nundaz
JF-Expert Member
- Jun 8, 2012
- 273
- 191
Mkuu tupe madini kwa nini israel inaonekana ni Taifa dogo lakini linakuwa na nguvu kuzishinda hizo nchi zingine zilizo ungana???? kuna siri gani kwa israel kuwa na nguvu hivyo??? tunaomba Elimu mkuuMkuu Waarabu walishaungana mara nyingi kuipiga Israel lakini hawajafanikiwa! Mwaka 1956,1967,1973 hawajawahi kuishinda Israel,labda ukiondoa vita vya mwaka 2006 ilipopambana na Hezibollah!
Hatimaye waliishia kugawanyika na wengine wakirudisha uhusiano na Taifa hilo dogo!
Irani inajitahidi na nadhani ndiye anayefadhili vikundi vya Hezibollah na Hamas lakini bado ni shughuli pevu kupambana na Taifa hilo dogo.