzima kuipasua Ccm leo ndo anamtukana hadharani, ukimuangalia huyu Sadifa, Nchimbi, Sophia Simba, Diana Chilolo, Hussein Bashe,Kangi lugora, Dr.Chegeni nabaki najisemea Ee Mungu niepushe na Mapenzi ya pesa au Maslahi

upo sahihi hata huyo sadifa mafaniko makubwa ya kisiasa aliyofikia lowasa kachangia 90% . kama si lowasa alichofanya pale dodoma asingeshinda . Siasa tu hizi zisimfanye sadifa kujiona kama amefika kilele cha mafanikio ya kisiasa.
 
Kwanza nimesikitishwa na kauli zilizokua zikitolewa na Viongozi wa UVCCM za Matusi huku wakijua fika mkutano uko live.


Suala la Pili ni uwepo wa watu ambao siyo wa Temeke hali iliyoleta tafrani baadaye ambapo Mabasi madogo aina ya Costa na Uda yalikua mengi kuanzia hapa mwembeyanga kama stendi ya mabasi ya mikoani Ubungo nimeshangazwa na vijana walioulizwa wangapi mtampa kura mtemvu wakanyoosha mikono juu wakati siyo wapiga kura wa Temeke.



Katika hali ya kuonesha kutoungwa mkono walitangaza kuwa akina Juma Nature watakuepo na Wasanii kibao pia Magufuli atakuepo kupitia Redio ya Clouds Fm cha ajabu msanii aliyekuepo ni Chidi Benzi tuu na Magufuli hakuepo kama ilivyotangazwa.






Mkutano huo wa mwembeyanga Umesababisha watu wengi kutochukuliwa na kutelekezwa hapa Mwembeyanga umesababisha Wananchi waliokua wamevalia sare Kuachwa na Kwani walikua wamekaa kwa vikundi baada ya mkutano kuisha kusubiri magari yaliyokua yakidhaniwa yatarudi kuwachukua na hayakuja Binafsi nimesaidia Nauli ya Watu watano waliokua wanaenda Kibaha.






Natoa wito kwa jamii ambazo zinadanganywa na kupandishwa kwenye magari Kukataa kwani baada ya mkutano ni karaha CCM imekua ikiwatelekeza Uwanjani.


Mi nipo Kisuma hapa nakula nyama choma.................
 
Kupita mkutano wa UVCCM unaofanyika muda huu hapo Mwembe Yanga, Mwenyekiti wa UVCCM Taifa Sadifa Juma amesisika akisema kupitia televisheni ya Star TV kuwa "Lowassa anatokwa na mikojo barabarani" hii ni kauli yenye lengo la kuvunja amani ya nchi.

Ikumbukwe kuwa Lowassa anayeambiwa na UVCCM kuwa anatokwa na mikojo barabarani ni baba wa familia, ni babu wa wajukuu na zaidi ya yote ni kiongozi wa nchi hii aliitumikia nchi hii akiwa waziri mkuu (2005-2008), pia ni Mgombea Urais wa CHADEMA na UKAWA chama na umoja ambao una mashabiki na wapenzi wengi ambao wasingeweza kuvumilia kuona kiongozi wao anatukanwa hadharani na UVCCM.

Sadifa Juma na UVCCM ni mchochezi na wanavunja amani ya nchi hii wakiwa ni sehemu ya chama tawala CCM, hii inamaanisha kuwa CCM imemtuma Sadifa kumtukana Lowassa na ni dhahiri kuwa CCM ndio chama kinachoanzisha vurugu na uvunjifu wa amani.

Wakati Sadifa Juma wa UVCCM anamtukana Lowassa uwanja anaotumia umejaa askari ambao hawakuonekana kumchukulia hatua za kumkamata kwa kutoa lugha za uchochezi, matusi na udhalilishaji hadharani.

CCM inaimba wimbo wa amani lakini inavunja amani kwa matamshi yake yenyewe. CCM inaimba kama malaika na inacheza kama mashetani. CCM ni waongo sana, wanajifanya Kuimba amani kila kona ya nchi wakati huo huo wanavunja amani kwa kumtukana Lowassa hadharani. Shirika moja lililofanya utafiti limebaini Lowassa ameshatukanwa na CCM mara 121 katika majukwaa mbalimbali ya kampeni.

Mimi kama AdvocateMtetezi nalishauri "jeshi la policy", wamchukulie hatua Sadifa Juma mwenyekiti wa UVCCM kwa kumtukana Lowassa hadharani kuepusha vijana wa UKAWA na vijana wanaompenda Lowassa nchini kujibu mapigo. Nawashauri pia vijana wa UKAWA endapo "jeshi la policy" halitachukua hatua dhidi ya UVCCM na Sadifa Juma basi wao pia wajibu mapigo kwa namna watakavyoona wao inafaa, kama alivyofanya mwenzao Sadifa Juma akitumia jukwaa la UVCCM na kurushwa live na kituo cha Star TV.

ccm wamepoteza dira wamekuwa ndo wapinzani
 
Kuna maisha baada ya uchaguzi jamani, tyrants siasa za kistaarabu, wanaotukana sijui kama wanajua kama wanajipunguzia kura. TZ ya leo Si ya jana. Namalizia kuchart na bibi yangu bush kwa wats up. Kwahiyo uongo na ukweli unajulikana very fast kila kona ya Tz. Luna mango Mencken ya kuombea mfano, dangote, kiwanda cha hesitant nk, matusi hayana nafasi kabisaaaa
 
Wadau,
Abasi mtevu leo ktk viwanja vya mwembe yanga ameendeleza tabia ya ccm kutoa kauli za kuhatarisha amani. Alisema..'kule mbagala panapo tusumbua tutapanyia kazi maalumu..nimeshaongea na Yussuf Manji atatoa msaada tuwashughulikie,lazima tushinde kwa jinsi yoyote ile'

Hizi ni kauli hatarishi..vipo wapi vyombo vya usalama! Ipo wapi tume ya uchaguz!
 
10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom