majata
JF-Expert Member
- Oct 7, 2010
- 431
- 179
Hongereni kwa tamko lenu lenye harufu ya uchungu kwa chama chenu ili kiache kukumbatia uovu wakati wananchi wamekiamini na wakakipa dola, ila hamkupaswa kumchafua Mh Dr slaa kwani dhambi zake ni mali yake yeye binafsi na Mungu ndie atakaye Mhukumu na sio sisi binadamu,Dr slaa ameaminiwa na watanzania wengi na amekuwa msatari wa mbele kutetea hata hicho ambacho leo nyie mnapinga kisisambaratishe chama chenu. Ameungwa mkono na zaidi ya watu 2000000 pamoja na uchakachuzi wa tume.
"Je nyie UVCCM Ikiwa JK atakaa kimya katika mambo mliyoyataja katika tamko lenu Mpo tayari Kumtunisia?"
Kama Hamko tayari kumtunisia Tamko lenu halina Maana yeyote.
"Je nyie UVCCM Ikiwa JK atakaa kimya katika mambo mliyoyataja katika tamko lenu Mpo tayari Kumtunisia?"
Kama Hamko tayari kumtunisia Tamko lenu halina Maana yeyote.