[h=6]Wapambanaji wa Ukweli Chama cha wananchi CUF kwa wiki kadhaa kimekuwepo Mkoani Arusha ktk operesheni maalum ya kuzindua Matawi na kupokea wanachama wapya ktk Mkoa huo maarufu kwa watalii.
Ktk operesheni hiyo cuf ilifungua ZAIDI YA MATAWI 40 na kupokea wanachama Zaidi ya 500, (300 ktk ufunguz wa matawi), (200 ktk mikutano ya hadhara).
Hali hiyo imepelekea Chadema kukatisha Ghafla ziara yake ktk mikoa ya Kusini baada ya kuona nyumba yake inaungua.
Wananchi wengi wa Mkoani Arusha wamepata Muamko Mkubwa baada ya kuckiliza Sera za CuF na wengi kuamua kukiunga mkono huku Wakitulaumu kwann hatufanyi ziara mara kwa mara ktk Mkoa wao.
Tumewaahidi watu wa Arusha kuwa Daima cha Cha wanamchi CUF kitakuwa pamoja nao ktk Kuwapigania ktk kuleta Haki Sawa Kwa Wote na Maendeleo watakayoyaona.
KATIKA HATUA NYINGINE CHADEMA KIMEKATALIWA NA WANANCHI WA NANYUMBU MKOANI MTWARA NA KILWA MASOKO KUFANYA MKUTANO WA HADHARA BAADA YA WANANCHI HAO KUKILAUMU CHAMA HICHO KUKUMBATIA UDINI NA UKABIL[/h]
Ktk operesheni hiyo cuf ilifungua ZAIDI YA MATAWI 40 na kupokea wanachama Zaidi ya 500, (300 ktk ufunguz wa matawi), (200 ktk mikutano ya hadhara).
Hali hiyo imepelekea Chadema kukatisha Ghafla ziara yake ktk mikoa ya Kusini baada ya kuona nyumba yake inaungua.
Wananchi wengi wa Mkoani Arusha wamepata Muamko Mkubwa baada ya kuckiliza Sera za CuF na wengi kuamua kukiunga mkono huku Wakitulaumu kwann hatufanyi ziara mara kwa mara ktk Mkoa wao.
Tumewaahidi watu wa Arusha kuwa Daima cha Cha wanamchi CUF kitakuwa pamoja nao ktk Kuwapigania ktk kuleta Haki Sawa Kwa Wote na Maendeleo watakayoyaona.
KATIKA HATUA NYINGINE CHADEMA KIMEKATALIWA NA WANANCHI WA NANYUMBU MKOANI MTWARA NA KILWA MASOKO KUFANYA MKUTANO WA HADHARA BAADA YA WANANCHI HAO KUKILAUMU CHAMA HICHO KUKUMBATIA UDINI NA UKABIL[/h]