mjasiliaupeo
JF-Expert Member
- Apr 21, 2013
- 2,147
- 3,059
kwa kweli inasikitisha kuona UVCCM wanatumia ujana na usomi wao katika kuhujumu mikutano ya dr.Slaa, isitoshe wenzao BAVICHA hawana habari ndio kwanza wapo kwenye kongamano la vijana ubungo plaza, hii picha inaenda utafiki vijana wa chadema ndio wamebeba utawala wa nchi kwa kuendesha makongamano yenye tija kwa taifa, kwa kweli nilisubili kusikia vijana wa CCM watafanya nini siku ya leo bila jibu, UVCCM wanatumika kama chambo kwenye kazi ambazo wakina nape wamezishindwa na sasa wanaonekana kama vijana wasiokuwa na vision bali wanaongozwa na matukio haswa ya CHADEMA, hawawezi wakaongelea mema ya CCM bali wanakesha kutafuta mabaya ya CHADEMA. BAVICHA endeleeni na hali yenu ya kulijali taifa kwanza na sio propaganda za magamba.
MMEANZA NA MUNGU MTAMALIZA NA MUNGU.
MMEANZA NA MUNGU MTAMALIZA NA MUNGU.