Magna Carta
JF-Expert Member
- Jul 14, 2014
- 4,338
- 6,616
Basi ndio HULI KILA KITU. ungekuwa unakula kila kitu ungekula mpaka SUMU
Kwenye vyakula upo sahihi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi ndio HULI KILA KITU. ungekuwa unakula kila kitu ungekula mpaka SUMU
BilinganyaNI CHAKULA GANI HUEZI KULA HATA UWE NJAA VIPI?
MIMI NI *CHIPS😆😆.*
Ugonjwa wanguNdizi za kupika
Do hapo hunitoi hasa kiporo, ukute ule utandu wa chini unekolea maharage.wali ndondo
Madame hebu edit hii komentiDo hapo hunitoi hasa kiporo, ukute uke utandu wa chini unekolea maharage.
Una uhakika ukipewa kande debe moja la kilo kumi na nane hautoshiba?Kande.tambi.ndizi za kupika ambazo hazjawekwa nyama.na viazi vya kupikwa ambavyo havina nyama..yan huwa nakula ila sishibi kabisa mpaka vipate ushirkiano...,,,kama ni tambi basi uniwekee na viazi vilivyoungwa vizur vikatiwa na nyama....kama unataka ndizi nile nishibe basi iwe ndizi nyama au ndizi samak hapo nitashiba sio ndizi tu plain...kande ndio kabisa sishibi labda zipikiwe kwa nazi
Upo kama mimi kabisa. Isipokuwa mimi huwa nakula masikio, ulimi, miguu na ngozi yake.Kitimoto Siwezi kula abadani
zita nichefua tu hazito niridhisha zaid ya kujaza tumboUna uhakika ukipewa kande debe moja la kilo kumi na nane hautoshiba?
Vema. Ila nakukumbusha tu kuwa tumbo likijaa yawezekana ndiyo umeshiba hivyo.zita nichefua tu hazito niridhisha zaid ya kujaza tumbo