UVCCM Shinyanga: Rais Samia angalia upya suala la tozo za miamala ya simu kwa maslahi ya wananchi wa hali ya chini

Shujaa Mwendazake

JF-Expert Member
Jul 11, 2015
3,735
6,291
Baraza Kuu la UVCCM Mkoa wa Shinyanga chini ya Mwenyekiti Baraka Shemahonge limemtaka Rais Samia Suluhu kuliangalia upya suala la Tozo za Miamala ya Simu kwa manufaa ya wananchi wa hali ya Chini na Vijana wengi wasio na Ajira.

Baraza limeonya kuwa Mzunguko wa Fedha utapungua
 
Tumechelewa Sana Ndugu Zangu
Tumelaliwa Sana Ndugu Zangu
Tumeliwa Sana Ndugu Zangu
😀😁😂😂😃😃😄😄😅😆😅😅😆😅



Wema Ni Ujinga, Roho Mbaya Ni Kinga

Ccm Inapasuka Yenyewe Kama Pazia
😥😣😏🙄😶😑😐☺🙂🤔😇
 
Baraza Kuu la UVCCM Mkoa wa Shinyanga chini ya Mwenyekiti Baraka Shemahonge limemtaka Rais Samia Suluhu kuliangalia upya suala la Tozo za Miamala ya Simu kwa manufaa ya wananchi wa hali ya Chini na Vijana wengi wasio na Ajira.

Baraza limeonya kuwa Mzunguko wa Fedha utapungua
Walikuwa wapi wakati hoja ilipopelekwa bungeni?
Huu ndiyo unafiki na uzandiki
 
Baraza Kuu la UVCCM Mkoa wa Shinyanga chini ya Mwenyekiti Baraka Shemahonge limemtaka Rais Samia Suluhu kuliangalia upya suala la Tozo za Miamala ya Simu kwa manufaa ya wananchi wa hali ya Chini na Vijana wengi wasio na Ajira.

Baraza limeonya kuwa Mzunguko wa Fedha utapungua
2019 walivuruga uchaguzi.
2020 waliiba kura.
2020 walijiapisha.
2021 walianza kuugua.
2021 wakafariki.
2021 wakazikwa.
2021 wakaombolezwa.
2021 Kodi ya kipumbavu ikapitishwa.
2021 ...........?????
 
Baraza Kuu la UVCCM Mkoa wa Shinyanga chini ya Mwenyekiti Baraka Shemahonge limemtaka Rais Samia Suluhu kuliangalia upya suala la Tozo za Miamala ya Simu kwa manufaa ya wananchi wa hali ya Chini na Vijana wengi wasio na Ajira.

Baraza limeonya kuwa Mzunguko wa Fedha utapungua

Uvccm kuweni wazalendo nyie. Shaurini ongezeko. Likiwa x2 ingependeza zaidi.
 
Baraza Kuu la UVCCM Mkoa wa Shinyanga chini ya Mwenyekiti Baraka Shemahonge limemtaka Rais Samia Suluhu kuliangalia upya suala la Tozo za Miamala ya Simu kwa manufaa ya wananchi wa hali ya Chini na Vijana wengi wasio na Ajira.

Baraza limeonya kuwa Mzunguko wa Fedha utapungua
Huenda mmoja wa wajumbe ameonja joto ya jiwe si bure
 
Hao wanaotuhimiza Uzalendo wao ni Mabilionea.

Ndio maana wana jeuri ya kutuita majina, kutukejeli na kututishia kuwa kama hatutaki tukatafute kwa wasiolipa kodi.

Mtu yupo Bungeni tangu 2010, keshatengeneza wastani wa sh 13m*miezi12*miaka 20=3120m, hapo jumlisha za Uwaziri, za kamati na Posho nyingine kibao.

Hebu tuambiwe ni nini haswa cha kizalendo Wamefanya wao.

Hivyo Mtu kama huyo anapokaa mbele ya Umma na kujinadi kuwa ni Mzalendo anayekidhi vigezo vya Kuhubiria wengine washinde njaa, wakose dawa, wakose ajira n.k ndio wawe Wazalendo kama yeye ni usanii mtupu.
 
Huku mitaani ni malalamiko mtindo mmoja.

Sidhani kama Rais anajisikia vyema kuongoza nchi ambayo Raia wake wanalalamika tu.
Watu wanastrugle kuunga unga hata kwa hizo kamisheni baada ya kupigwa na mdororo wa shuguli kutokana na Covid lakini hawa wanaolipwa mabilioni wao ni kuongea chohote wanachojisikia.

Kama kuna shida ya mapato basi waongeze kwenye shughuli za luxury zisizoumiza kila Mtu mpaka wasio na hatia. Waongeze kwenye sigara na pombe na viingilio vya Muziki na Mpira, Vifurushi vya Televisheni huko n.k. lakini sio kumwambia Mzee Mpili akipokea elfu tano yake akutolee elfu moja.

Huku kwenye miamala ndiko Watu wantumiana pesa za chakula, matibabu n.k.

Mpili 22.png
 
Baraza Kuu la UVCCM Mkoa wa Shinyanga chini ya Mwenyekiti Baraka Shemahonge limemtaka Rais Samia Suluhu kuliangalia upya suala la Tozo za Miamala ya Simu kwa manufaa ya wananchi wa hali ya Chini na Vijana wengi wasio na Ajira.

Baraza limeonya kuwa Mzunguko wa Fedha utapungua
Samia bunge limemuuza ili akiue chama . Ila 2025 mama atafute kazi nyingine
 
Hicho ni chama kiongozi, kinakubali kujisahihisha na kushauriana sio yule mfalme wenu ukiwa na mawazo mbadala utaitwa msaliti tu.
Ccm imewai kujisahihisha nini?.yenyewe ndio inayoongoza hii nchi toka uhuru kwahiyo maovyo ovyo yote ya nchi hii yanabaraka zake sasa ni lini kilirekebisha lolote walilolianzisha wenyewe.mabadiliko yote ni matokeo ya wananchi wenyewe tuliona hata kwenye swala la fao lakujitoa viongozi wote wa ccm walikua wanatetea ule uamuzi hadi kelele za wadau kua nyingi ndo wakajifanya kurekebisha ata hili wananchi wakikaa kimya ndo imetoka hiyo.acha kujitoa ufahamu.
 
Back
Top Bottom