Wanachofanya ni kuchukua majani ya mti wowote au magome ya mti wowote na kuiita kuwa ni dawa.,wakati miti mingine ni sumu.
Kumbe ndo mana siku hizi wagonjwa wa figkywamekuwa wengi.Nyingi zina high potassium ambazo zinaweza sababisha kuua kwa figo matokeo yake unajikuya umri mdogo unaanza fanya hemodialysis tuweni makini na afya zetu jamani...kwenye swala zima la afya tuwe 2napenda kufanya research mana afya yako ni mtaji wako wa baadae
🤣🤣🤣kweli mkuuuWanawachanyanyia watu maranda ya Mbao wanawaambia Ni magome ya miti hayo.