Utumwa mpya ndani ya Kanisa

Hahahah..! Kiranga Kwa akili yako wewe una hisi Mungu anaupande..?

Mungu yupo katikati ya mazuri na mabaya, God has no choice, no good or bad to him..! Alichonifanya kibaya na kizuri kwa binadamu ndicho kipimo cha hukumu zake kwetu.

Kifupi iko hivi hizo maafa na mabaya yote tunayaumba sisi katika maisha yetu si Mungu. Mfano huwa mnaambiwa dhambi mwisho wake ni mauti/kifo, utambue mtenda dhambi ni binadamu si Mungu.

Ukisema Mungu angetuumba na kutunyima utashi tufanye kazi kwa settings/programmed kama computer ata wewe hapo usinge hoji haya maswali yako ya kijinga. By the way Malaika wako programmed na hawa hizo mess zote unazosema kuwepo kwake ni kuthibitisha kutokuwepo kwa Mungu, mfano Malaika hawapatwi na hizo maafa na mabalaha, Lakini usidhani Malaika wanaenjoy/kufurahia uumbwaji wao zaidi ya binadamu.


Wewe jamaa uwezo wako wa reasoning nautilia shaka sana...!

'God' is a human creation and not otherwise..
Tafakari hapo mkuu.. usirukie kuponda watu wakati wewe mwenyewe ni layman katika dhana nzima ya God and Religion..
 
Makanisa yaliojawa na shuhuda.

Huwa sielewi nini maana ya zile shuhuda.

Mtu anatolewa pepo anawekewa mic ili wasikie pepo linaongea.

Siku nzima unashinda kanisani, huna kazi za kufanya.

Upumbavu sana.
Nakubaliana na mtoa mada kwa asilimia zote na pia waliochangia humu wengi sana nakubaliana nao sana.
Labda nianze na hii ya kuwekea watolewa pepo mic ili wasikike.
Unapoinga kwenye mifumo ya kidunia ya kutaka/kutamani faida,LAZIMA utajikuta unapitia barabara zile zile(japo hata pembeni uchochoroni,ila sambamba na hizo njia) ambazo kwa kiasi kikubwa ndizo zaaminika kuwa zaleta hiyo/hizo faida kwa haraka ama uhakika zaidi.Kwa yeyote mtafuta pesa ama faida,kujitangaza hakutakwepeka. Na tangazo litazingatia 'tukio' lenye kuvutia zaidi ama mojawapo ya namna hiyo.
Naamini wapo waongoza kondoo/waumini ambao si feki na hata hutangaza shuhuda kwa nia njema kabisa za kuongeza imani za wasikilizaji (kwani shida nyingi za wanadamu zafanana tu,tofauti ni chache) ili nao waende wakapate uponyaji ama utatuzi wa kiroho.Ila,kama jinsi shetani alivyovamia na kuiga sadaka ya kumwaga damu,leo tunao masanii wa nyumba za ibada wanaotenda haya kwa nia ya kutangaza ili wawapate wahanga(wateja) wengi zaidi.Lengo likiwa ni hela za waumini.Hawa hawana haya,huruma wala kujali.Sera zao ni 'njoo na shida yako,ila leta/uje na pesa tu(ama tuma pesa kwa njia za simu)'.
Hawa utawasikia hata wao wenyewe wakivimba vichwa wasikiapo shuhuda zikutolewa maana wanajua marketing efforts zao likely zitalipa na kuwavuta wengi zaidi.
Huwa nasikiliza mahubiri mbalimbali.Kwa kweli,hata kwa msomaji Biblia wa kawaida utagudua upotoshaji wa ajabu sana wakati mwingine.Neno linaongezewa mbwembwe kibao za kibinadamu ili kuvutia watu.Naamini,neno lenyewe tu likisomwa,lina maajabu na nguvu kwa msomaji.Halihitaji kuongezewa mbwembwe na kihisia za kibinadamu,chumvi wala uongo kamwe.
Hata hao wanaokwenda hizo nyumba za ibada,wengine si ajabu sio kuwa ni wajinga sana wa neno kivile.Ila shida ikikaba,kwa baadhi akili hufa ganzi na kutafuta suluhisho kwa namna yoyote ile,hata kujipeleka kwa wasanii wa madhabahuni kutafuta ama suluhu,ama wachawi wa shida zao au sababu/vyanzo.Na hawa wasimamia shoo,hawakosi sababu na wanajua watu lazima waje tu.na si ajabu huomba shida zisiishe.
Hawa hutumia shida za wengine kuganga shida zao na hasa wanajua watu tunapenda sana njia za mikato,kutafuta wachawi na kutamani miujiza bila ustahiki wa kuipata hiyo miujiza kwa namna sahihi,rahisi na hata mingi mingine iliyo ndani ya uwezo wetu wenyewe.
Sikumbuki kusoma mahala Yesu kudai sadaka ama kuagiza mitume wake kudai sadaka.Ila nakumbuka akielekeza wakienda mahala,watafute kwa wenyeji panapowafaa waingie kwa ,watapata huduma humo;kitu kama hicho.
Sasa hivi,hawa wasanii hawatendi haya.Labda wakati haufanani.Ila,hata wakienda mahala,si ajabu watalala mahoteli ya kifahari zaidi kuzidi hata kiwango cha muumini yeyote wanaowahubiria.Wakitoka humo,wataweka msisitizo mkubwa wa sadaka na mambo yao yanaenda safi tu.Na hapa ndipo ujanja na werevu wa kuweka mashiko kwenye imani ili kuvuta zaidi watu na kuongeza zaidi faida.Mambo ya imani ili kuyawekea faida,yanawekewa 'vitu'.Navyo ni chumvi,maji n.k. maana nadhani walishajua,ama watu walishazoea sana au vipi,kuweka tu mikono,watu hawatoi hela ya kutosha.Mpaka umkabidhi kitu,ndipo pesa ama hutoka zaidi ama ni rahisi 'kuidai' kirahisi zaidi.Upande wangu,naamini wapo wanaofanya haya kwa nia njema na uhalisia,ila wapigaji nao wamehamia humo kibao!!!
Jana tu,kuna jamaa akampigia mmojawapo wa hawa watu kwa shida yake.Akaishia kuagizwa atume 150,000/= haraka sana ili apate ukombozi.Tena ikiambatana na utisho wa ajabu kusisitiza kuhusu chanzo cha hiyo shida.Labda ili hiyo pesa itumwe haraka zaidi.Agizo lilitokea eneo la Kinondoni.Hii ni ajabu,upuuzi na kioja cha hali ya juu kabisa.Hakika manabii wa uongo wamejaa na tunao wengi mno.
Kuna siku nilisikia rais wa Rwanda (ama uongozi wa huko) waliamua kuyapunguza makanisa feki sababu hakuelewa sababu ya uwepo wa makanisa mengi mno huku mengine hata hayaeleweki.Wakati ule,nilikubaliana naye kwa theluthi mbili,ila theluthi moja nikasita kuwa labda kuna walakini.Hatimae nilikuja kuamini,hakika YUPO SAHIHI na hili twalihitaji sana hapa Tz.Tuna wasanii wasio hata na haya,huruma wala kusita na hawana hata huo woga wa Mungu.
Natamani siku moja nchi hii iwe na utaratibu wa kuchuja hizi nyumba za ibada.Najua si rahisi hasa ukizingatia serikali haiingilii mambo ya imani,na labda haitakuja kutokea.Ila,kwa urahisi na wepesi wa kufikia waumini ulivyo mkubwa sasa,hakuna haja ya utitiri wa makanisa ambayo asilimia kubwa sana ni shoo za kuvuta na kupiga hela tu kwa faida ya wasimamia hizi shoo, tena toka kwa walio na hali ya chini,wahitaji na wenye shida.Naamini na kukubali kuwa,sadaka itolewe na kila mmoja.Ila,hawa wengine wanautumia huu mwanya kinyama sana tena bila haya wala huruma.
Kwa kuwa pia nakumbuka mahala kwenye Biblia panasema,ile siku Yesu atawakataa hata wale watakaojitetea kuponya kwa jina lake,hii inaashiria wazi kuwa,kuponya,pamoja na sarakasi za namna hiyo,sio kigezo cha usahihi wa huyo atendaye hayo.
Ila,heshima kwa viongozi wote wa dini (zote) ambao wanazingatia misingi ya imani zao kwa kuweka maslahi ya dini/imani zao na kuongoza na kuelekeza waumini sawa sawa na matakwa ya mapenzi ya Mungu.Hawa waliobaki wanaoenda nje ya mstari,Mungu anawaona.
 
Nimeituma kama nami livyoikuta namani itawagusa wengi an ndio hali halisi iliyipi kwa sasa.

UTUMWA MPYA NDANI YA KANISA

Pale udadisi unapokwenda likizo (reasoning)
Ndani ya Kanisani,watu kwa kukosa maarifa wanaibiwa. Kwa bahati mbaya hatujifunzi kutoka kwa Wabeloya, hawa walikuwa wadadisi.

Watu wa huko walikuwa wasikivu zaidi kuliko wale wa Thesalonike. Waliupokea ule ujumbe kwa hamu kubwa, wakawa wanayachunguza Maandiko Matakatifu kila siku, ili kuona kama yale waliyosema Paulo na Sila yalikuwa kweli.

Watu Wanaibiwa kwa kupitia magonjwa yao , wanaibiwa kwa kupitia umaskini wao, wanaibiwa kwa kupitia kukata tamaa kwao , wanaibiwa kwa kupitia kutokujua kwao.

Wengi wao shida zao haziondoshwi ingawa mtumishi wa bwana (The man of God ) anaendelea kuneemeka.

Wanaibiwa kwa kutumi jina la yule ambaye alipotakiwa kulipa kodi ilibidi amtume mfuasi wake kupata hela kwenye kinywa cha Samaki.

Wanaibiwa kwa kutumia jina la yule ambaye alikuwa hana mahali pa kulaza ubavu wake .

Huu ninauita wizi wa bila kutumia nguvu.

Wizi huu unatokea sana Africa nzima ambapo waumini kiupofu wanafuata na kutimiza maagizo ya uongozi.

Kwa uaminifu mkubwa wanapanga foleni kununua miujiza kwa njia ya mafuta, maji , chumvi, vitamba nk. Kwa mtu yeyote anayejiita Mtumishi wa Mungu (The man of God).
Wengi wao wakihubiriwa kuwa kuna laana ya ukoo au kizazi ili hali maandiko yanatufundisha kuwa laana zote zilimalizwa pale msalabani .
Changamoto nyingi walizo nazo wakristo wengi Barani Africa kama umaskini na baadhi ya magonjwa,sio za kiroho,bali ni Ujinga.Mafundisho mengi kwa waumini ni juu ya laana ya kizazi au Ukoo (Generational curse) ingawa Mambo mengi ni ujinga wa kizazi au ukoo (Generational ignorance)

Katika Makala yake iliyochapishwa na jarida la Modern Ghana , toleo no.215 la April 2019 Mwandishi Kay Musonda ansema!

Afrika kwa sasa inashuhudia aina mpya ya utumwa kupitia Ukristo (ulokole). Aina hii ya utumwa wa imani imewafanya watu wengi kuwa wavivu wa kufikiri na uwezo wa kutafakari mambo umedumazwa.

Baadhi ya wachungaji wa kilokole wamejipa uungu mtu. Wanapenda kutukuzwa, kuabudiwa na kusujudiwa. Wanajituza wao zaidi kuliko kumtukuza yule wanayemhubiri.

Wachungaji wa aina hii hawawezi kuongelea mafanikio ya watu weusi kama Barack Obama, Serena Williums, na Usain Bolt. Hawawezi kuongelea wagunduzi waliosaidia kutransform dunia kama akina Albert Einstein, Steve Jobs na wengine. Hawawezi kuongelea Wanasayansi waliodedicate maisha yao na wengine kufia maabara wakitafuta dawa za kutibu magonjwa mbalimbali yanayoisumbua Afrika.

Hawawezi kuongea kuhusu wanafasihi vijana kama Chimamanda Ngozi na Ben Okri, au wakongwe kama Chinua Achebe na Ngugi wa Thiong'o.

Kila pembe ya dunia kuna watu waliofanikiwa kutokana na maarifa, bidii, ubunifu, na weledi. Wapo wafanyabiashara, wanasiasa, wanafasihi na hata wanasayansi wanaofanya mambo makubwa ya kuisaidia dunia yetu. Lakini wachungaji wa Afrika hawatawaongelea watu wa aina hii.

Wao wataongelea mtu aliyepata kazi kimiujiza licha ya kukosa sifa za kupata kazi hiyo, kwa sababu tu aliombewa na kupewa mafuta ya upako siku ya interview ya kazi.

Wataongelea kuhusu kijana aliyetoa mshahara wake wote kwa miezi mitatu mfululizo kwa Mchungaji wake kama mbegu ya mafanikio, baadae akawa 'Boss' kazini.

Au wataongelea kuhusu kijana aliyefeli sekondari lakini baada ya baba yake kumalizia ukarabati wa nyumba ya Mchungaji, alipokea barua ya kupata 'admision' chuo kikuu bila hata kurudia mitihani.

Wachungaji hawa hutumia 'miujiza na shuhuda feki' kama njia ya kuwafumba akili wafuasi wao. Kule Afrika kusini kuna Mchungaji alidanganya kufufua mtu. Hata alipoomba msamaha bado kuna waumini wanaendelea kumuamini na kumsujudu.

Wachungaji hawa wamegundua haya ndio mahubiri yanayopendwa sana huku Afrika. Hawataki kuhubiri kuhusu Aliko Dangote alivyoanza biashara na magumu aliyopitia.

Wanahubiri kuhusu mama Janeth aliyekua mama Ntilie huko Enugu, lakini alipotumia mtaji wake wote wa shilingi laki 5 kununua mafuta ya upako kwa Nabii fulani, ghafla biashara yake ikakua na sasa anamiliki mahoteli makubwa pande zote za nchi. Yani bila mtaji, bila business plan, bila timeline ghafla tu akamiliki mahoteli. Na waumini watashangia kwa kusema Ameen.

Aina hii ya ukristo imepanda mbegu ya uvivu wa kufikiri kwa vijana wengi wa Afrika ambao wanalazimishwa kumuona Mungu kama Mfadhili wa wavivu, au wasiostahili. Kwamba mwanafunzi hata asiposoma anajua akipewa mafuta ya upako atafaulu tu siku ya mtihani. Mfanyabiashara hata asipokua mbunifu anajua akienda kwa 'baba wa miujiza' biashara yake itapanuka ghafla bin vuu. Mfanyakazi hata asipowajibika kazini anajua akitoa fungu la kumi kwa 'Dokta Upako' atapanda cheo.

Kwa baadhi ya makanisa Africa namna pekee ya kufanikiwa ni kufanya kile wanachokiita kupanda mbegu, kupaka mafuta ya upako au kunyunyuziwa maji ya baraka. Eti wanaofanikiwa haraka ni watu 30 wa mwazo wanaokimbilia mbele ya kanisa kila mmoja akiwa ameshika noti ya dola 100.

Aina hii ya mahubiri inawafanya watu waamini kwamba Mungu hawapendi wanaojituma na kuwa wabunifu katika kazi, badala yake anawapenda zaidi wanaotoa zaka, sadaka, malimbuko na fungu la 10 hata kama ni wavivu. Hii sio sawa hata kidogo kwa sababu Biblia inakataa uvivu kwa nguvu zote ( *Mithali 12:27 Bali mtu mvivu hapiki Mawindo yake; Bali Mwenye bidii anazo mali za thamani).*
_
Watu wanaaminishwa kwamba ukishatoa sadaka kanisani unaweza kuamka kila siku asubuhi ukapayuka 'Mimi ni Milionea' halafu ukavuta shuka na kuendelea kulala fofofo, ukisubiri sadaka uliyotoa ikupe muujiza wa kuokota hela, ili upate mtaji wa biashara unayoiwaza.

Mtu huna kazi, huna biashara wala wazo la biashara, huna ujuzi, huna elimu, lakini kila siku unashinda kanisani kumsikiliza Mchungaji anayesema kesho utakua milionea na wewe unasema "Baba napokea/Dady I receive". Huu ni utani.

Waambieni wanaofanya utani huu kwa kofia za Uchungaji, Uaskofu, Unabii au Utume kwamba wanamkosea Mungu. Waambieni Mungu wetu ni Mungu wa kanuni, na hana kanuni ya kuwabariki wavivu. Tuache kufundisha waumini wetu kwamba uvivu unalipa kupitia miujiza.

Mafanikio ni matokeo ya bidii, ubunifu na weledi. Biblia inazungumzia kuhusu karama. Hebu kila mtu atumie karama alizopewa kwa bidii, ubunifu na weledi aone kama hatafanikiwa. Sio sahihi kuwaambia watu wabweteke tu na kusubiria mafanikio kama kusubiria daladala kituoni kwa sababu tu wamepakwa mafuta ya upako.

Mungu alishatubariki *tangu wakati wa uumbaji wetu. Ni wajibu wetu kujibidisha katika yale tufanyayo ili baraka zake ziambatane nasi ( *Kumb 28:6 Utabarikiwa uingiapo utabarikiwa na utokapo).*

Wazungu na Wachina wanazidi kushindana katika kuitawala dunia kwenye mambo mbalimbali kuanzia viwanda, biashara, sayansi na teknolojia. Sisi tuko 'busy' kununua maji ya upako tukiamini yatatufanya tuwe kama Jack Ma au Bill Gates. Upuuzi.

Tumeumbwa kuitawala hii dunia (Mwanzo 1:28Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia, Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuitiisha; mkatawale samaki wa baharini na ndege wa angani, na kila kiumbw chenye uhai kiendacho juu ya nchi). Tutumie vipawa na karama tulizopewa ili kutimiza kusudi hilo la Mungu. Tusiruhusu Askofu, Mchungaji, Nabii, mtume au kiongozi mwingine yeyote wa dini atutawale akili zetu kwa kutuhubiria mafanikio ya miujiza. Wao wanaishi kifahari kwa sadaka za waumini wao, huku waumini wakiendelea kuwa mafukara wa kutupwa.

Biblia inasema kumcha BWANA ni chanzo cha maarifa ( *Mithali 1:7 Kumcha BWANA ni chanzo cha maarifa, Bali wapumbavu hudharau hekima na adabu).* Tutafute maarifa, tufanye kazi kwa bidii, na tumuabudu Mungu katika Roho na kweli. Kwa kufanya hivyo tutapata MAFANIKIO katika mambo yote tuyafanyayo.

NB: Makala hii inazungumzia baadhi ya makanisa ya kilokole sio yote. Dont generalize. Yapo makanisa ya kilokole yenye misingi bora, lakini mengine yamejaa upotoshaji. Haya ndio yaliyozungumzwa hapa. Tafsiri isiyo rasmi imefanywa
na Malisa GJ.
Tukutane wiki ijayo panapo majaliwa.
Malisa umenena vyema.
Walokole wengi, wacha hao wanai jiita manabii na mitume, hata makanisa ya TAG, wachungaji wamejigeuza miungu mtu.
Kanisa moja lipo Dar maeneo ya upanga, mchungaji wake ANALAZIMISHWA AIMBIWE "YOU RAISE ME UP" ,sasa mtu unajiuliza, unaimbiwa wewe ama Mungu!
 
Nimeituma kama nami livyoikuta namani itawagusa wengi an ndio hali halisi iliyipi kwa sasa.

UTUMWA MPYA NDANI YA KANISA

Pale udadisi unapokwenda likizo (reasoning)
Ndani ya Kanisani,watu kwa kukosa maarifa wanaibiwa. Kwa bahati mbaya hatujifunzi kutoka kwa Wabeloya, hawa walikuwa wadadisi.

Watu wa huko walikuwa wasikivu zaidi kuliko wale wa Thesalonike. Waliupokea ule ujumbe kwa hamu kubwa, wakawa wanayachunguza Maandiko Matakatifu kila siku, ili kuona kama yale waliyosema Paulo na Sila yalikuwa kweli.

Watu Wanaibiwa kwa kupitia magonjwa yao , wanaibiwa kwa kupitia umaskini wao, wanaibiwa kwa kupitia kukata tamaa kwao , wanaibiwa kwa kupitia kutokujua kwao.

Wengi wao shida zao haziondoshwi ingawa mtumishi wa bwana (The man of God ) anaendelea kuneemeka.

Wanaibiwa kwa kutumi jina la yule ambaye alipotakiwa kulipa kodi ilibidi amtume mfuasi wake kupata hela kwenye kinywa cha Samaki.

Wanaibiwa kwa kutumia jina la yule ambaye alikuwa hana mahali pa kulaza ubavu wake .

Huu ninauita wizi wa bila kutumia nguvu.

Wizi huu unatokea sana Africa nzima ambapo waumini kiupofu wanafuata na kutimiza maagizo ya uongozi.

Kwa uaminifu mkubwa wanapanga foleni kununua miujiza kwa njia ya mafuta, maji , chumvi, vitamba nk. Kwa mtu yeyote anayejiita Mtumishi wa Mungu (The man of God).
Wengi wao wakihubiriwa kuwa kuna laana ya ukoo au kizazi ili hali maandiko yanatufundisha kuwa laana zote zilimalizwa pale msalabani .
Changamoto nyingi walizo nazo wakristo wengi Barani Africa kama umaskini na baadhi ya magonjwa,sio za kiroho,bali ni Ujinga.Mafundisho mengi kwa waumini ni juu ya laana ya kizazi au Ukoo (Generational curse) ingawa Mambo mengi ni ujinga wa kizazi au ukoo (Generational ignorance)

Katika Makala yake iliyochapishwa na jarida la Modern Ghana , toleo no.215 la April 2019 Mwandishi Kay Musonda ansema!

Afrika kwa sasa inashuhudia aina mpya ya utumwa kupitia Ukristo (ulokole). Aina hii ya utumwa wa imani imewafanya watu wengi kuwa wavivu wa kufikiri na uwezo wa kutafakari mambo umedumazwa.

Baadhi ya wachungaji wa kilokole wamejipa uungu mtu. Wanapenda kutukuzwa, kuabudiwa na kusujudiwa. Wanajituza wao zaidi kuliko kumtukuza yule wanayemhubiri.

Wachungaji wa aina hii hawawezi kuongelea mafanikio ya watu weusi kama Barack Obama, Serena Williums, na Usain Bolt. Hawawezi kuongelea wagunduzi waliosaidia kutransform dunia kama akina Albert Einstein, Steve Jobs na wengine. Hawawezi kuongelea Wanasayansi waliodedicate maisha yao na wengine kufia maabara wakitafuta dawa za kutibu magonjwa mbalimbali yanayoisumbua Afrika.

Hawawezi kuongea kuhusu wanafasihi vijana kama Chimamanda Ngozi na Ben Okri, au wakongwe kama Chinua Achebe na Ngugi wa Thiong'o.

Kila pembe ya dunia kuna watu waliofanikiwa kutokana na maarifa, bidii, ubunifu, na weledi. Wapo wafanyabiashara, wanasiasa, wanafasihi na hata wanasayansi wanaofanya mambo makubwa ya kuisaidia dunia yetu. Lakini wachungaji wa Afrika hawatawaongelea watu wa aina hii.

Wao wataongelea mtu aliyepata kazi kimiujiza licha ya kukosa sifa za kupata kazi hiyo, kwa sababu tu aliombewa na kupewa mafuta ya upako siku ya interview ya kazi.

Wataongelea kuhusu kijana aliyetoa mshahara wake wote kwa miezi mitatu mfululizo kwa Mchungaji wake kama mbegu ya mafanikio, baadae akawa 'Boss' kazini.

Au wataongelea kuhusu kijana aliyefeli sekondari lakini baada ya baba yake kumalizia ukarabati wa nyumba ya Mchungaji, alipokea barua ya kupata 'admision' chuo kikuu bila hata kurudia mitihani.

Wachungaji hawa hutumia 'miujiza na shuhuda feki' kama njia ya kuwafumba akili wafuasi wao. Kule Afrika kusini kuna Mchungaji alidanganya kufufua mtu. Hata alipoomba msamaha bado kuna waumini wanaendelea kumuamini na kumsujudu.

Wachungaji hawa wamegundua haya ndio mahubiri yanayopendwa sana huku Afrika. Hawataki kuhubiri kuhusu Aliko Dangote alivyoanza biashara na magumu aliyopitia.

Wanahubiri kuhusu mama Janeth aliyekua mama Ntilie huko Enugu, lakini alipotumia mtaji wake wote wa shilingi laki 5 kununua mafuta ya upako kwa Nabii fulani, ghafla biashara yake ikakua na sasa anamiliki mahoteli makubwa pande zote za nchi. Yani bila mtaji, bila business plan, bila timeline ghafla tu akamiliki mahoteli. Na waumini watashangia kwa kusema Ameen.

Aina hii ya ukristo imepanda mbegu ya uvivu wa kufikiri kwa vijana wengi wa Afrika ambao wanalazimishwa kumuona Mungu kama Mfadhili wa wavivu, au wasiostahili. Kwamba mwanafunzi hata asiposoma anajua akipewa mafuta ya upako atafaulu tu siku ya mtihani. Mfanyabiashara hata asipokua mbunifu anajua akienda kwa 'baba wa miujiza' biashara yake itapanuka ghafla bin vuu. Mfanyakazi hata asipowajibika kazini anajua akitoa fungu la kumi kwa 'Dokta Upako' atapanda cheo.

Kwa baadhi ya makanisa Africa namna pekee ya kufanikiwa ni kufanya kile wanachokiita kupanda mbegu, kupaka mafuta ya upako au kunyunyuziwa maji ya baraka. Eti wanaofanikiwa haraka ni watu 30 wa mwazo wanaokimbilia mbele ya kanisa kila mmoja akiwa ameshika noti ya dola 100.

Aina hii ya mahubiri inawafanya watu waamini kwamba Mungu hawapendi wanaojituma na kuwa wabunifu katika kazi, badala yake anawapenda zaidi wanaotoa zaka, sadaka, malimbuko na fungu la 10 hata kama ni wavivu. Hii sio sawa hata kidogo kwa sababu Biblia inakataa uvivu kwa nguvu zote ( *Mithali 12:27 Bali mtu mvivu hapiki Mawindo yake; Bali Mwenye bidii anazo mali za thamani).*
_
Watu wanaaminishwa kwamba ukishatoa sadaka kanisani unaweza kuamka kila siku asubuhi ukapayuka 'Mimi ni Milionea' halafu ukavuta shuka na kuendelea kulala fofofo, ukisubiri sadaka uliyotoa ikupe muujiza wa kuokota hela, ili upate mtaji wa biashara unayoiwaza.

Mtu huna kazi, huna biashara wala wazo la biashara, huna ujuzi, huna elimu, lakini kila siku unashinda kanisani kumsikiliza Mchungaji anayesema kesho utakua milionea na wewe unasema "Baba napokea/Dady I receive". Huu ni utani.

Waambieni wanaofanya utani huu kwa kofia za Uchungaji, Uaskofu, Unabii au Utume kwamba wanamkosea Mungu. Waambieni Mungu wetu ni Mungu wa kanuni, na hana kanuni ya kuwabariki wavivu. Tuache kufundisha waumini wetu kwamba uvivu unalipa kupitia miujiza.

Mafanikio ni matokeo ya bidii, ubunifu na weledi. Biblia inazungumzia kuhusu karama. Hebu kila mtu atumie karama alizopewa kwa bidii, ubunifu na weledi aone kama hatafanikiwa. Sio sahihi kuwaambia watu wabweteke tu na kusubiria mafanikio kama kusubiria daladala kituoni kwa sababu tu wamepakwa mafuta ya upako.

Mungu alishatubariki *tangu wakati wa uumbaji wetu. Ni wajibu wetu kujibidisha katika yale tufanyayo ili baraka zake ziambatane nasi ( *Kumb 28:6 Utabarikiwa uingiapo utabarikiwa na utokapo).*

Wazungu na Wachina wanazidi kushindana katika kuitawala dunia kwenye mambo mbalimbali kuanzia viwanda, biashara, sayansi na teknolojia. Sisi tuko 'busy' kununua maji ya upako tukiamini yatatufanya tuwe kama Jack Ma au Bill Gates. Upuuzi.

Tumeumbwa kuitawala hii dunia (Mwanzo 1:28Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia, Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuitiisha; mkatawale samaki wa baharini na ndege wa angani, na kila kiumbw chenye uhai kiendacho juu ya nchi). Tutumie vipawa na karama tulizopewa ili kutimiza kusudi hilo la Mungu. Tusiruhusu Askofu, Mchungaji, Nabii, mtume au kiongozi mwingine yeyote wa dini atutawale akili zetu kwa kutuhubiria mafanikio ya miujiza. Wao wanaishi kifahari kwa sadaka za waumini wao, huku waumini wakiendelea kuwa mafukara wa kutupwa.

Biblia inasema kumcha BWANA ni chanzo cha maarifa ( *Mithali 1:7 Kumcha BWANA ni chanzo cha maarifa, Bali wapumbavu hudharau hekima na adabu).* Tutafute maarifa, tufanye kazi kwa bidii, na tumuabudu Mungu katika Roho na kweli. Kwa kufanya hivyo tutapata MAFANIKIO katika mambo yote tuyafanyayo.

NB: Makala hii inazungumzia baadhi ya makanisa ya kilokole sio yote. Dont generalize. Yapo makanisa ya kilokole yenye misingi bora, lakini mengine yamejaa upotoshaji. Haya ndio yaliyozungumzwa hapa. Tafsiri isiyo rasmi imefanywa
na Malisa GJ.
Tukutane wiki ijayo panapo majaliwa.
naichukia ile system ya kutoa sadaka kwa mstari sijui ni nani aliileta yaani utakuta kwa mfano huna sadaka kabisa afu imefika zamu ya kiti chenu kwenda kutoa sadaka ..yaani kama utabaki inakuwa aibu kuwa wenzio wamesimama afu ww umebaki...i hate this
 
Kama wale wanaoshuhudia mafanikio waliyoyapata nao ni sehemu ya hao manabii, basi huo unaweza ukaitwa wizi, lakini kama si sehemu yao, bali walifanikiwa bila kufanya mipango na huyo nabii, basi huo si wizi. Ukweli wanaujua watoa shuhuda, ila jambo la msingi ni kuamini katika Kristu aliye hai na kusadiki kwamba yeye pekee ndio njia, kweli na uzima
Amen
 
Hahahah..! Kiranga Kwa akili yako wewe una hisi Mungu anaupande..?

Mungu yupo katikati ya mazuri na mabaya, God has no choice, no good or bad to him..! Alichonifanya kibaya na kizuri kwa binadamu ndicho kipimo cha hukumu zake kwetu.

Kifupi iko hivi hizo maafa na mabaya yote tunayaumba sisi katika maisha yetu si Mungu. Mfano huwa mnaambiwa dhambi mwisho wake ni mauti/kifo, utambue mtenda dhambi ni binadamu si Mungu.

Ukisema Mungu angetuumba na kutunyima utashi tufanye kazi kwa settings/programmed kama computer ata wewe hapo usinge hoji haya maswali yako ya kijinga. By the way Malaika wako programmed na hawa hizo mess zote unazosema kuwepo kwake ni kuthibitisha kutokuwepo kwa Mungu, mfano Malaika hawapatwi na hizo maafa na mabalaha, Lakini usidhani Malaika wanaenjoy/kufurahia uumbwaji wao zaidi ya binadamu.


Wewe jamaa uwezo wako wa reasoning nautilia shaka sana...!

Hahahah..! Kiranga Kwa akili yako wewe una hisi Mungu anaupande..?

Mungu yupo katikati ya mazuri na mabaya, God has no choice, no good or bad to him..! Alichonifanya kibaya na kizuri kwa binadamu ndicho kipimo cha hukumu zake kwetu.

Kifupi iko hivi hizo maafa na mabaya yote tunayaumba sisi katika maisha yetu si Mungu. Mfano huwa mnaambiwa dhambi mwisho wake ni mauti/kifo, utambue mtenda dhambi ni binadamu si Mungu.

Ukisema Mungu angetuumba na kutunyima utashi tufanye kazi kwa settings/programmed kama computer ata wewe hapo usinge hoji haya maswali yako ya kijinga. By the way Malaika wako programmed na hawa hizo mess zote unazosema kuwepo kwake ni kuthibitisha kutokuwepo kwa Mungu, mfano Malaika hawapatwi na hizo maafa na mabalaha, Lakini usidhani Malaika wanaenjoy/kufurahia uumbwaji wao zaidi ya binadamu.


Wewe jamaa uwezo wako wa reasoning nautilia shaka sana...!

Kwanza unamuongelea Mungu gani?

Ili tujadili Mungu inabidi tujadili tabia zake.

Wewe unapotaja "Mungu" unamtaja Mungu gani? Wa Biblia? Wa Quran? Tabia zake zipi? Jina lake anaitwa nani?

Unaweza kuthibitisha yupo na si hadithi za watu tu?
 
Mpumbavu husema moyoni mwake hakuna Mungu
Mjanja kajiwekea mstari wa "Mpumbavu kasema moyoni mwake hakuna Mungu" katika kitabu ili wapumbavu wanaoogopa kuitwa wapumbavu kuliko upumbavu wenyewe wazidi kupumbazwa.

Unaweza kuthibitisha Mungu yupo? Thibitisha.
 
Nimeituma kama nami livyoikuta namani itawagusa wengi an ndio hali halisi iliyipi kwa sasa.

UTUMWA MPYA NDANI YA KANISA

Pale udadisi unapokwenda likizo (reasoning)
Ndani ya Kanisani,watu kwa kukosa maarifa wanaibiwa. Kwa bahati mbaya hatujifunzi kutoka kwa Wabeloya, hawa walikuwa wadadisi.

Watu wa huko walikuwa wasikivu zaidi kuliko wale wa Thesalonike. Waliupokea ule ujumbe kwa hamu kubwa, wakawa wanayachunguza Maandiko Matakatifu kila siku, ili kuona kama yale waliyosema Paulo na Sila yalikuwa kweli.

Watu Wanaibiwa kwa kupitia magonjwa yao , wanaibiwa kwa kupitia umaskini wao, wanaibiwa kwa kupitia kukata tamaa kwao , wanaibiwa kwa kupitia kutokujua kwao.

Wengi wao shida zao haziondoshwi ingawa mtumishi wa bwana (The man of God ) anaendelea kuneemeka.

Wanaibiwa kwa kutumi jina la yule ambaye alipotakiwa kulipa kodi ilibidi amtume mfuasi wake kupata hela kwenye kinywa cha Samaki.

Wanaibiwa kwa kutumia jina la yule ambaye alikuwa hana mahali pa kulaza ubavu wake .

Huu ninauita wizi wa bila kutumia nguvu.

Wizi huu unatokea sana Africa nzima ambapo waumini kiupofu wanafuata na kutimiza maagizo ya uongozi.

Kwa uaminifu mkubwa wanapanga foleni kununua miujiza kwa njia ya mafuta, maji , chumvi, vitamba nk. Kwa mtu yeyote anayejiita Mtumishi wa Mungu (The man of God).
Wengi wao wakihubiriwa kuwa kuna laana ya ukoo au kizazi ili hali maandiko yanatufundisha kuwa laana zote zilimalizwa pale msalabani .
Changamoto nyingi walizo nazo wakristo wengi Barani Africa kama umaskini na baadhi ya magonjwa,sio za kiroho,bali ni Ujinga.Mafundisho mengi kwa waumini ni juu ya laana ya kizazi au Ukoo (Generational curse) ingawa Mambo mengi ni ujinga wa kizazi au ukoo (Generational ignorance)

Katika Makala yake iliyochapishwa na jarida la Modern Ghana , toleo no.215 la April 2019 Mwandishi Kay Musonda ansema!

Afrika kwa sasa inashuhudia aina mpya ya utumwa kupitia Ukristo (ulokole). Aina hii ya utumwa wa imani imewafanya watu wengi kuwa wavivu wa kufikiri na uwezo wa kutafakari mambo umedumazwa.

Baadhi ya wachungaji wa kilokole wamejipa uungu mtu. Wanapenda kutukuzwa, kuabudiwa na kusujudiwa. Wanajituza wao zaidi kuliko kumtukuza yule wanayemhubiri.

Wachungaji wa aina hii hawawezi kuongelea mafanikio ya watu weusi kama Barack Obama, Serena Williums, na Usain Bolt. Hawawezi kuongelea wagunduzi waliosaidia kutransform dunia kama akina Albert Einstein, Steve Jobs na wengine. Hawawezi kuongelea Wanasayansi waliodedicate maisha yao na wengine kufia maabara wakitafuta dawa za kutibu magonjwa mbalimbali yanayoisumbua Afrika.

Hawawezi kuongea kuhusu wanafasihi vijana kama Chimamanda Ngozi na Ben Okri, au wakongwe kama Chinua Achebe na Ngugi wa Thiong'o.

Kila pembe ya dunia kuna watu waliofanikiwa kutokana na maarifa, bidii, ubunifu, na weledi. Wapo wafanyabiashara, wanasiasa, wanafasihi na hata wanasayansi wanaofanya mambo makubwa ya kuisaidia dunia yetu. Lakini wachungaji wa Afrika hawatawaongelea watu wa aina hii.

Wao wataongelea mtu aliyepata kazi kimiujiza licha ya kukosa sifa za kupata kazi hiyo, kwa sababu tu aliombewa na kupewa mafuta ya upako siku ya interview ya kazi.

Wataongelea kuhusu kijana aliyetoa mshahara wake wote kwa miezi mitatu mfululizo kwa Mchungaji wake kama mbegu ya mafanikio, baadae akawa 'Boss' kazini.

Au wataongelea kuhusu kijana aliyefeli sekondari lakini baada ya baba yake kumalizia ukarabati wa nyumba ya Mchungaji, alipokea barua ya kupata 'admision' chuo kikuu bila hata kurudia mitihani.

Wachungaji hawa hutumia 'miujiza na shuhuda feki' kama njia ya kuwafumba akili wafuasi wao. Kule Afrika kusini kuna Mchungaji alidanganya kufufua mtu. Hata alipoomba msamaha bado kuna waumini wanaendelea kumuamini na kumsujudu.

Wachungaji hawa wamegundua haya ndio mahubiri yanayopendwa sana huku Afrika. Hawataki kuhubiri kuhusu Aliko Dangote alivyoanza biashara na magumu aliyopitia.

Wanahubiri kuhusu mama Janeth aliyekua mama Ntilie huko Enugu, lakini alipotumia mtaji wake wote wa shilingi laki 5 kununua mafuta ya upako kwa Nabii fulani, ghafla biashara yake ikakua na sasa anamiliki mahoteli makubwa pande zote za nchi. Yani bila mtaji, bila business plan, bila timeline ghafla tu akamiliki mahoteli. Na waumini watashangia kwa kusema Ameen.

Aina hii ya ukristo imepanda mbegu ya uvivu wa kufikiri kwa vijana wengi wa Afrika ambao wanalazimishwa kumuona Mungu kama Mfadhili wa wavivu, au wasiostahili. Kwamba mwanafunzi hata asiposoma anajua akipewa mafuta ya upako atafaulu tu siku ya mtihani. Mfanyabiashara hata asipokua mbunifu anajua akienda kwa 'baba wa miujiza' biashara yake itapanuka ghafla bin vuu. Mfanyakazi hata asipowajibika kazini anajua akitoa fungu la kumi kwa 'Dokta Upako' atapanda cheo.

Kwa baadhi ya makanisa Africa namna pekee ya kufanikiwa ni kufanya kile wanachokiita kupanda mbegu, kupaka mafuta ya upako au kunyunyuziwa maji ya baraka. Eti wanaofanikiwa haraka ni watu 30 wa mwazo wanaokimbilia mbele ya kanisa kila mmoja akiwa ameshika noti ya dola 100.

Aina hii ya mahubiri inawafanya watu waamini kwamba Mungu hawapendi wanaojituma na kuwa wabunifu katika kazi, badala yake anawapenda zaidi wanaotoa zaka, sadaka, malimbuko na fungu la 10 hata kama ni wavivu. Hii sio sawa hata kidogo kwa sababu Biblia inakataa uvivu kwa nguvu zote ( *Mithali 12:27 Bali mtu mvivu hapiki Mawindo yake; Bali Mwenye bidii anazo mali za thamani).*
_
Watu wanaaminishwa kwamba ukishatoa sadaka kanisani unaweza kuamka kila siku asubuhi ukapayuka 'Mimi ni Milionea' halafu ukavuta shuka na kuendelea kulala fofofo, ukisubiri sadaka uliyotoa ikupe muujiza wa kuokota hela, ili upate mtaji wa biashara unayoiwaza.

Mtu huna kazi, huna biashara wala wazo la biashara, huna ujuzi, huna elimu, lakini kila siku unashinda kanisani kumsikiliza Mchungaji anayesema kesho utakua milionea na wewe unasema "Baba napokea/Dady I receive". Huu ni utani.

Waambieni wanaofanya utani huu kwa kofia za Uchungaji, Uaskofu, Unabii au Utume kwamba wanamkosea Mungu. Waambieni Mungu wetu ni Mungu wa kanuni, na hana kanuni ya kuwabariki wavivu. Tuache kufundisha waumini wetu kwamba uvivu unalipa kupitia miujiza.

Mafanikio ni matokeo ya bidii, ubunifu na weledi. Biblia inazungumzia kuhusu karama. Hebu kila mtu atumie karama alizopewa kwa bidii, ubunifu na weledi aone kama hatafanikiwa. Sio sahihi kuwaambia watu wabweteke tu na kusubiria mafanikio kama kusubiria daladala kituoni kwa sababu tu wamepakwa mafuta ya upako.

Mungu alishatubariki *tangu wakati wa uumbaji wetu. Ni wajibu wetu kujibidisha katika yale tufanyayo ili baraka zake ziambatane nasi ( *Kumb 28:6 Utabarikiwa uingiapo utabarikiwa na utokapo).*

Wazungu na Wachina wanazidi kushindana katika kuitawala dunia kwenye mambo mbalimbali kuanzia viwanda, biashara, sayansi na teknolojia. Sisi tuko 'busy' kununua maji ya upako tukiamini yatatufanya tuwe kama Jack Ma au Bill Gates. Upuuzi.

Tumeumbwa kuitawala hii dunia (Mwanzo 1:28Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia, Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuitiisha; mkatawale samaki wa baharini na ndege wa angani, na kila kiumbw chenye uhai kiendacho juu ya nchi). Tutumie vipawa na karama tulizopewa ili kutimiza kusudi hilo la Mungu. Tusiruhusu Askofu, Mchungaji, Nabii, mtume au kiongozi mwingine yeyote wa dini atutawale akili zetu kwa kutuhubiria mafanikio ya miujiza. Wao wanaishi kifahari kwa sadaka za waumini wao, huku waumini wakiendelea kuwa mafukara wa kutupwa.

Biblia inasema kumcha BWANA ni chanzo cha maarifa ( *Mithali 1:7 Kumcha BWANA ni chanzo cha maarifa, Bali wapumbavu hudharau hekima na adabu).* Tutafute maarifa, tufanye kazi kwa bidii, na tumuabudu Mungu katika Roho na kweli. Kwa kufanya hivyo tutapata MAFANIKIO katika mambo yote tuyafanyayo.

NB: Makala hii inazungumzia baadhi ya makanisa ya kilokole sio yote. Dont generalize. Yapo makanisa ya kilokole yenye misingi bora, lakini mengine yamejaa upotoshaji. Haya ndio yaliyozungumzwa hapa. Tafsiri isiyo rasmi imefanywa
na Malisa GJ.
Tukutane wiki ijayo panapo majaliwa.
Mtoa mada na muwasilisha mada mmesomeka vema kabisa na ametoa mawazo ya kweli katika ulimwengu wa leo. ambae hajaelewa ni mlokole mfia dini
 
Kwanza unamuongelea Mungu gani?

Ili tujadili Mungu inabidi tujadili tabia zake.

Wewe unapotaja "Mungu" unamtaja Mungu gani? Wa Biblia? Wa Quran? Tabia zake zipi? Jina lake anaitwa nani?

Unaweza kuthibitisha yupo na si hadithi za watu tu?
Unachekesha kwani wewe unavyotaja au kubisha unabisha juu kitu gani, au kama bado hujajua ni Mungu yupi unapata wapi sababu za hoja zako..?

Kingine tambua dhana ya Mungu ni moja tu duniani na Mbinguni kote () najua hapo kichwa kimeuma tena kusikia nataja MBINGU iko hivi jaribu kufikirisha akili yako walau kidogo...

Mfano ebu jaribu kuwaza binadamu/mtu ukiyekaa naye hapo afu sumbua akili yako au weka mitambo ya sayansi na technology unadhani ni bora duniani ukimudu kujua na kutwambia kuwa huyo mtu anawaza nini basi utaanza kulewa dhana ya Mungu Roho.

Ndugu yangu Kiranga siyo kila kitu kinahalisika ili kiwepo, hoja zako huwa ni dhaifu mno kumfikiria Mungu awe mtenda MEMA TUU, na wakati hayo MEMA yenyewe yanategemea ubinadam, mtu na mtu siyo kila chema kwako kwangu ni chema kumbuka Mungu hana tabia za kibinadam/humanity properties.

Mara nyingi unakujaga na hoja ya KIFO na MABARAHA/MAAFA ukisema angekuwepo angeyazuia yasitokee labda una uhakika gani kwa Mungu kama kifo anakiona ni adhabu au kitu kibaya..?

AU ni kwa vipi unaweza kunishawishi niseme mabaraha yanatokea nje ya matakwa ya Mungu au ndani ya mapenzi yake na hayategemeani na binadamu mwenyewe..?

Narudia MUNGU yupo katikati ya UBAYA na WEMA/Mabaya na Mema sasa ubaya wa kitu utatokana na namna mtu atakavyotenda ukizingatia principles rule ni kuwa usiifanyie mtu usichokipenda na ndiyo kilimo cha kitu kibaya au kizuri kwa Mungu.

Ndugu bado sana, level zako kumfikiria Mungu hutaelewa maana Mengine hayategemei elimu gani uliyonayo kumjua Mungu..!

Kitu kimoja nikukumbushe iko hivi uwezo wa akili uliozaliwa nao utabakia kuwa mkubwa maisha yako yote kuliko ujuzi na maarifa utakayojifunza kipindi cha uhai wako hapa duniani.
 
Duniani wajinga ni wengi sana kuliko wenye akili.

Mawatu yanapenda miujiza miujiza tu na njia mkato kupata mafanikio na ni Wabishi sana hata hawataki kuelewa.

Beyonce naye kacheza uchi weeee...afu 2016 kazindua dini yake na biblia yake mawatu yamemfata na yamejazana tele.

Fanyeni kazi jamani mazuri yako mbele kwa mbele na Mungu hana upendeleo wowote.
 
UTUMWA ndani ya MADHEHEBU
Nimeituma kama nami livyoikuta namani itawagusa wengi an ndio hali halisi iliyipi kwa sasa.

UTUMWA MPYA NDANI YA KANISA

Pale udadisi unapokwenda likizo (reasoning)
Ndani ya Kanisani,watu kwa kukosa maarifa wanaibiwa. Kwa bahati mbaya hatujifunzi kutoka kwa Wabeloya, hawa walikuwa wadadisi.

Watu wa huko walikuwa wasikivu zaidi kuliko wale wa Thesalonike. Waliupokea ule ujumbe kwa hamu kubwa, wakawa wanayachunguza Maandiko Matakatifu kila siku, ili kuona kama yale waliyosema Paulo na Sila yalikuwa kweli.

Watu Wanaibiwa kwa kupitia magonjwa yao , wanaibiwa kwa kupitia umaskini wao, wanaibiwa kwa kupitia kukata tamaa kwao , wanaibiwa kwa kupitia kutokujua kwao.

Wengi wao shida zao haziondoshwi ingawa mtumishi wa bwana (The man of God ) anaendelea kuneemeka.

Wanaibiwa kwa kutumi jina la yule ambaye alipotakiwa kulipa kodi ilibidi amtume mfuasi wake kupata hela kwenye kinywa cha Samaki.

Wanaibiwa kwa kutumia jina la yule ambaye alikuwa hana mahali pa kulaza ubavu wake .

Huu ninauita wizi wa bila kutumia nguvu.

Wizi huu unatokea sana Africa nzima ambapo waumini kiupofu wanafuata na kutimiza maagizo ya uongozi.

Kwa uaminifu mkubwa wanapanga foleni kununua miujiza kwa njia ya mafuta, maji , chumvi, vitamba nk. Kwa mtu yeyote anayejiita Mtumishi wa Mungu (The man of God).
Wengi wao wakihubiriwa kuwa kuna laana ya ukoo au kizazi ili hali maandiko yanatufundisha kuwa laana zote zilimalizwa pale msalabani .
Changamoto nyingi walizo nazo wakristo wengi Barani Africa kama umaskini na baadhi ya magonjwa,sio za kiroho,bali ni Ujinga.Mafundisho mengi kwa waumini ni juu ya laana ya kizazi au Ukoo (Generational curse) ingawa Mambo mengi ni ujinga wa kizazi au ukoo (Generational ignorance)

Katika Makala yake iliyochapishwa na jarida la Modern Ghana , toleo no.215 la April 2019 Mwandishi Kay Musonda ansema!

Afrika kwa sasa inashuhudia aina mpya ya utumwa kupitia Ukristo (ulokole). Aina hii ya utumwa wa imani imewafanya watu wengi kuwa wavivu wa kufikiri na uwezo wa kutafakari mambo umedumazwa.

Baadhi ya wachungaji wa kilokole wamejipa uungu mtu. Wanapenda kutukuzwa, kuabudiwa na kusujudiwa. Wanajituza wao zaidi kuliko kumtukuza yule wanayemhubiri.

Wachungaji wa aina hii hawawezi kuongelea mafanikio ya watu weusi kama Barack Obama, Serena Williums, na Usain Bolt. Hawawezi kuongelea wagunduzi waliosaidia kutransform dunia kama akina Albert Einstein, Steve Jobs na wengine. Hawawezi kuongelea Wanasayansi waliodedicate maisha yao na wengine kufia maabara wakitafuta dawa za kutibu magonjwa mbalimbali yanayoisumbua Afrika.

Hawawezi kuongea kuhusu wanafasihi vijana kama Chimamanda Ngozi na Ben Okri, au wakongwe kama Chinua Achebe na Ngugi wa Thiong'o.

Kila pembe ya dunia kuna watu waliofanikiwa kutokana na maarifa, bidii, ubunifu, na weledi. Wapo wafanyabiashara, wanasiasa, wanafasihi na hata wanasayansi wanaofanya mambo makubwa ya kuisaidia dunia yetu. Lakini wachungaji wa Afrika hawatawaongelea watu wa aina hii.

Wao wataongelea mtu aliyepata kazi kimiujiza licha ya kukosa sifa za kupata kazi hiyo, kwa sababu tu aliombewa na kupewa mafuta ya upako siku ya interview ya kazi.

Wataongelea kuhusu kijana aliyetoa mshahara wake wote kwa miezi mitatu mfululizo kwa Mchungaji wake kama mbegu ya mafanikio, baadae akawa 'Boss' kazini.

Au wataongelea kuhusu kijana aliyefeli sekondari lakini baada ya baba yake kumalizia ukarabati wa nyumba ya Mchungaji, alipokea barua ya kupata 'admision' chuo kikuu bila hata kurudia mitihani.

Wachungaji hawa hutumia 'miujiza na shuhuda feki' kama njia ya kuwafumba akili wafuasi wao. Kule Afrika kusini kuna Mchungaji alidanganya kufufua mtu. Hata alipoomba msamaha bado kuna waumini wanaendelea kumuamini na kumsujudu.

Wachungaji hawa wamegundua haya ndio mahubiri yanayopendwa sana huku Afrika. Hawataki kuhubiri kuhusu Aliko Dangote alivyoanza biashara na magumu aliyopitia.

Wanahubiri kuhusu mama Janeth aliyekua mama Ntilie huko Enugu, lakini alipotumia mtaji wake wote wa shilingi laki 5 kununua mafuta ya upako kwa Nabii fulani, ghafla biashara yake ikakua na sasa anamiliki mahoteli makubwa pande zote za nchi. Yani bila mtaji, bila business plan, bila timeline ghafla tu akamiliki mahoteli. Na waumini watashangia kwa kusema Ameen.

Aina hii ya ukristo imepanda mbegu ya uvivu wa kufikiri kwa vijana wengi wa Afrika ambao wanalazimishwa kumuona Mungu kama Mfadhili wa wavivu, au wasiostahili. Kwamba mwanafunzi hata asiposoma anajua akipewa mafuta ya upako atafaulu tu siku ya mtihani. Mfanyabiashara hata asipokua mbunifu anajua akienda kwa 'baba wa miujiza' biashara yake itapanuka ghafla bin vuu. Mfanyakazi hata asipowajibika kazini anajua akitoa fungu la kumi kwa 'Dokta Upako' atapanda cheo.

Kwa baadhi ya makanisa Africa namna pekee ya kufanikiwa ni kufanya kile wanachokiita kupanda mbegu, kupaka mafuta ya upako au kunyunyuziwa maji ya baraka. Eti wanaofanikiwa haraka ni watu 30 wa mwazo wanaokimbilia mbele ya kanisa kila mmoja akiwa ameshika noti ya dola 100.

Aina hii ya mahubiri inawafanya watu waamini kwamba Mungu hawapendi wanaojituma na kuwa wabunifu katika kazi, badala yake anawapenda zaidi wanaotoa zaka, sadaka, malimbuko na fungu la 10 hata kama ni wavivu. Hii sio sawa hata kidogo kwa sababu Biblia inakataa uvivu kwa nguvu zote ( *Mithali 12:27 Bali mtu mvivu hapiki Mawindo yake; Bali Mwenye bidii anazo mali za thamani).*
_
Watu wanaaminishwa kwamba ukishatoa sadaka kanisani unaweza kuamka kila siku asubuhi ukapayuka 'Mimi ni Milionea' halafu ukavuta shuka na kuendelea kulala fofofo, ukisubiri sadaka uliyotoa ikupe muujiza wa kuokota hela, ili upate mtaji wa biashara unayoiwaza.

Mtu huna kazi, huna biashara wala wazo la biashara, huna ujuzi, huna elimu, lakini kila siku unashinda kanisani kumsikiliza Mchungaji anayesema kesho utakua milionea na wewe unasema "Baba napokea/Dady I receive". Huu ni utani.

Waambieni wanaofanya utani huu kwa kofia za Uchungaji, Uaskofu, Unabii au Utume kwamba wanamkosea Mungu. Waambieni Mungu wetu ni Mungu wa kanuni, na hana kanuni ya kuwabariki wavivu. Tuache kufundisha waumini wetu kwamba uvivu unalipa kupitia miujiza.

Mafanikio ni matokeo ya bidii, ubunifu na weledi. Biblia inazungumzia kuhusu karama. Hebu kila mtu atumie karama alizopewa kwa bidii, ubunifu na weledi aone kama hatafanikiwa. Sio sahihi kuwaambia watu wabweteke tu na kusubiria mafanikio kama kusubiria daladala kituoni kwa sababu tu wamepakwa mafuta ya upako.

Mungu alishatubariki *tangu wakati wa uumbaji wetu. Ni wajibu wetu kujibidisha katika yale tufanyayo ili baraka zake ziambatane nasi ( *Kumb 28:6 Utabarikiwa uingiapo utabarikiwa na utokapo).*

Wazungu na Wachina wanazidi kushindana katika kuitawala dunia kwenye mambo mbalimbali kuanzia viwanda, biashara, sayansi na teknolojia. Sisi tuko 'busy' kununua maji ya upako tukiamini yatatufanya tuwe kama Jack Ma au Bill Gates. Upuuzi.

Tumeumbwa kuitawala hii dunia (Mwanzo 1:28Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia, Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuitiisha; mkatawale samaki wa baharini na ndege wa angani, na kila kiumbw chenye uhai kiendacho juu ya nchi). Tutumie vipawa na karama tulizopewa ili kutimiza kusudi hilo la Mungu. Tusiruhusu Askofu, Mchungaji, Nabii, mtume au kiongozi mwingine yeyote wa dini atutawale akili zetu kwa kutuhubiria mafanikio ya miujiza. Wao wanaishi kifahari kwa sadaka za waumini wao, huku waumini wakiendelea kuwa mafukara wa kutupwa.

Biblia inasema kumcha BWANA ni chanzo cha maarifa ( *Mithali 1:7 Kumcha BWANA ni chanzo cha maarifa, Bali wapumbavu hudharau hekima na adabu).* Tutafute maarifa, tufanye kazi kwa bidii, na tumuabudu Mungu katika Roho na kweli. Kwa kufanya hivyo tutapata MAFANIKIO katika mambo yote tuyafanyayo.

NB: Makala hii inazungumzia baadhi ya makanisa ya kilokole sio yote. Dont generalize. Yapo makanisa ya kilokole yenye misingi bora, lakini mengine yamejaa upotoshaji. Haya ndio yaliyozungumzwa hapa. Tafsiri isiyo rasmi imefanywa
na Malisa GJ.
Tukutane wiki ijayo panapo majaliwa.
 
Uchawi na dini ni dhana tu.. inategemea unaelewaje haya mambo.. watu wasiyo na reasoning, kwa sababu mbali mbali kama kutokwenda shule, au kwenda shule ila wakapewa elimu ya hovyo ndo hupoteza muda kwenye mambo haya ya mythology.. you could be one, jisearch
Umeshawahi kufanya uchunguzi juu ya hayo masuala au ndiyo walewale wavivu hata wa kufikiri na kuishia kutoa majibu mepesi yasihotaji kuchosha akili?hapa sio suala la watu kupoteza muda kwenye hayo mambo bali uhalisia wa hayo mambo.
 
Thibitisha Mungu yupo.
Thibitisha uchawi upo.
Kwa watu wavivu wa kufikiri kama nyie hicho ndio kichaka chenu cha kujifichia,mtu hujawahi hata kushuhudia tukio lenye kuhusishwa na uchawi na ukalichunguza ili upate ukweli ila mnakuja humu kusema tu hakuna uchawi mara hakuna Mungu,jiulize una hoja gani ya msingi inayokufanya upinge uchawi zaidi ya msimamo tu usio na nguzo yeyote.
 
Back
Top Bottom