njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,084
- 8,663
Hapa kwa wataalamu wa sheria na haswa ukichukulia speaker ni gwiji lililobobea kisheria haya mavazi ni kigezo tosha cha kuikataa barua hiyo (nakala ya hukumu) hivyo kuwapa muda wazalendo na mashujaa 19 yaani Covid-19 kupambania haki yao kama Watanzania ya kuwa na ajira,they have got families to feed not a village to impress.
Maafisa wa CHADEMA Kushoto Aaron Mashuve na Kulia Evance Luvinga Wakiwa Nje ya viunga vya Bunge, Dodoma wakiwa wametoka kuwasilisha hukumu ya Mahakama kwa Spika Tulia Ackson
Maafisa wa CHADEMA Kushoto Aaron Mashuve na Kulia Evance Luvinga Wakiwa Nje ya viunga vya Bunge, Dodoma wakiwa wametoka kuwasilisha hukumu ya Mahakama kwa Spika Tulia Ackson