SautiYaMnyonge
JF-Expert Member
- May 13, 2018
- 439
- 742
Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi unawahamasisha wanachama wake na vijana wazalendo wote kujitokeza kushiriki zoezi la "KUCHANGIA DAMU KWA AJILI YA KUSAIDIA KUOKOA MAISHA YA MAJERUHI WA AJALI YA GARI LA MAFUTA ILIYOTOKEA TAREHE 10/8/2019 MSAMVU MKOANI MOROGORO."
Tarehe: 13/8/2019
Muda: Kuanzia saa 2 asubuhi hadi saa 12 jioni.
Eneo: Hospital ya Taifa ya Muhimbili.
Wote mnakaribishwa.
Kwa ushiriki na mawasiliano zaidi piga simu namba
0784916592/0715916592/0625676152
Tarehe: 13/8/2019
Muda: Kuanzia saa 2 asubuhi hadi saa 12 jioni.
Eneo: Hospital ya Taifa ya Muhimbili.
Wote mnakaribishwa.
Kwa ushiriki na mawasiliano zaidi piga simu namba
0784916592/0715916592/0625676152