democratic
JF-Expert Member
- Nov 21, 2011
- 1,642
- 295
wewe tuliza mshono,hivi cdm unaifahamu au unaisikia tu,aisee jamaa wako organized vibaya mno,yaani lowassa ni mdudu mdogo sana kwa hivi vichwa,hujaona arumeru alivyopigishwa sarakasi akiwa amevaa taulo.ondoa shaka ya lowassa kabisa.naanza kupata picha kuwa Lowassa anafahamu kitu juu ya
Millya kujiunga CDM kuna kitu kinaendelea, swali ni je
CDM watakubali kula sahani moja na FISADI PAPA ORIJINO?