bongonyoo
JF-Expert Member
- Jun 29, 2019
- 604
- 881
unataka uthibitisho gani,,funguka na weka wazi tukuelewe,,unataka tukuonyeshe Mungu umuone yule palee au unataka tukampime na vifaa vya kisayansi vya labs vilivyotengenezwa na watu ili tumtafute na kuona alipojificha,..Mkuu Mungu sio nafsi km ulivyo ww na mm,na wala sio kitu km gari au nyumba,hiyo ni imani yangu nilivyosoma vitabu vya dini ckulazimishi kuamini ila nasema ninachokiamini,,nawe usilazimishe tuamini unachoamini,mwisho wa cku kila mmoja wetu ataujua ukweli akishajifia zakeHijathibitisha Mungu yupo.
Wala jujasema kwa nini ni lazima awepo.
Unahubiri tu.
Sitaki mahubiri. Nataka uthibitisho kwamba Mungu yupo kweli na si hadithi za watu tu.