Basi muache kuwasakama Wahaya,wachaga na wanyakyusa.Ngoja wachukue Nchi muone.Kwa kweli watu wakabila Tanzania kaskazini wameru ni namba mosi
Ni aibu kwa Mtanzania wa leo kushabikia uhalifu!
Ni watu wajinga tu wanaojua kuharibu na kuua katika karne hii ya Mtanzania.Kuna njia lukuki kufikia mwisho unao uhitaji, cha hapo juu ni cha kusikitisha.
Inaonekana watu wengine wanaandamwa na bahati mbaya; mara mawe yanajitokeza barabarani na kusababisha "kosa kosa" na wananusurika na kabla hawajashusha pumzi mradi wao mkubwa unatekekezwa kama ilikuwa Zimbabwe mbele ya pua za polisi. Sijui what is next.
3. Aloyce Kimaro – it baffles many that this semi-illiterate thug can even be a Member of Parliament. It speaks volume to the desperation of CCM to do anything, including recruiting thugs and former thieves, to win back opposition seats.
The biggest comedy in the country at the moment is that this man is mentioned among principled Members of Parliament who can stand up and speak truth to power, including pointing a finger at Mkapa. Well, just few weeks ago he extorted a tender to guide VIPs to climb Mt. Kilimanjaro during the Sullivan Summit by threatening officials at the Ministry of Foreign Affairs that he will blast them in the Parliament. Pure blackmail.
How can we forget the ANATOMY OF STUPIDITY ?
Kimaro alielezewa kuwa:
huyo ndie KIMARO mnayemmzungumzia
Looh! Zimbabwe imehamia Tanzania? Kazi kweli mwaka huu!
Wale wa kwa Ballali mbona walitolewa haraka haraka, hivi huyu mkuu wameamua kumwacha juani peke yake?
Ila tu ushauri kwa wapiganaji wa ufisadi ni muhimu kuwa whitter than white otherwise wajanja watajua pa kukukamata.
Jamani JF we are better than this,
Kwanini tunampa Kimaro ''easy ride''?
Shamba limevamiwa, ni habari ya kusikitisha, na kusikitisha kwa pande zote mbili.
Sisi kama JF nyumbani kwa GT, tunatakiwa kufanya a more systematic aproach kwa hili suala. Tusichague upande.
Tuanze kwa kuangalia,
Kimaro alilipata lini hilo shamba la ekari 500?
Alilipa kiasi gani cha pesa? Alimlipa nani?
Utaratibu gani ulitumika wakati anapewa umiliki wa shamba hilo toka kwa settler aliyenyang'anywa?
Sheria inasemaje juu ya umilikishwaji wa mali kama hizi zilizochukuliwa toka kwa wageni?
Baada ya hapo ndio tuendelee na kutafuta ''mchawi'' etc.
that is the wrong approach. The right approach ni kuwa wale wanakijiji ni wahalifu wachukuliwe hatua. Vitendo vyao haviwezi kuhalalishwa na bei ya Kimaro kununua shamba au mwaka gani alinunua shamba hilo. Uhuni walioufanya hauwezi kuhalalishwa kwa kujua kama shamba alilinunua kwa nani.
Lakini zaidi kama kungekuwa na issue ya umiliki wake swali lingekuwa ni hawa wanakijiji wamechukua hatua gani za kisheria kuzuia umiliki huo wa Kimaro? Nadhani hicho ndicho cha kuulizwa. Ni wana kijiji wana burden of proof ya kuonesha kuwa Kimaro kalipata shamba kwa njia kinyume na sheria.
Jamani JF we are better than this,
Kwanini tunampa Kimaro ''easy ride''?
Shamba limevamiwa, ni habari ya kusikitisha, na kusikitisha kwa pande zote mbili.
Sisi kama JF nyumbani kwa GT, tunatakiwa kufanya a more systematic aproach kwa hili suala. Tusichague upande.
Tuanze kwa kuangalia,
Kimaro alilipata lini hilo shamba la ekari 500?
Alilipa kiasi gani cha pesa? Alimlipa nani?
Utaratibu gani ulitumika wakati anapewa umiliki wa shamba hilo toka kwa settler aliyenyang'anywa?
Sheria inasemaje juu ya umilikishwaji wa mali kama hizi zilizochukuliwa toka kwa wageni?
Baada ya hapo ndio tuendelee na kutafuta ''mchawi'' etc.