Uume hausimami wakati wa tendo

tiazo

Member
Jan 24, 2013
68
31
Tiba ya uume kugoma kusimama wakati wa kufanya mapenzi ni nini?
Sababu yake ni nini?
Tiba yake ni nini?
 
Chips zilizokaangiiwa mafuta ya transformer ni hatari kwa afya yako
 
Mkuu acha punyeto kabisa harafu gonga misosi ya kuleta nguvu na maji mengi ya kunywa
1471108180209.jpg
1471108188768.jpg
 
angalia picha la X tu kaka.. dakika mbili hazifiki chek norris huyooo
 
Kula mihogo mibichi kwa sana na maji ya kunywa kwa wingi. Vilevile Tumia sana matikiti maji pamoja na chai ya tangawizi.
Then tujulishe results
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom