Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiki hapa ndicho kiliwapata ndani ya siku sita Israeli aliwatandika woteNchi za waarabu ziliungana kuishambulia Israel, unakumbuka kilichowapata?
Wapalestina ndio walioanza kuwachokoza wenzao kila nchi ina jukumu la kujikinga na kujibu shambulio lolote la kivamiziKila nikiangalia video kinachoendelea hapo Gaza nashangaa sana, Waarabu wako kimya kama hawaoni. Afu Waafrika na unafiki wa kulaani kwenye media, inasaidia nini sasa?
Hakuna mzozo utakaotikea Mashariki ya Kati uache kusikia Uturuki inaunga mkono upande fulani na kusaidia silaa tena umguse Mwislamu Uturuki haiwezi kunyamaza.
Azerbaijan imeishinda Armenia kwenye jimbo la Nagorno kwa msaada wa Kijeshi kutoka Uturuki
Iran iko vizuri sana kiuchumi na Kijeshi, imetoa misaada mingi sana kwa makundi kama Hezbollah.
Uislamu ni udugu, Wapalestina ni Waislam, kwanini hawatoi msaada kwa ndugu zao Palestina? Ina mana Israel inaogopeka kiasi hicho? Kinchi kidogo kiasi hicho hata Mkoa wa Kilimanjaro mkubwa?
Waarabu ni muda wa kujitambua sasa.
Uturuki ni mwanachama wa NATO (au hulifahamu hilo?) ,Haiwezekani Uturuki ipigane na Israel wakati Israel wako influenced na Marekani ,na Marekani ndiyo vinara wa NATO.Kila nikiangalia video kinachoendelea hapo Gaza nashangaa sana, Waarabu wako kimya kama hawaoni. Afu Waafrika na unafiki wa kulaani kwenye media, inasaidia nini sasa?
Hakuna mzozo utakaotikea Mashariki ya Kati uache kusikia Uturuki inaunga mkono upande fulani na kusaidia silaa tena umguse Mwislamu Uturuki haiwezi kunyamaza.
Azerbaijan imeishinda Armenia kwenye jimbo la Nagorno kwa msaada wa Kijeshi kutoka Uturuki
Iran iko vizuri sana kiuchumi na Kijeshi, imetoa misaada mingi sana kwa makundi kama Hezbollah.
Uislamu ni udugu, Wapalestina ni Waislam, kwanini hawatoi msaada kwa ndugu zao Palestina? Ina mana Israel inaogopeka kiasi hicho? Kinchi kidogo kiasi hicho hata Mkoa wa Kilimanjaro mkubwa?
Waarabu ni muda wa kujitambua sasa.
Tatizo wsmengangania social systerm za medieval period zilizopitwa na wakati kwa kujidanganya eti kupitia kitabu hicho ukikifuata kinajibu kila kitu na kina ji adjust kutokana na wakati na hakipitwi na wakati kitu ambacho ni uongo na sasa wanazuia mafuriko kwa mikonoLeo ndio nimejua asee,sijawahi sikia wakimbizi wa Syria wakimbilia Qatar au wakimbizi wa Palestina wakimbilia Misri au Saudia... sidhani kama kuna kambi za wakimbizi pia. Jiulie pia kwanini Walibya badala ya kuvukia Misri wanakubali kufia bahatini kwenda Ulaya?
Wakimbizi wengi wa kiarabu wanakimbilia Ujerumani na Ugiriki pamoja na Uturuki kuwa karibu lakini wanaenda mbali dah!!🤔🤔
Naamini hata Afrika tuna nafuu kwa huruma na ujirani kuliko waarabu
Unafikiria hawajui matokeoKila nikiangalia video kinachoendelea hapo Gaza nashangaa sana, Waarabu wako kimya kama hawaoni. Afu Waafrika na unafiki wa kulaani kwenye media, inasaidia nini sasa?
Hakuna mzozo utakaotikea Mashariki ya Kati uache kusikia Uturuki inaunga mkono upande fulani na kusaidia silaa tena umguse Mwislamu Uturuki haiwezi kunyamaza.
Azerbaijan imeishinda Armenia kwenye jimbo la Nagorno kwa msaada wa Kijeshi kutoka Uturuki
Iran iko vizuri sana kiuchumi na Kijeshi, imetoa misaada mingi sana kwa makundi kama Hezbollah.
Uislamu ni udugu, Wapalestina ni Waislam, kwanini hawatoi msaada kwa ndugu zao Palestina? Ina mana Israel inaogopeka kiasi hicho? Kinchi kidogo kiasi hicho hata Mkoa wa Kilimanjaro mkubwa?
Waarabu ni muda wa kujitambua sasa.
Kweli kabisa...naona wengi sana wanakimbilia ulaya na Marekani na wakifika wanabadilika kabisainternet umewavumbua macho watu wengi kuona nchi nyingine wanavyoishi kwa uhuru amani na furaha na kufuta zile propaganda walizolishwa udogoni kwenye shule za
Iran na Turkey wao hawawezi pigana na Israel sababu watawaonea wao size yao ni USA. We jiulize ikiwa Hamas inawasumbua vile na ni kipande walicho kizunguka iwe Iran na Turkey.
Israel hauwezi mziki wa Iran na Turkey hata siku moja.
Serious!!!?🤔Iran na Turkey wao hawawezi pigana na Israel sababu watawaonea wao size yao ni USA. We jiulize ikiwa Hamas inawasumbua vile na ni kipande walicho kizunguka iwe Iran na Turkey.
Israel hauwezi mziki wa Iran na Turkey hata siku moja.