BUCHANAGANDE
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 1,513
- 474
ACha waendelee kupigana maana hawana jipya zaidi ya kupigana pigana tu kila kukicha.
unaweza kutusaidia kwa nn mbowe alimzaba kibao mwangalizi wa kiislam ktk uchaguzi mkuu jimbo la hai mwaka 2010?
MY TAKE:
Chama cha mapinduzi kimekuwa mstari wa mbele kueneza propaganda za udini, ukabila dhidi ya vyama vya upinzani lakini kwa tukio hili la uchaguzi wa vijana mkoa wa Mara imedhihirika kwa mara nyingine tena kwamba ccm ndiye baba na mama wa ukabila na udini.
Nimeona Morogoro Huko wametoka Nje Na kucheza ndombolo. Hiki Kikundi kinachoitwa CCM ni hatari sana
Wakurya wamejipanga mno wakiongozwa na Vedastus matao tajiri aliekuwa mbunge wa musoma vijijiji na kwa sasa ni MNEC Musoma mjini na anataumia hela yae kuopnga safu VIONGI WA MARA WENGI WAO WAKIWA WAKURYA!
ANAINGILIA KILA WILAYA KUPANGA SAFU HELA YAKE IMEWAWEKA MFUKONI TAKUKURU KWAKE HAWAONI KABISA MFANO KATIKA UCHAGUZI WAKE WA NEC MUOSMA MJINI KIJANA WA KAKA YAKE ANAITWA MARWA ONGOING MWENYEKITI WA VIJANA MKOA ALIKUWA ANAGAWA HELA WAZI WAZI UKUMBINI ELFU 80000 LAKINI TAKUKURU WALIPEWA TAARIFA WAKAKAA KIMYA IKASIHIWA KUANDIKWA TU KATIKA MAGAZETI NA HATIMAYE VEDASTUS AKATANGAZWA KUWA MNEC!
SASA ANA VITA YA KUHAKIKISHA MAKONGORO MZANAKI HAPATI KITI CHA CCM MKOA ANATAKA KUTUMIA FEDHA ZAKE KUWEKA MKURYA WAGOMEA NI WATATU WAWILI WAKURAY MMOJA MZANAKI!
VEDATSUS MATAYO ALIHUSIKA MOJA KWA MOJA KUPANGA SAFU YA WAKURYA KWA KUTUMIA FEDHA ZAKE KATIKA WILYA YA BUTIAMA!
(1) MWENYEKITI VIJANA DARASA LA SABA MKURYA!! PESA ILIMSHINDA KIJANA MSOMI 22 YEARS!
(2) MWENYEKITI AKINA WANAWAKE MKURYA DARASA LA SABA!
(3) MWENYEKITI CCM WILYA MKURYA FORM 4
(4) MNEC MKURYA FORM SIX.
PESA YA MATAYO YA MAFUTA NA IKISAIDIA NA MZEE ............. ITALETA KIAMA CHA CCM KUANGUKA MKOA MZIMA, HASA WAJITA WAMEONEWA SASA TENA WASHINDI WANTAMBA KUWA NI RAHISI KUMUNUA MJITA!!!
unaweza kutusaidia kwa nn mbowe alimzaba kibao mwangalizi wa kiislam ktk uchaguzi mkuu jimbo la hai mwaka 2010?