malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 2,746
- 2,623
- Thread starter
- #81
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafuna tangawizi na maji mengi nusu SAA kabla ya mechi.
5/5
Tatizo liko hapo kwenye mazoezi.
Jenga pumzi, anza mazoezi ya kukimbia leo, baada wiki mbili utaanza kuona tofauti. Baada hapo utaanza kupunguza uoga kwani utaona mashine inakupa matokeo ya mazoezi.
Mazoezi yatakusaidia kujilinda na magonjwa ya moyo na kisukari ambayo yanachangia sana kwenye kupunguza nguvu za kiume.
Kwa majibu haya, wengine nyie ilibidi KOVIDIII IWACHUKUE TU....Naomba namba za mke wako...tuanzie apo
Naomba Mungu usiku na mchana..nisipate mume wahivi jamani...NAPENDA KUDU MIMI...HASWA NIKIPATA MKUNAJI
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, tatizo lako lipo hapo! Utashauriwa mengi sana na watu, Lakini mimi kama mtu ambaye nimepata kushuhudia jambo kama hili lako, Nasema hivi mzizi wa tatizo lako ni ponografia! Na bila shaka zungumza na nafsi yako utagundua upo addicted na ponografia! Utajuaje upo addicted? Ni pale ambapo huna control, unajukuta Tu umefungua pono hata bila kufikiria.Kabla ya ndoa nimepiga punyeto mara tano ila picha cha ponigraf nimeangalia sana nina miaka10 niache kuangalia picha ngono
Sent using Jamii Forums mobile app
Weka maziwa ya uvuguvugu kikombe kimoja changanya asali vijiko vitatu na habati soda kijiko kimoja koroga kunywa asubuhi na jioni wiki moja tu tatizo lako litakwisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, tatizo lako lipo hapo! Utashauriwa mengi sana na watu, Lakini mimi kama mtu ambaye nimepata kushuhudia jambo kama hili lako, Nasema hivi mzizi wa tatizo lako ni ponografia! Na bila shaka zungumza na nafsi yako utagundua upo addicted na ponografia! Utajuaje upo addicted? Ni pale ambapo huna control, unajukuta Tu umefungua pono hata bila kufikiria.
Utapata ushauri mwingi lkn tatizo lako amini nakwambia chanzo chake namba moja ni ponografia. Unaweza kunieleza ni mara ngapi kwa wiki unatizama?
Kabla sijakupa ushauri wowote ule, kwa wakati huu nashauri usitumie dawa yoyote ile ya kuongeza nguvu za kiume, la sivyo utauwa kabisa nguvu zako na tatizo lako likawa complex
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee pole sana,hebu anza mazoezi mepesi ya mwili,Fanya mazoezi ya mshipa wa kegeli,zingatia lishe bora,fanya mfululizo wiki mbili kisha nipe mrejesho ili nikupe hatua itakayofuata.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kapicha kasehemu unayopendwa kukuna basiiNaomba Mungu usiku na mchana..nisipate mume wahivi jamani...NAPENDA KUDU MIMI...HASWA NIKIPATA MKUNAJI
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa vidonda vya tumbo tangawizi mbona siyo tatizo sana ?Mkuu tangawuzi silagi nna vidonda vya tumbo..nakuhusi maji nkinywa maji mengi yaan mkojo ni baada ya dk kadhaa huo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kutokufanya mapenzi effectively huwa kunatia simanzi sana mkuu pole sana I can feel your problem
Kweli kutokufanya mapenzi effectively huwa kunatia simanzi sana mkuu pole sana I can feel your problem
Sent using Jamii Forums mobile app
MazoeziWakuu naombeni msaada nimeoa miaka mitano sasa kabla yakuoa nlikua kila nikikutana namwanamke dk3 nakojoa na siwezi kurudia tena raund nyingne hali iliendelea hivo mpaka nkaoa maisha ya ndoa yakaendelea ila changamoto ikawa hiyo.
Katika maisha ya ndoa changamoto ikawa mara nyingi yaan uume unalala wakati wamaandalizi na unasimama legelege pia hata nkifanikiwa kuingiza ukeni ntafanya dk4 ntakojoa nasiwezi kurudia tena au wakat mwingne uume ukiwa ukeni nafanya dk2 ulala tatizo hili limekua linafanya namuacha mke wamgu njian namitatizo linanitesa sana.
Wakuus nahitaji msaada wenu nipone nakuweza kumridhisha hamu zake mke wangu
Sent using Jamii Forums mobile app