Kitaalamu hali hiyo inaitwa priapism na inasababishwa na damu kushindwa kuzunguka kutoka huko yaani kuwa "trapped"
Husababishwa na mambo mbalimbali ila kubwa zaidi ni baadhi ya "pumping pills" Kama viagra nk(sio mara zote)
Sababu nyingine ni matumizi ya madawa ya kulevya na pombe pia kudungwa na wadudu kama spider kunaweza pelekea priapism
Sababu ziko nyingi sana na zinategemea na hali ya kiafya ya mtu. Pia watu wenye sickle cell wako more prone to this condition
Kuhusu dawa MWONE DAKTARI kwani hilo ni tatizo la kiafya
NB:
1Priapism ni pale unaposimamisha kwa zaidi ya masaa manne
2. Ikikupata jaribu kupanda ngazi na kushuka kwa haraka ...inasaidia kuspeed up mzunguko wa damu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.