Uume wangu

jaman naitaji kuongeza uume wangu kwani ni mdogo je nifanye nn ili uwe mkubwa

Umewahi kuambiwa kuwa mwanamke hafiki kileleni kwa uume huo?Tambua kwamba kuuongeza ni 'forward reaction and irreversible'.Usije juta kwa kukosa yote,kibamia na urijali!
 
jaman naitaji kuongeza uume wangu kwani ni mdogo je nifanye nn ili uwe mkubwa

nenda department ya Surgery MNH wape chochote afu wambie walegeze ligaments za uume wako pale kwa juu uume unapoanzia
mm nilikuwa na rafiki yangu ni Daktari saa hivi alifanyiwa na huwa ananikumbushia micropenis yake maana mm ndo nilimshauri aende mnh baada ya kuniomba nimnunulie dawa za kurefusha online
ntaweka picha za mfano.....njia ni secure sana
 
nenda department ya Surgery MNH wape chochote afu wambie walegeze ligaments za uume wako pale kwa juu uume unapoanzia
mm nilikuwa na rafiki yangu ni Daktari saa hivi alifanyiwa na huwa ananikumbushia micropenis yake maana mm ndo nilimshauri aende mnh baada ya kuniomba nimnunulie dawa za kurefusha online
ntaweka picha za mfano.....njia ni secure sana

Niwekee pic hizo bac braa
 
Kitabu kitakatifu kimesema "usichungulie tupu ya mwenzio"sasa wewe umejuaje kama ni ndogo?
Na kama huyo mwenzio amelalamika kwamba ni ndogo basi hapo ni ukumbusho" acheni udhinifu kwan ni dhambi "naye alisha dhini kabla yako wewe.
 
Back
Top Bottom