Uuzwaji holela wa dawa za Mitishamba udhibitiwe, nyingine ni hatari kwa afya ya binadamu!

Vivyo-hivyo kwenye upande wa COSMETICS, haswa hizi wanazoziita NATURAL COSMETICS. Wako wanaoharibu biashara hii kwa kutumia viambato ndivyo-sivyo; mfano CORTICOSTEROIDS aina ya Betamethasone N.K.
Kuna hii product inaitwa Clonovate Cream na nyingine nyingi tuu. Zina steroids za Hali ya juu..... Watu wanadanganywa ni natural products.... Soko limeharibika kabisa. Watu ni kusaka pesa kwa kwenda mbele .... Wananchi wanatakiwa kuwa Makini zaidi.



images (37).jpeg
Screenshot_20211201-131816_3.jpg
 
Tatizo si Wamasai bali ni huduma za afya. Zikiwa bora, zinazofikika kwa wananchi wengi na gharama nafuu watu watatibiwa UTI, kichwa na malaria hospital.
Hali ngumu ya maisha ndo kisababishi cha hayo yote, hospitali gharama, kila ugonjwa na vipimo vyake na dawa zake, lakini kwenye mitishamba dawa moja haifiki hata elf 50 anaambiwa inatibu magonjwa yote.
 
Hali ngumu ya maisha ndo kisababishi cha hayo yote, hospitali gharama, kila ugonjwa na vipimo vyake na dawa zake, lakini kwenye mitishamba dawa moja haifiki hata elf 50 anaambiwa inatibu magonjwa yote.
Hatuna hata wabunge wakututetea; magonjwa yanayosumbua jamii kama malaria yangepimwa na kutibiwa bure. Mwisho wa siku vifo vikiongezeka ni nguvu kazi ya nchi inapungua.
 
Hatuna hata wabunge wakututetea; magonjwa yanayosumbua jamii kama malaria yangepimwa na kutibiwa bure. Mwisho wa siku vifo vikiongezeka ni nguvu kazi ya nchi inapungua.
Wabunge wa leo wapo kwa ajili ya maslahi yao tu na sio kwa ajili ya wananchi. Na hii ndo itachangia nchi kurudi nyuma zaidi maana hakuna wa kuinyooshea kidole serikali
 
Wameona hamuwafuati kwa office hivyo wakaamua kuwasogezea mpaka unyayoni.

Pia ukisema serikali iwastopishe tambua nao familia zinawategemea
Lamsingi wee ukiona ni matapeli usinunue dawa zao ikibidi waambie wakupitie mbali
 
Kumekuwa na ongezeko kubwa mtaani la uuzwaji wa dawa za mitishamba, dawa hizo hazina vipimo maalumu na wala haijulikani ni aina gani ya miti.

Mfano mzuri unakuta mmasai ameweka dawa kwenye galoni moja huku amebeba karatasi maalumu yenye aina za magonjwa karibu 200 ambayo yanatibika na dawa iliyopo kwenye galoni.

Dawa moja tu utaambiwa inatibu magonjwa kama vile presha, kusafisha damu,Kichwa, UTI. Uvimbe, malaria. Homa ya matumbo fungus, kisukari, tambazi. Ini nk

Ongezeka la dawa hizo zimekuwa kila mahala hadi kufikia wengine kufungua maduka ya dawa za asili lakini ukifuatilia wengi wa waliotibiwa kupitia dawa zao hawakupona wala kupata nafuu.

Serikali nayo imekuwa kimya ikiwaacha wananchi kufanya chochote bila uthibiti maalumu wa kuwaokoa raia wake. Badala ya dawa hizo kwenda kutibu tatizo inaenda kuanzisha tatizo lingine.
Nmekumbuka mashine ya kujifukiza pale Mwimbili
Ivi ni nani aliyetuaminjsha kila mmasai ni mtaalamu wa dawa?
 
Hii dunia ina mengi ni kuvumilia tu, mtu abapaka dushe lake vumbi la mkongo dushe analifunga kwenye ka mfuko ka sukari 8hrs before tendo.

Dushe linaiva wee huku mwanamke yupo anaandaliwa " baby hakikisha saa 10 unakuja ntakutumia naili na ya kutolea, nauli inatumwa, dushe kule lilisha simama long time.

Mdada ile mpesa ikifika anawaza kikoba ni kesho anaamua kusev ile hela. Plani ni kumuua bibi yake. Sms inatumwa kwa mpaka vumbi.bibi kafariki 😂😂😂😂😂 imeisha hiyo.

Mpaka vumbi ashajianda dushe dede atafanyaje? Lazima aibake hata mbuzi ya ndugu matayo iliyofungwa pale kwenye kakichaka.
 
Kuna mmoja nilimwambia anipe namba yake ya simu ili dawa ikileta madhara nimtafute eti akanijibu "Masai haijui kutumia simu". Jamaa ni matapeli wanaojificha kwenye "ushamba " wa kujitengenezea makusudi
Unrelated to the thread, umenikumbusha masai mmoja alikuwa ananiomba namba nikamwambia me nimeolewa, akasema we nipe tu sikupigii usiku😂
 
Kuna hii product inaitwa Clonovate Cream na nyingine nyingi tuu. Zina steroids za Hali ya juu..... Watu wanadanganywa ni natural products.... Soko limeharibika kabisa. Watu ni kusaka pesa kwa kwenda mbele .... Wananchi wanatakiwa kuwa Makini zaidi.



View attachment 2028652
Clobetasol propionate is a corticosteroid used to treat skin conditions such as eczema, contact dermatitis, seborrheic dermatitis, and psoriasis.[2] It is applied to the skin as a cream, ointment, or shampoo.[2][3] Use should be short term and only if other weaker corticosteroids are not effective.[3] Use is not recommended in rosacea or perioral dermatitis.[2]

Serious side effects may include adrenal suppression, allergic reactions, cellulitis, and Cushing's syndrome.[2] Use in pregnancy and breastfeeding is of unclear safety.[4]

Use this medication only for the condition prescribed. Do not use it for longer than 2 weeks in a row or use more than 50 grams per week unless directed to do so by your doctor.

Other Side-effects of clobetasol propionate:-
A
burning sensation or smarting

Thinning of the skin, permanent stretchmarks, allergic contact dermatitis, acne, rosacea, and hair growth at the site of application

Clobetasol propionate may
get through your skin and into your bloodstream
 
Clobetasol propionate is a corticosteroid used to treat skin conditions such as eczema, contact dermatitis, seborrheic dermatitis, and psoriasis.[2] It is applied to the skin as a cream, ointment, or shampoo.[2][3] Use should be short term and only if other weaker corticosteroids are not effective.[3] Use is not recommended in rosacea or perioral dermatitis.[2]

Serious side effects may include adrenal suppression, allergic reactions, cellulitis, and Cushing's syndrome.[2] Use in pregnancy and breastfeeding is of unclear safety.[4]

Use this medication only for the condition prescribed. Do not use it for longer than 2 weeks in a row or use more than 50 grams per week unless directed to do so by your doctor.

Other Side-effects of clobetasol propionate:-
A
burning sensation or smarting

Thinning of the skin, permanent stretchmarks, allergic contact dermatitis, acne, rosacea, and hair growth at the site of application

Clobetasol propionate may
get through your skin and into your bloodstream
Other Side-effects of clobetasol propionate:-

Thinning of the skin, permanent stretchmarks, allergic contact dermatitis, acne, rosacea, and hair growth at the site of application

Hivyo tusishangae kuona warembo wana ndevu za kutosha na michirizi ya hatari mikononi, mapajani, matatizo ya kuvimba miguu, matatizo ya figo etc....
 
Unrelated to thread, umenikumbusha masai mmoja alikuwa ananiomba namba nikamwambia me nimeolewa, akasema we nipe tu sikupigii usiku😂
Alikua ana test zali. Si unajua wanawapata sana wanawake wa kizungu?😀😀😀

Sasa wanaambiana na wanadhani mbinu hizo zitafanyakazi kwa wadada wa kibongo. I hope hukumkasirikia maana sio dhambi😀😀😀
 
Mmasai kopo la dawa ya mafua, akija mwingine ndio atatoa dawa ya dushe, kopo la dawa ya tumbo akija mwingine ndio anatoa dawa ya kukamata wanawake

Jamaa ni waongo mbaya hawa wanaozurula mtaani, labda wamasai wa ndani huko ndio wanajua dawa ila hawa wanapiga misere kitaa, wanaficha njaa zao kwa mitishamba hivyo lazima akulipue na madawa ya ajabu tu
 
Wewe mleta mada unajua jinsi hizo dawa zinavyopatikana? Namaanisha hao wauzaji wanajuaje kuwa mti huu unatibu kitu Fulani?

Usiingilie Mambo usiyojua ilimradi uanzishe post, kwani kila mwenye Malaria akinywa Malafini hupona?
 
Alikua ana test zali. Si unajua wanawapata sana wanawake wa kizungu?😀😀😀

Sasa wanaambiana na wanadhani mbinu hizo zitafanyakazi kwa wadada wa kibongo. I hope hukumkasirikia maana sio dhambi😀😀😀
Yani sikuhizi Kila kitu vululu vululu ndomana hata mwanamke mwenye mimba anatongozwa.

Me alinichekesha tu sikutegemea hilo jibu
 
Yani sikuhizi Kila kitu vululu vululu ndomana hata mwanamke mwenye mimba anatongozwa.

Me alinichekesha tu sikutegemea hilo jibu
Mbona kuna watu kutembea na wajawazito ndio fantasy yao? Sema huyo Masai alileta kichekesho. Maana alisha conclude mwenyewe kua huchomoi atamkubalia na akjipangia atakua hapigi usiku😀😀😀
 
Back
Top Bottom