Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,900
- 95,400
Ana kosa la kulewa akiwa kazini.Binafsi nimemsikiliza na nimeamua kumsamehe bila masharti yoyote na nawaomba wadau wote wa JF mumsamehe .
Ulimi hauna mfupa
Zaidi soma: Mkuu wa Wilaya Iringa, Richard Kasesela amtukana dereva bajaji mbele ya vyombo vya habari
View attachment 1764033
Ni sababu zipi zinafanya tumsamehe hyu mpuuzi,Binafsi nimemsikiliza na nimeamua kumsamehe bila masharti yoyote na nawaomba wadau wote wa JF mumsamehe .
Ulimi hauna mfupa
Zaidi soma: Mkuu wa Wilaya Iringa, Richard Kasesela amtukana dereva bajaji mbele ya vyombo vya habari
View attachment 1764033
Kasesela ana kosa la kulewa akiwa kazini. Kubaki na mavi ni tusi gani? Kama huna choo utajisaidia wapi, si utabaki na mavi ndani tu? Tusi lingekuwa kumwambia "mavi yako" "mataka yako"Sexless acha unafiki,Magufuli alivyotukana wananchi kuwa wabaki na mavi yao nyumbani alikuwa anatumia madawa ya kulevya pia?Una kibri pamoja na ujinga wa double standard?Unaelewa kuwa hawa wakuu wa wilaya wamejifunza huu ujinga kutoka kwa aliekuwa boss wao?
View attachment 1764416
ajiuzuru akale wapi? nyie si mnaona ajira zilivyo ngumu kwa sasa.Angejiuzulu ingekuwa vizuri, hii nchi mbona viongozi hawawezi kabisa kuwajibika? Yaani angejiuzulu tu,saizi ataondolewa
Mkuu Tindo, naheshimu mno maoni yako, isipokuwa kuna mazingira ambayo hujitokeza ambapo kunatokea uropokaji wa maneno yenye kuudhi ambayo humfanya mtu naye ajibu mapigo kwa lugha ya hovyo vilevile. Najaribu kuliangalia tukio hili kama "mutually exclusive case" kwa hiyo siwezi kumtetea Bibo ikiwa hiyo ndiyo kawaida yake kufanya hivyo.
Kwani aliyetukanwa yupo humu? Taratibu za misamaha zinajulikana akamtafute muathilika and then Mola wake na heshima ya mtu inalindwa kwa kujiuzuru...Binafsi nimemsikiliza na nimeamua kumsamehe bila masharti yoyote na nawaomba wadau wote wa JF mumsamehe.
Ulimi hauna mfupa.
Zaidi soma: Mkuu wa Wilaya Iringa, Richard Kasesela amtukana dereva bajaji mbele ya vyombo vya habari
Kwani aliyetukanwa yupo humu?View attachment 1764033
Tusi ni kosa la jinai, kudhalilisha ni kosa la jinai. Yule aliyetukanwa ana mke, watoto, wakwe na watu wengine wanaomheshimu, kumwambia matako yako kwa kurudiarudia hadharani na mbele ya camera, nyuma ya vipaza sauti na mbele ya walinzi ni ukiukwaji mkubwa wa maadili.Huyo ndio zake. Anakuwa mstaarabu tu pale mambo yake yanapoenda atakavyo, ikiwa kinyume chake tabia yake halisi huonekana.
Kwani Tanzania nzima Mtu anayetakiwa Kuteuliwa katika Uongozi sehemu mbalimbali ni DC Jokate Mwogelo pekee? Acha ( Acheni ) Unafiki na kuendeleza Maslahi yenu na Kujipendekeza kwa Wakubwa nchini.Ila mama ningemuomba sana sana kisarawe amuache tu JOKATE asimuondoe pale au kama ikibidi amuhamishie wilaya nyingine ila asimtoe kabisa unless kama kuna yaliyo chini siyajui kumuhusu.
Unauliza Kisu kwa Ngariba Mkuu?Unazunguzia AFISA MATUSI mkoa wa Iringa au yupi?
Unaelewa tusi ni nini?Unaelewa sifa kuu ya tusi?Sifa kuu ya tusi ni ile hali ya mtu kujisikia embarrassment baada ya kuambiwa maneno fulani yenye viashiria hasi kutoka kwa mtu fulani.Kasesela ana kosa la kulewa akiwa kazini. Kubaki na mavi ni tusi gani? Kama huna choo utajisaidia wapi, si utabaki na mavi ndani tu? Tusi lingekuwa kumwambia "mavi yako" "mataka yako"
Kipimo cha kuwa embarrassed ni kipi? nani ana takwimu za waliokuwa embarrassed? Tusi ni neno lolote ambalo huwezi kumwambia mama yako au baba yako au unayemheshimu. Mbona watu wasiokuwa na vyoo wanaadhibiwa? Na watu wanaambiwa kila siku wasijisaidie porini? Hata kumwambia mtu "macho yako" "kichwa chako" ni tusi.Unaelewa tusi ni nini?Unaelewa sifa kuu ya tusi?Sifa kuu ya tusi ni ile hali ya mtu kujisikia embarrassment baada ya kuambiwa maneno fulani yenye viashiria hasi kutoka kwa mtu fulani.Baada ya wale wananchi kuambiwa na Magufuli kuwa wabaki na mavi yao nyumbani walijisikia embarrassment na hapo ndipo walipotukanwa.
Unaweza kujiuzulu unapopatia mkate wako kirahisi?!Angejiuzulu ingekuwa vizuri, hii nchi mbona viongozi hawawezi kabisa kuwajibika? Yaani angejiuzulu tu,saizi ataondolewa