Eti Sekretari wa UN.....Vitu vya namna hiii bwana
sio mwanamke unavaa misuruali halafu bora hata uwe na shape (afadhali)
vinguo vifupi humpa point sana mwanamke (tena ukute kavaa offficial) unaweza muogopa
ukajua huyu secretary wa UN
humo humo yani
Kama atakuja kuwa speaker au mike itapendeza sana
Unamfananisha na Tulia.....Kama atakuja kuwa speaker au mike itapendeza sana
WEwe wasema
Kila mtu anaweza kuvaa chochote anachojisikia ili mradi yeye anajiamini kapendeza na hajamkwaza mtuVitu vya namna hiii bwana
sio mwanamke unavaa misuruali halafu bora hata uwe na shape (afadhali)
vinguo vifupi humpa point sana mwanamke (tena ukute kavaa offficial) unaweza muogopa
ukajua huyu secretary wa UN
ni kweli,hapa kila mtu anaandika anavyoonelea yeyeKila mtu anaweza kuvaa chochote anachojisikia ili mradi yeye anajiamini kapendeza na hajamkwaza mtu
Sent using Jamii Forums mobile app