Mrs Van
JF-Expert Member
- Mar 9, 2016
- 7,116
- 15,609
Simu used ya elfu 60 khaaaaaAlitudhihaki lakini ndo huyu huyu aliyetaka simu used isiyozidi elf 60
Leo kapanda dau kasahau alipotoka.
View attachment 1862442
Simu used ya elfu 60 khaaaaaAlitudhihaki lakini ndo huyu huyu aliyetaka simu used isiyozidi elf 60
Leo kapanda dau kasahau alipotoka.
View attachment 1862442
Vipi kuhusu viatuHabari JF
Hii pia haina ubishi, uvaaji wa nguo za mtumba hapa Tanzania ni indicator ya masikini wa kiwango cha juu
Haiwezekani mtu mwenye pesa kushindwa kununua nguo mpya ambayo haijavaliwa na mtu yoyoyte
Inakuaje mtu unapesa ukanunue nguo aliyovaa mtu kaacha mijasho yake humo, kama ndio underwear mabaki yake humo ni aibu mimi kuyasema hapa
Uvaaji nguo za mtumba ni umasikini uliopitiliza
Asienacho akipata anakuwa na muhaho hatulizi makalio atataka Kila mtu ajue kuwa kapatahivi huu msemo una maana gani?
😂😂😂Asante kumuumbua huyu mjingaMbona naye ni wa lialia huyuView attachment 1862439
Wewe ni fukara mwenzetu !!! Najiuluza hiki kiburi umekipata wapi lakin cpati jibu !!! Ila kwa kifupi tuu HUJAKUA!!!
Mbona naye ni wa lialia huyuView attachment 1862439
Asante kumuumbua huyu mjinga
Watu wanamaigizo sana.Simu used ya elfu 60 khaaaaa
Anajitetea huko
Mi kama kuna mtumba mkali sivai hizo za dukaniNguo za mtumba nyingi ukienda dukani ni zaidi ya laki.
Achana na haya madude yanayopauka kabla hayajafuliwa
Hahaha, unanunua tshirt xl, ukiifua mara moja tu inakuwa xxxxl
Sio kwamba hakuna aliyeweza kukuuzia simu kwa hiyo bei. Ina maana ungepata kwa bei hiyo usingeacha kununua SIMU USEDmkuu sijawahi nunua simu used
niliweka tangazo mwisho wa siku nikaamua kwenda dukani
Made in China...zinapauka...ni sare. Mitumba iko classic.Nguo za mtumba nyingi ukienda dukani ni zaidi ya laki.
Achana na haya madude yanayopauka kabla hayajafuliwa
Sio kwamba hakuna aliyeweza kukuuzia simu kwa hiyo bei. Ina maana ungepata kwa bei hiyo usingeacha kununua SIMU USED
.mkuu pambana na umasikini wako