Capital
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 1,452
- 1,038
Hahahah..! Kiranga Kwa akili yako wewe una hisi Mungu anaupande..?
Mungu yupo katikati ya mazuri na mabaya, God has no choice, no good or bad to him..! Alichonifanya kibaya na kizuri kwa binadamu ndicho kipimo cha hukumu zake kwetu.
Kifupi iko hivi hizo maafa na mabaya yote tunayaumba sisi katika maisha yetu si Mungu. Mfano huwa mnaambiwa dhambi mwisho wake ni mauti/kifo, utambue mtenda dhambi ni binadamu si Mungu.
Ukisema Mungu angetuumba na kutunyima utashi tufanye kazi kwa settings/programmed kama computer ata wewe hapo usinge hoji haya maswali yako ya kijinga. By the way Malaika wako programmed na hawa hizo mess zote unazosema kuwepo kwake ni kuthibitisha kutokuwepo kwa Mungu, mfano Malaika hawapatwi na hizo maafa na mabalaha, Lakini usidhani Malaika wanaenjoy/kufurahia uumbwaji wao zaidi ya binadamu.
Wewe jamaa uwezo wako wa reasoning nautilia shaka sana...!
'God' is a human creation and not otherwise..
Tafakari hapo mkuu.. usirukie kuponda watu wakati wewe mwenyewe ni layman katika dhana nzima ya God and Religion..