Shujaa Mwendazake
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 3,735
- 6,281
Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Mtwara, Nasibu Kanduru amesema kuwa matamshi ya Tundu Lissu akiwa nje ya Nchi yanaonyesha wazi Viongozi wa CHADEMA hawajui kutofautisha kati ya Uhuru wa Mahakama, Utawala Bora na Uongozi wa Kiimla.
Kanduru amesema: "TunduALissa anaonyesha fika anajua Mashitaka yanayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe hivyo yuko katika juhudi kubwa ili kuficha ukweli nyuma ya mashitaka yanayomkabili Mbowe kabla ya Mahakama kutoa hukumu... Lissu anatumia taaluma yake ya Sheria na kuwa Wakili wa Mahakama Kuu ili kuficha madai na tuhuma au madhambi na makosa yanayoweza kumkabili kila mtuhumiwa yeyote anayetoka Chadema huku akijificha kwenye kichaka cha Siasa."
"Ni kipi kinachomfanya Lissu azungumzie kesi ilioko Mahakamani huku akijua kufanya hivyo ni wazi Makamu Mwenyekiti huyo anaithibitishia Dunia kua, anaizuia Mahakama isitende haki dhidi ya tuhuma zinazomkabili Mbowe mahakamani" - Aliongezea Bwana Kanduru
My Take:
Nmejaribu kufuatilia matamko ya UVCCM mwaka huu, nimegundua huyu Mwenyekiti wa Mtwara yupo On Fire. Sijajua reason Behind.
Time will tell
Kanduru amesema: "TunduALissa anaonyesha fika anajua Mashitaka yanayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe hivyo yuko katika juhudi kubwa ili kuficha ukweli nyuma ya mashitaka yanayomkabili Mbowe kabla ya Mahakama kutoa hukumu... Lissu anatumia taaluma yake ya Sheria na kuwa Wakili wa Mahakama Kuu ili kuficha madai na tuhuma au madhambi na makosa yanayoweza kumkabili kila mtuhumiwa yeyote anayetoka Chadema huku akijificha kwenye kichaka cha Siasa."
"Ni kipi kinachomfanya Lissu azungumzie kesi ilioko Mahakamani huku akijua kufanya hivyo ni wazi Makamu Mwenyekiti huyo anaithibitishia Dunia kua, anaizuia Mahakama isitende haki dhidi ya tuhuma zinazomkabili Mbowe mahakamani" - Aliongezea Bwana Kanduru
My Take:
Nmejaribu kufuatilia matamko ya UVCCM mwaka huu, nimegundua huyu Mwenyekiti wa Mtwara yupo On Fire. Sijajua reason Behind.
Time will tell