kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,288
- 12,579
Kwa manufaa ya imani zetu za dini tumekusamehe na kwa manufaa ya taifa ondoka ofisini ili vijana wetu wajifunze kutoka kwako kuwa ofisi ya umma ni sehemu takatifu.Kusamehewa ni wajibu, nami nimeshasamehe kabisa...
Lakini kanuni ya msamaha haihusiani na mtu kutowajibika kwa kubeba athari za tabia au matendo yake maovu...