Bazazi
JF-Expert Member
- Aug 18, 2008
- 2,806
- 3,476
Bazazi ana hoja kidogo.
Kwa watu wazima kidogo (si chini 40 yrs), wanadai siku hizi hakuna raha ya kuoa, kwasababu uvaaji wa mabinti wa kileo umepoteza heshima na ladha ya mwanamke. Nyamaume hao wanadai, zamani ukifanikiwa kuona chupi ya mwanamke sharti dhakari iinuke, lakini siku hizi kuona si chupi tu bali hata shanga ni jambo la kawaida. Zamani kuona umbo halisi ilikuwa ni lazima aidha umchungulie akioga au akivaa ilhali siku hizi barabarani wote wamevaa nguo za kubana. Pia ilikuwa ni lazima ufanye kazi ya ziada kuliona tumbo na matiti ya binti ilhali siku hizi mambo hadharani.
Walalamikaji walizidi kuongeza kuwa zamani kumtongaza binti ilikuwa ni kazi ngumu ambapo siku hizi unamuita na kuondoka nae siku hiyohiyo.
Madhara ya hali hiyo ni kuwa huna haja ya kuoa ilhali kila kitu unaweza kukipata kwa urahisi kwani too much of something is marvellous.
Mimi kama mimi nakubaliana nao kwakuwa too much of something tends to saturate your sensory nerves.
Kwa watu wazima kidogo (si chini 40 yrs), wanadai siku hizi hakuna raha ya kuoa, kwasababu uvaaji wa mabinti wa kileo umepoteza heshima na ladha ya mwanamke. Nyamaume hao wanadai, zamani ukifanikiwa kuona chupi ya mwanamke sharti dhakari iinuke, lakini siku hizi kuona si chupi tu bali hata shanga ni jambo la kawaida. Zamani kuona umbo halisi ilikuwa ni lazima aidha umchungulie akioga au akivaa ilhali siku hizi barabarani wote wamevaa nguo za kubana. Pia ilikuwa ni lazima ufanye kazi ya ziada kuliona tumbo na matiti ya binti ilhali siku hizi mambo hadharani.
Walalamikaji walizidi kuongeza kuwa zamani kumtongaza binti ilikuwa ni kazi ngumu ambapo siku hizi unamuita na kuondoka nae siku hiyohiyo.
Madhara ya hali hiyo ni kuwa huna haja ya kuoa ilhali kila kitu unaweza kukipata kwa urahisi kwani too much of something is marvellous.
Mimi kama mimi nakubaliana nao kwakuwa too much of something tends to saturate your sensory nerves.