Utumwa wa Tume ya Uchaguzi Tanzania: Wasemavyo Maaskofu wa TEC

RENATUS GODIAN,
Mkuu Renatus, kiukweli una mawazo tegemezi sana kwa mabeberu. Jee watu wote wangekuwa na mawazo kama yako, hao wabunge wote wa Chadema kwenye majimbo na madiwani kwenye kata, wangechaguliwa na nani?.

Uchaguzi ni mambo yetu ya ndani, what has UN, Nato na Mabeberu got to do with it?. Uchaguzi wa Zanzibar 2015 kilitokea nini na walifanya nini? Uchaguzi wa marudio CUF walisusia, wamepata nini?

Uchaguzi wa serikali za mitaa, wapinzani wamesusia, CCM imeshinda kwa ushindi wa kishindo cha asilimia 99.9%, waliosusa wamepata nini?

Hao mabeberu wamefanya nini? Uchaguzi Mkuu wa October ni wembe ule ule uliotumika kunyolea serikali za mitaa, ndio utatumika kunyolea uchaguzi Mkuu.
P
 
Pascal Mayalla,
Sikia ww washinde hata kwa asilimia 100 mm sitoenda kupiga kura sababu nalijua game linavyochezwa na jinsi watu wa chini tunavyodhalauriwa yafuatayo naomba yakukae akilin
1 CCM wanaweza kuwapa CHADEMA hata majimbo 30 ili kuondoa lile doa la.. ili mataifa ya nje waone pale demokrasia ipo na wanafanya ivyo sababu wanajua wabunge hawana nguvu ya maamuz zaid ni brasha brasha tu na hawawezi kuruhusu upinzan uwazid majimbo sababu wanajua bugen kuna wakati kura hupigwa kutoa maamuz ilo moja.

2.CCM haiwez ruhusu upinzan ushinde URAISI hii hawawez kukubali sababu Rais ndio mwenye nguvu kikatiba karibu vyombo vyote vya dola vipo chini yake mahakama.polisi.jeshi viongozi wao huwa anateua yeye.

3.CCM hawawez kuruhusu bunge liongozwe na upinzan yaan spika spika wa bunge atome upinzan hawawez kukubal

Yangu hayo najua yapo mengi tu ambayo CCM hawawez kuruhusu zaid ni brqsha brasha tu na kila mtu mwenye akil timamu anajua mfano tume huru kutoka nje.

katiba mpya Baraza lq mawaziri huru .Majeshi huru nk wanataka wawe na mkono huko ndio maana rais wamempa madaraka ya kuteua viongozi chungu mzima wakuu wa mikoa.wilaya .majaji.wakuu wa majesh naomba niishie apo.
 
Kalamu1,

Andiko hilo limeboreshwa ili kukuonyesha ratiba husika. Soma hiyoooo...
Eeenh, sipendi kumkatisha tamaa yeyote anayetafuta ufumbuzi wa tatizo.

Napenda sana juhudi hii, laiti kama ingeanza mapema kidogo, huenda pangeweza kuwepo na matumaini, au hata kutafuta njia mbadala.

Hii kazi unayojaribu kufanya ni kazi mhimu sana. Hata sijui mpo kundi kubwa kiasi gan kuweza kulipa msukumo na kubaki kwenye 'timeframe' hiyo mliyopangai!

'Assumption' ni kwamba kutakuwepo na ushirikiano toka pande zote zinazohusika. Sasa sijui mnao uhakika upi juu ya hilo.

Mkuu 'nivoj sued', endelea na juhudi zako. Ni bora kutimiza ulilolenga hata kama halikuzaa matunda uliyotegemea.

Ukifanikiwa ni faida kwetu sote.

Hapana, usidhani nitakaa kwenye 'fence' nikisubiri mfanikiwe au mshindwe ndipo nishangilie. Nitachangia popote katika juhudi zenu kwa uwezo nitakaoweza kwa sababu hili ni jambo mhimu kwetu sote.
 
Mtoa mada aje na secular, non-religous or non-faith based arguments. Hawezi kudai kuwa hoja zake zimawahusu Watanzania wote ilhali hoja na mantiki zilizotumika zimejikita kwenye dhana za imani ya dhehebu fulani la Kikristo.
Wewe ndiyo hujui mama WA hiyo secular idealism ileletwa na nani?

Hapo awali hakuna aliyekuwa anakusanya vitabu mpaka kanisa lilipoanza pia kuanzisha shule za ndani baadae ndiyo wakaanza wazo LA secularism kuanzia kwa watu wenye daraja mpaka baadae sisi layman.

Hayo mafundisho tunayosoma ni pongez kwa kanisa katoliki kuamua yaje nje bila hapo tusingekuwa na dunia yenye elimu, kustaaribika na yenye maadili

Niachie hapo tuendelee na hoja yetu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hello Ramark, namalizia utafitj wangu. Nimependa wazo lako kuhusu blind interview. Naomba ufafanuzi wake kuhusu namna ya kupata wale candidates 30 wa kwanza.
Nilisema tunaweza tumia hatua mbili hadi tatu

1. Usahili WA kuandika mfano > mitihani au dodoso ambalo halihusu masuala binafsi bali general understanding

2. Baada ya hatua ya kwanza, pia itafanyika debate miongoni mwa washiriki ili kupata pia uelewa wa jumla juu ya mambo ya sheria, chaguz, maendeleo ya jamii, civic edu, n.k

Tukumbuke hapo wanatumia namba tu hivyo mwanzoni hakuna usajili bali utafanyika baada ya kupata 30 ili kuondoa upendeleo na majaji ni ile kamati ya rais hivyo watatumia alama kuonyesha waliofanya vizur..

Mbinu hii inatumika zaid kwenye matamasha hasa ya miziki na sanaa.

Kuhusu sifa, tunaamini zitakuwa zimeelezwa kwenye tangazo la ajira, kama kuna mtu ataingia kwenye 30 ndiyo watapunguzwa ili tupate wale 15 kwenda bungeni kwa kura.


Zoezi litakuwa gumu kwa majaji kwani watasahisha muda mrefu kama watu n wengi. Hapana
Tutachukua vijana wa vyuo watasahisha siku hiyo hiyo na kutoa majibu sikuhiyo na kesho yake kuwa debate ili kuondoa notion kwa watu juu ya uchakachuz

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mama amon
Sijasoma kwa kina proposed amendment lakini kwa mtindo huo hakuna atayeipenda na kuibeba kuipeleka bungeni.

Ona mpaka sasa tangu umeiweka haijaleta impact bora tuliyoitegemea.

Pia, unapofikiri moja beba mbili ili kujirahisishia mbeleni unakokwenda.

Tangu juzi, kabla ya kupotea kwa matatizo ya korona hapa jukwaani. nilifanya mapitio ya katiba yetu kwa ulinganishaji WA maoni ya wananchi ya tume ya Warioba, maoni ya wataalamu waliopita, uzoefu WA nchi nyingine pia kutambua mapendekezo ya tume ya warioba, taasisi zingine zilivyoshauri katika mabadiliko ya tume.

Pia niliangalia marekebisho mengine ya katiba yalivyofanyika,

Mama amon
Unataka tufanye kosa kama lililofanywa miaka ya 90s na 80s wakati wa mabadiliko.

Mabadiliko ya mwaka 2000 yalipendwa na wengi na watu waliamini angalau nchi yetu itakuwa salama na haki kidogo bila kuangalia haki 100% lkn yalikuwa mabadiliko yenye sura nyingi, ibara na masharti mengi kidogo.

Kwa nini hukupendelea mabadiliko ya namna hiyo?
View attachment Sheria_ya_Mabadiliko_ya_Kumi_na_Tatu_katika_Katiba_ya_Nchi,__sw.pdf

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uzi wa kubumba, maneno mengi kupotezeana muda tu, mambo yanayojadiliwa hayana uwiano, kichwa cha habari na yaliyomo haviendani na kubwa zaidi ni kwamba aliyeuweka uzi ana mkorogo wa mawazo kichwani.

Utafiti wa 'ndio' na 'hapana' lakini maelezo kibao, hatuambiwi sample ilikuwa ya watu wangapi? Walihojiwa lini? Upande mmoja unatoa maswali na majibu upande mwingine unaweka nukuu za viongozi na mwisho unaweka asilimia kabisa. Wewe Mama unawaabisha Wamama wenzako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kroo,
We mbaba, tulia sindano ikuingie vizuri. Mpango wa ufalme wa Mungu ndio habari ya mjini.

Kadiri hoja ya uhuru wa tume ya uchaguzi inavyohusika, hakuna kitu kinachosemwa na ma-ccm kimeachwa, hakuna kitu kinasemwa na ma-chadema kimeachwa.

Kwa hiyo, hitimisho kuu la hoja iliyo mezani linayo validity.

It was an exploratory study and achieved its purpose well. So the methodology is ok
 
Nivoj unaweza nisaidia jibu LA swali hilo hapo juu ili tuendelee.Wakati unapojibu,

Fikiri kuanzisha Uzi mpya na uweke hicho kiambata kama title

Sent using Jamii Forums mobile app

Hello,

Tayari nimefanyia kazi ushauri wako kama ifuatavyo:

1. Nimefomati rasimu ya muswada kwa kutumia mfano wa Mabadiliko ya 13 ya mwaka 2000
2. Rasimu ya Muswada wa Mabadiliko ya 15 nimeitundika HAPA.

Pitia halafu unipe feedback...
 
Uzi wa kubumba, maneno mengi kupotezeana muda tu, mambo yanayojadiliwa hayana uwiano, kichwa cha habari na yaliyomo haviendani na kubwa zaidi ni kwamba aliyeuweka uzi ana mkorogo wa mawazo kichwani.

Utafiti wa 'ndio' na 'hapana' lakini maelezo kibao, hatuambiwi sample ilikuwa ya watu wangapi? Walihojiwa lini? Upande mmoja unatoa maswali na majibu upande mwingine unaweka nukuu za viongozi na mwisho unaweka asilimia kabisa. Wewe Mama unawaabisha Wamama wenzako.

Acha vurugu, soma HAPA uweke minofu..
 
Eeenh, sipendi kumkatisha tamaa yeyote anayetafuta ufumbuzi wa tatizo.

Napenda sana juhudi hii, laiti kama ingeanza mapema kidogo, huenda pangeweza kuwepo na matumaini, au hata kutafuta njia mbadala.

Hii kazi unayojaribu kufanya ni kazi mhimu sana. Hata sijui mpo kundi kubwa kiasi gan kuweza kulipa msukumo na kubaki kwenye 'timeframe' hiyo mliyopangai!

'Assumption' ni kwamba kutakuwepo na ushirikiano toka pande zote zinazohusika. Sasa sijui mnao uhakika upi juu ya hilo.

Mkuu 'nivoj sued', endelea na juhudi zako. Ni bora kutimiza ulilolenga hata kama halikuzaa matunda uliyotegemea.

Ukifanikiwa ni faida kwetu sote.

Hapana, usidhani nitakaa kwenye 'fence' nikisubiri mfanikiwe au mshindwe ndipo nishangilie. Nitachangia popote katika juhudi zenu kwa uwezo nitakaoweza kwa sababu hili ni jambo mhimu kwetu sote.

Rafiki,

Kuna kitu kipya HAPA.
Hebu pitia uongeze/upunguze minofu kama kawaida yako...
 
Hello,

Tayari nimefanyia kazi ushauri wako kama ifuatavyo:

1. Nimefomati rasimu ya muswada kwa kutumia mfano wa Mabadiliko ya 13 ya mwaka 2000
2. Rasimu ya Muswada wa Mabadiliko ya 14 nimeitundika HAPA.

Pitia halafu unipe feedback...
Hongera na ahsante!

Umekuwa mstari wa mbele ktk majadiliano yetu.

Tuendelee......

Petition yako ndiyo ilitakiwa iandaliwe Uzi mpya pamoja na kuongeza hizo nyama ili ijadiliwe huko kama hii thread

Mswada ni hatua baada ya muafaka pamoja na argumentation ya wataalamu ili kupata wazo bora, fikirishi na linalotekelezeka.

Tupe nafasi ya kujenga hili tena.

Yapo mengi lkn hayawezi toka ktk namna inayotakayopuuzwa na wengi


Usihofu tutapata kitamu tu acha tuendelee kuunga michuzi tofauti tofauti, ikiwa janga LA corona litatupa nafasi uchaguz kusigezwa Mbele. Japo inatulimit sisi kwa sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

32 Reactions
Reply
Back
Top Bottom