Utumwa mpya ndani ya Kanisa

Mungu wangu si kuthibitishwa maabara, maana yeye ni mkuu zaidi ya hiyo sayansi uchwara ya dunia, hekima zake na fahamu zake ni kubwa mno kiasi cha kuwashinda waelevu na wenye ujuzi wa dunia hii ingawa zaeleweka kwa wajinga waliosapole na wanyenyekevu.

Sina namna ya kukuthibitishia si kwasababu siwezi, ila natilia shaka uwezo wako wa reasoning maana tangia udai Kuthibitishiwa uwepo wa Mungu.

Kosa lako kubwa ni pale unalo mfikiria Mungu km binadamu, unahisi yupo km binadamu, sasa kwa taarifa yako Mungu HAFIKIRI na HANA UTASHI km wako.
Thibitisha Mungu wako yupo kwa njia iliyo logically consistent na isiyoweza kuwa contradicted.
 
Scars Kuna namna unaweza kuthibitisha mawazo anayowaza mtu bila yeye mwenyewe kuyatoa..?? Na je, kutokuweza Kuya thibitisha mawazo ya mtu Kuna thibitisha kuwa hayo mawazo hayapo...??
Uhakika wa kutokuwepo mungu ni kwasababu hathibitishiki kua yupo, chochote ambacho kimetungwa inform of imaginations hakiwezi kuwa proved nje ya hapo kwasababu hakipo nje ya kufikirika
 
Mungu wangu si kuthibitishwa maabara, maana yeye ni mkuu zaidi ya hiyo sayansi uchwara ya dunia, hekima zake na fahamu zake ni kubwa mno kiasi cha kuwashinda waelevu na wenye ujuzi wa dunia hii ingawa zaeleweka kwa wajinga waliosapole na wanyenyekevu.

Sina namna ya kukuthibitishia si kwasababu siwezi, ila natilia shaka uwezo wako wa reasoning maana tangia udai Kuthibitishiwa uwepo wa Mungu.

Kosa lako kubwa ni pale unalo mfikiria Mungu km binadamu, unahisi yupo km binadamu, sasa kwa taarifa yako Mungu HAFIKIRI na HANA UTASHI km wako.

Hijathibitisha Mungu yupo.

Wala jujasema kwa nini ni lazima awepo.

Unahubiri tu.

Sitaki mahubiri. Nataka uthibitisho kwamba Mungu yupo kweli na si hadithi za watu tu.
 
Nadhani unatafuta kichaka cha kuyaficha maudhui ya mada hii kuhusu ulaghai wa baadhi ya mitume na manabii wa kilokole, kwa kuliingiza Kanisa Katoliki ili ionekane nalo linafanya ulaghai. Hebu soma tena na tena, usilichafue RC Church, halina hizo habari za kutoza hela kwa ajili ya miujiza
Sikuhizi church kuna michango kibao, hadi kuna siku MABEYO CDF, alitoa ya moyoni.

Huko hela zinapigwa directly, kila sehemu kuna upigaji
 
Ukishaelewa Mungu hayupo, na habari za kuwepo kwake ni hadithi za watu tu, haya mengine hayawezi kukusumbua sana.
Nilishaachana nanhabari za dini zilizoletwa na mitumbwi najifanyia AFRICAN WEATHERFORECAST MARA KWA MARA KWA KUTUMIA AFRICAN TECH MAMBO SAFI KBS nimeendankujifunza kwa babu mmoja huko ndani shulenya mwezi mmoja
 
Hujajibu maswali yangu. Magufuli kwako ni Mungu useme kwamba habari za Magufuli zikiwa na contradictions ni sawa na habari za Mungu zikawa na contradictions?
Huelewi kwamba Magufuli habari zake zinaweza kuwa na contradictions kwa sababu yeye muongo tu, au hawezi kuzuia uongo kwenye habari zake.
Mungu wako muongo? Mungu wako hawezi kuzuia uongo kwenye habari zake?
Hizi ni hoja za kitoto sasa basi hata maana ya kujadiliana hapa itakuwa haipo ,hoja yako ni Mungu kuzuia uwongo au kuna contradictions kwenye habari za Mungu? Kwanini usiseme kuwa habari za Magufuli zaweza kuwa na contradictions kwa sababu Magufuli hayupo?
 
Hizi ni hoja za kitoto sasa basi hata maana ya kujadiliana hapa itakuwa haipo ,hoja yako ni Mungu kuzuia uwongo au kuna contradictions kwenye habari za Mungu? Kwanini usiseme kuwa habari za Magufuli zaweza kuwa na contradictions kwa sababu Magufuli hayupo?
Kwa nini husemi kwamba habari za rais Shekolokabangoshe wa Tanzania zinaweza kuwa na contradiction kwa sababu rais Shekolokabangoshe wa Tanzania hayupo?

Kwa nini husemi habari za pembetatu ambayo pia ni duara zinaweza kuwa na contradiction kwa sababu pembetatu ambayo pia nibduara haipo?

Kwa nini husemi kwamba habari za square root ya 2 ambayo ni 10 zinaweza kuwa na contradiction kwa sababu square root ya 2 ambayo ni 10 haipo?
 
Uhakika wa kutokuwepo mungu ni kwasababu hathibitishiki kua yupo, chochote ambacho kimetungwa inform of imaginations hakiwezi kuwa proved nje ya hapo kwasababu hakipo nje ya kufikirika
Ndio maana nasema uthibitisho ni kichaga cha kuficha ujinga wenu,kwako wewe uthibitisho ndio unafanya jambo liwepo na kukosekana kwake huondoa uwepo wake.
 
Kwa nini husemi kwamba habari za rais Shekolokabangoshe wa Tanzania zinaweza kuwa na contradiction kwa sababu rais Shekolokabangoshe wa Tanzania hayupo?
Kwa nini husemi habari za pembetatu ambayo pia ni duara zinaweza kuwa na contradiction kwa sababu pembetatu ambayo pia nibduara haipo?
Kwa nini husemi kwamba habari za square root ya 2 ambayo ni 10 zinaweza kuwa na contradiction kwa sababu square root ya 2 ambayo ni 10 haipo?
Kitu kinaweza kisiwepo kiuhalisia na bado kikawa na maelezo yasio na contradictions.
 
Kitu kinaweza kisiwepo kiuhalisia na bado kikawa na maelezo yasio na contradictions.
Na kitu kinaweza kuwa na maelezo yenye contradiction kwa sababu hakipo.

Njia moja ya kuonesha kipo ni kuondoa contradiction.

Ondoa contradiction.

Ukikataa kuondoa contradiction, na kukubali kuendelea na contradiction, utajikuta katika hatari ya kukataa unachokubali na kukubali unachokataa.

Si unakubali contradiction?

Maana yake, unaposema "Mungu yupo" unachomaanisha kwa kweli ni "Mungu hayupo".

Kwa sababu unakubali contradiction!

Bila ya logical consistency nothing makes sense, because anything is anything else.
 
Halihitaji kuchafuliwa kwani mafundisho yake tu yanalichafua automatically.Yesu ndiyo pekee Njia,Kweli na Uzima.Dini waachie wenye dini zao.
Nadhani unatafuta kichaka cha kuyaficha maudhui ya mada hii kuhusu ulaghai wa baadhi ya mitume na manabii wa kilokole, kwa kuliingiza Kanisa Katoliki ili ionekane nalo linafanya ulaghai. Hebu soma tena na tena, usilichafue RC Church, halina hizo habari za kutoza hela kwa ajili ya miujiza
 
Scars Kuna namna unaweza kuthibitisha mawazo anayowaza mtu bila yeye mwenyewe kuyatoa..?? Na je, kutokuweza Kuya thibitisha mawazo ya mtu Kuna thibitisha kuwa hayo mawazo hayapo...??
Kuwepo kwa mawazo hakuthibitishi kua mawazo hayo ni real. Unaweza ukawaza kua kuna maisha baada ya kifo ukafanya imagination kua kuna resurrection lakini kuwaza huko hakufanyi mawazo hayo yawe real
 
Sitaki kuamini, nataka kujua.

nakupa mfano mdogo tu kama mungu yupo: hilo wingu la mvua linalotanda juu unajua lina tani ngapi ya maji? je kwa nini hata siku moja wingu la mvua lisiangushe maji yake yote kwa mara mmoja ? na likiangusha kwa mara moja hakuna binadamu atabaki hai na wanyama na mimea. kwa hiyo mungu huiteremsha mvua kwa utaratibu ili wewe usie mjua mungu umkumbuke kama yupo, mimea inapata uhai ndege wanyama. wewe usiemjua mungu kiranga mbingu imeumbwa na nani au nani kaitengeneza ? haina hata nguzo za kushikilia mbingu unafikiri imekuja yenyewe? nani analipeleka jua kutoka mashariki kwenda magharibi ni mzungu? sasa wewe nenda kalizuie au wewe litoe magharibi liende mashariki, kaa ukijua mungu yupo . ipo siku utamtaja mungu ukiwa wodi ya mwaisela na baada ya muda utamuona atakwambia mimi ndie mungu niliyekuumba ,
 
Biashara za watu hizi,saizi dini ni chanzo kizuri cha mapato kwa watu,ninapoishi kuna watu wawili walianzisha kabisa wakatofautiana,saizi kila mtu anakanisa lake eneo Hilo Hilo wanashindana na maspika tu na ugomvi kila siku kugombea waumini.Mmoja wao aliponifuata niwewe muumini wake nikamuul mbona wewe na mwenzio mmezinguana wakati alikuwa pamoja? Alimponda na kuongea mengi,nikajiuliza huyu naye nimchungaji kweli?
 
Waafrika n wavivu wa kufikiri, tukiamini vitu vinakuja kirahisi. Na hayo ndo madhara yake
 
Dini ni biashara pana sana na inayolipa kweli na wachugaji wanaiba kwa kutumia imani, awana tofauti na waganga wakienyeji.
 
Na kitu kinaweza kuwa na maelezo yenye contradiction kwa sababu hakipo.
Njia moja ya kuonesha kipo ni kuondoa contradiction.
Ondoa contradiction.
Ukikataa kuondoa contradiction, na kukubali kuendelea na contradiction, utajikuta katika hatari ya kukataa unachokubali na kukubali unachokataa.
Si unakubali contradiction?
Maana yake, unaposema "Mungu yupo" unachomaanisha kwa kweli ni "Mungu hayupo".
Kwa sababu unakubali contradiction!
Bila ya logical consistency nothing makes sense, because anything is anything else.
Unaona sasa unajichanganya,nimetoka kukwambia kuwa kitu kinaweza kisiwepo lakini kikawa hakina maelezo yenye contradiction sasa ajabu wewe unaniambia niondoe contradiction et ndio njia ya kuonesha kipo,sasa kinakuwepo vp hicho kitu kwa kuondoa tu maelezo yenye contradictions? Kwanza unachochanganya hapa ni uwepo /kutokuwepo kwa kitu na maelezo yenye contradiction kuhusu hicho kitu na ndiyo maana nikakwambia kunaweza kuwa na maelezo yenye contradictions kuhusu Mugufuli huyu huyu unayemjua ambaye yupo kiuhalisia.

Hueleweki Mungu hayupo au kuna maelezo yenye contradictions kumuhusu Mungu?
 
Back
Top Bottom